BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
Hao vichwa maji TISS iliwapataje kama unadai iko smart? System gani smart inakuwa na maafisa wengine vichwa vinamaji labda unaongelea system ya Nazi maana hiyo ndio huwa ina maji ndani.TISS haipo simple kama mnvayo ichukulia. Ina watu smart na wenye IQ kubwa sana na wanatenda kwa sehemu zao kwa weledi wa hali juu,vivyo hivyo kuna vichwa maji mle na ndio wanaipaka idara matope ya mavi...
Kwakuwa anayooandika huyo Kigogo hayazuii barabara, reli, meli, hospitali, shule na n.k kujengwa wacha aandike tu, wananchi wanaonaKigogo anamkosesha sana usingizi Jiwe
Hahaha aiseee unasemaaaa TISS hii ya CCM? Inayoongozwa na Diwani?TISS haipo simple kama mnvayo ichukulia. Ina watu smart na wenye IQ kubwa sana na wanatenda kwa sehemu zao kwa weledi wa hali juu,vivyo hivyo kuna vichwa maji mle na ndio wanaipaka idara matope ya mavi...
Kama hana Effect hizo 1.4 Bill zulizotumika kumtafuta ni za nini? Are you serious?Kwa ukweli sidhani kama huyo kigogo ana effect kubwa kama mnavyokuza na hizo siri nzito , siri gani hizo? na zimeleta effect gani kwa wananchi na watawala? Tatizo wabongo wanapenda sana umbea, hivyo vitu nchi zilizoendelea wamejaa kibao, hila watu wengi hawana time nao sababu watu wana kazi za kufanya.kwa mfano mtu akikuambia "fulani jana kalala na fulani" inakusaidia nini wewe? kuna ajabu gani hapo? au uzito ni nini? wabongo tufanye kazi tuache umbea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siri gani za maana alizotoa Kigogo 2014? Uliza kilichowakuta waliokuwa wakimpellekea kinachoitwa Siri Mange Kimambi! Hadi Leo wamebaki midomo wazi huku wanalia wakimtuhumu Mange Kimambi kuwa ni TISS aliyewaanika!!!Tupo macho tunawachunguza hao TISS. Nikumbusheni yule jamaa aliyesumbua serikali ya Mzee Mgabe kule Zimbambwe adi akatangaza donge nono la madolae ili akamatwe kisa anatoa taarifa nyeti ya serikali iliyoshindwa...bado walishindwa kumkamata. Watumishi wengi wa TISS hawajui majukumu yao bali wanatumika kwa wenye nia mbaya na nchi yetu.
Una ushahidi wowote huweke na sisi tuone?Kama hana Effect hizo 1.4 Bill zulizotumika kumtafuta ni za nini??? Are you serious????
Yaan ulianza vizuri tu Ila huko chini ni vuruvuruNaomba niwashauri idara yetu nyeti ya TISS kuhusu jinsi mnavyomfuatilia Kigogo2014 ili kumweka mikononi mwenu kwa sababu ya kutoa siri nzito nzito za Serikali.
Niwaeleze ukweli kwamba, Kigogo2014 hamuwezi kumkamata hata iweje kwa sababu Kigogo siyo mtu mmoja bali ni syndicate kubwa ndani ya syndicate nzito na yenye nguvu kubwa.
Inasemekana zimetumika zaidi ya Bil 1.4 kumsaka Kigogo, mmeshindwa kubaini ukweli na badala yake mnazidi kupoteza pesa za umma kumsaka mtu ambaye hamuwezi kumpata.
Ujio wa Kigogo umesababishwa na uwepo wa utawala mbovu, unaominya haki za Binadamu Uhuru wa Habari, Demokrasia na uharibifu mkubwa wa uchumi.
Badala ya kujikita kwenye kuleta maendeleo, awamu ya Tano imetumia Pesa za umma kununua wapinzani na kuvuruga Demokrasia.
Ajira ya TISS imejikita zaidi kwa vijana wa UVCCM na siyo kwa intelligence experts, sasa watu Kama hao watawezaje kumpata mtu mwenye level ya Mossad na CIA?
Uongozi hauhitaji mabavu bali hekima, unapoamua kuwa mbabe na kwa sababu unawaongoza siyo mbuzi, ni watu wenye akili zao, tarajia kukutana na ma whistle-blowers wengi.
Na mwisho wa siku utashindwa tu, tatizo lenu mnatumika kisiasa sana, yaani mpo kwa ajili ya kuhakikisha CCM inatawala milele na siyo kwa ajili ya ustawi wa nchi.
Awamu hii hii ya Tano inayosifika kwa kukamata wakwepa kodi, kuna kampuni nyingi tu nazijua na nina ushahidi mkubwa kuwa zinakwepa kodi. Ajabu eti serikali makini haijui, ila serikali hiyo hiyo inajua ni lini Mbowe atafanya mkutano wa ndani ili waweze kumdhibiti asichafue amani ya nchi, kichekesho kweli.
Kama Trilioni 1 ilipotea na CAG akatolewa kwa kusema ukweli, basi acha watu wakwepe kodi. TISS wapo bize kuwarekodi kina Steve Nyerere wakiigiza sauti ya Mbowe anamnyanyapaa kimapenzi mbunge wa Chadema (jina linahifadhiwa)
Yaani badala ya kufanya mambo ya msingi kwa Taifa mnatumika na mambo ya hovyo, baada ya Kigogo kuwavua nguo huko Twitter sidhani kama bado mnaendelea tena na hujuma dhidi ya Mbowe.
Fanyeni ishu za maana kwa Taifa, acheni roho ya usaliti kwa Taifa, vinginevyo mtadukuliwa mno.
Long live Kigogo2014.
Analopoka Kama Bashiru Ally?Hivi mtu anayejielewa atapoteza muda kumtafuta mtu ambaye hajulikani?
Huyo ni mropokaji tu
Toa uongo hapa, angekuwa na washirika angekamatwa siku nyingi mnoMbona washirika wake walishdakwa anapigiwa tu timing
Hata hujitambui, upo upo tuKwa ukweli sidhani kama huyo Kigogo ana effect kubwa kama mnavyokuza na hizo siri nzito, siri gani hizo? na zimeleta effect gani kwa wananchi na watawala? Tatizo wabongo wanapenda sana umbea, hivyo vitu nchi zilizoendelea wamejaa kibao, hila watu wengi hawana time nao sababu watu wana kazi za kufanya, Kwa mfano mtu akikuambia "fulani jana kalala na fulani" inakusaidia nini wewe? kuna ajabu gani hapo? au uzito ni nini? wabongo tufanye kazi tuache umbea.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hiki kicheko hikiDiwani, Siro, Jiwe wataondoka bila kujuwa Kigogo ni nani.
Hashikwi kwa taarifa yako ila washirika wake wote watadakwa usiulize why.Toa uongo hapa, angekuwa na washirika angekamatwa siku nyingi mno
Elimu yako haina tija kwenye nchiMbona washirika wake walishdakwa anapigiwa tu timing
Halafu bado wanajipa moyo eti watampata, acha watesekeDiwani, Siro, Jiwe wataondoka bila kujuwa kigogo ni nani.