black hawk87
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 678
- 1,244
Achana nae huyo anajua kuwa kigogo Ni mtu wa nyanda za juu kusini akaee kimya tuWewe na Kigogo mnajua nini? Au unadhani Tanzania ni nchi ya kusadikika. Huko twitter watanzania wanajua ni nani na anaishi wapi. Aje Tanzania aone.
Unakimbia Nini Sasa unakimbia TISS au umebanwa haja kubwaMhehe mlima nyanya mlawa ilula napitaga tu mm simo nduki[emoji1733][emoji1733][emoji1733][emoji1733][emoji1733][emoji1733]
Kama watu wamenunuliwa tena mbele ya ushahidi kipi kishindikane kutoa hizo b.Hii nayo ni mada nzito. Au akili yako ndogo ya kushabikia akina Kigogo ndio inakudanganya. Nani atumie bil 1.4 kwa upuuzi kama huo?
Kigogo na Mbowe wanamuumiza Sana kuliko hata tatizo la ajira kwa vijanaKigogo anamkosesha sana usingizi Jiwe
Jipe pole wewe mjinga ambae unamuona mtu wa maana ambae alisema Ndugulile yupo hoi na Covid -19 wakati ni mzima . Jipime akili yako alafu ujipe jibu ni mpumbavu au la!Pole sana kijana
Unaandika mbege?Kama watu wamenunuliwa tena mbele ya ushahidi kipi kishindikane kutoa hizo b.
Haaaaaaaaa watu wanajua mpaka VPN na ant virus anayotumia inaisha lin usione watu wako kimya na kupa principal moja usijetegemea ukiwa blackhakers hutokamatwa utakamatwa tuunajua kwann jamaaa 24hrs Yuko online????? Watu wanachek vulnerability ya kumnyambua tuKigogo ni black hackers huwezi mkamata black hackers hata siku moja hizi ni level za mossad,au CIA na sio watoto wa IT wa UDSM
Kigogo ni mmbea kama wambea wengine sema tuu mmbea digital, jiongeze kifikra utaelewa, ukishindwa utaendelea kua mpuuzi tu kama wapuuzi wengine wanaomsikiliza.Eti umbea, Pole sana kijana
Ingekuwa simple mda mrefu Sana msingepoteza muda.Haaaaaaaaa watu wanajua mpaka VPN na ant virus anayotumia inaisha lin usione watu wako kimya na kupa principal moja usijetegemea ukiwa blackhakers hutokamatwa utakamatwa tuunajua kwann jamaaa 24hrs Yuko online????? Watu wanachek vulnerability ya kumnyambua tu
Tech Ni kubwa Sana aiseee achana nayo kabisa watu wanajua meng hakuna msalit yoyote Alie salama anae jificha nyuma ya mwamvur wa keyboard.
Unadhani kwann mange hawez Rudi tz anajua kitakacho mpata
Hao akina kigogo Ni vijana wachache wanaotumiwa bila kujijua Kama wanatumiwa na mwisho wao Soon utaisha huu mwaka hauishi utapata majibu
KunywaUnaandika mbege?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mpe salamu kigogo mfalme wa burundi anamsalimie mwambie nishapeleka gar ilulaUnakimbia Nini Sasa unakimbia TISS au umebanwa haja kubwa
Pumzika Kwanza si kila kitu utakijua kunywa soda subir matokeo naiyamin serikal yangu haijawah shindwaIngekuwa simple mda mrefu Sana msingepoteza muda.
Mmeshindwa nn sasa
Wewe unasumbuliwa na elimu ndogo tu na ukosefu wa maono[emoji23]kutwa upo busy mitandaoni kushabikia umbea wa kigogo ndio kujitambua!
Sent using Jamii Forums mobile app
Burundi huwa hawasalimiani na mtu wasiyemjua karibu Burundi kwenye warundi na wasio warundi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mpe salamu kigogo mfalme wa burundi anamsalimie mwambie nishapeleka gar ilula
Hio level ya juu aisee tuishie kumkamata mbowe tuPumzika Kwanza si kila kitu utakijua kunywa soda subir matokeo naiyamin serikal yangu haijawah shindwa
Kigogo anapiga kotekote Hana dabo standardKwa kweli Mbowe amnunulie soda kigogo. Maana asingelikua yeye tungesikia mambo mazito ya uongo yafananayo na ukweli.