Huna unalojua, kanywe juice ulaleMtu anaweka namba ya mbunge anasema ni namba yangu alafu itumike bil 1.4 kumtafuta? Mtu anasema waziri anaumwa kumnbe uongo alafu itumike bil 1.4 kumtafuta? Insaniam!
Ni kweli kabisa mkuu...billion 1.4 imepigwa, na yawezekana kabisa hata huyo kigogo alikuwa miongoni mwa wanaomtafuta na aliipiga hiyo 1.4bn!
Huyo ni syndicate kubwa kama mtoa mada ulivyosema, na nadhani yupo ndani ya tiss huko huko!
Lakini pia inawezekana ikawa ni hadaa, kukamata baadhi ya watu wanaomkosoa meko! Hasa wale wanaompa kigg taarifa, wawe makini, anaweza kuwaponza wengi wakidhani yupo upande wao, kumbe ni trick tu! Akimaliza kazi yake anapotea huko twitter...
Lile group la wachungaji[emoji848]
Mhehe mlima nyanya mlawa Ilula napitaga tu mimi simo nduki[emoji1733][emoji1733][emoji1733][emoji1733][emoji1733][emoji1733]Elimu yako haina tija kwenye nchi
Wananchi gani? Mbona Magufuli ni mwoga sana kuwakabili Wananchi?kwakuwa anayooandika huyo kigogo hayazuii barabara, reli,meli, hospitali, shule na n.k kujengwa wacha aandike tu, wananchi wanaona
Sasa hao vichwa maji si watoke?TISS haipo simple kama mnvayo ichukulia. Ina watu smart na wenye IQ kubwa sana na wanatenda kwa sehemu zao kwa weledi wa hali juu,vivyo hivyo kuna vichwa maji mle na ndio wanaipaka idara matope ya mavi...
Wewe na Kigogo mnajua nini? Au unadhani Tanzania ni nchi ya kusadikika. Huko twitter watanzania wanajua ni nani na anaishi wapi. Aje Tanzania aone.Huna unalojua, kanywe juice ulale
Wewe una kg 60 utaweza kubeba kg 1000?Siri gani za maana alizotoa kigogo 2014? Uliza kilichowakuta waliokuwa wakimpellekea kinachoitwa Siri mange kimambi !!! Hadi Leo wamebaki midomo wazi huku wanalia wakimtuhumu Mange Kimambi kuwa Ni TISS aliyewaanika!!!
Hivi huyu state agent Covid -19 ilimbakiza kweli?Kuna watu huwa wanaota kuja kuwa TISS hivyo wamejitahidi Hata kuangalia muvie za ulaya za intelijensia na kuzihamishia kwetu ndo hawa ambao wanatusumbua kila siku kujifanya wanaijua idara. Laiti ungepata wasaa wa kukutana nao ni wafanyakazi wa kawaida kabisa ambao zamani tulidanganywa eti wanajua ata unafikiria nini. Cc genius Bia yetu Statesmann state agent na wengine wanaojiona kupitia ndotoni wameshakua Tiss
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kabisaAu kigogo ni CIA wameamua kudeali na JiWe kitakatifu.
Ukiwa na ubongo wa kuku epuka Mada nzitoWewe na Kigogo mnajua nini? Au unadhani Tanzania ni nchi ya kusadikika. Huko twitter watanzania wanajua ni nani na anaishi wapi. Aje Tanzania aone.
Hii nayo ni mada nzito. Au akili yako ndogo ya kushabikia akina Kigogo ndio inakudanganya. Nani atumie bil 1.4 kwa upuuzi kama huo?Ukiwa na ubongo wa kuku, epuka Mada nzito
[emoji23]kutwa upo busy mitandaoni kushabikia umbea wa kigogo ndio kujitambua!Hata hujitambui, upo upo tu
Eti smart, wangekuwa smart wasiojulikana wasingekuwepo,wangewamaliza kimyakimya hata wao wasijue Nani kawamaliza.TISS haipo simple kama mnvayo ichukulia. Ina watu smart na wenye IQ kubwa sana na wanatenda kwa sehemu zao kwa weledi wa hali juu,vivyo hivyo kuna vichwa maji mle na ndio wanaipaka idara matope ya mavi...
Pole sana kijanaHii nayo ni mada nzito. Au akili yako ndogo ya kushabikia akina Kigogo ndio inakudanganya. Nani atumie bil 1.4 kwa upuuzi kama huo?
Eti umbea, Pole sana kijana[emoji23]kutwa upo busy mitandaoni kushabikia umbea wa kigogo ndio kujitambua!
Sent using Jamii Forums mobile app