Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
Huu uzi unadalili ya kudumu milele 😍😍Kutokana na malalamiko ya wanaum e Humu jf, nimeona ni Bora kufungua Uzi huu ili kuweza kuwapa nafasi ya kutoa malamiko yao.
Lengo la chama hiki ni kukumbushana misimamo na misingi ya chama chetu.
👉 Mwenyekiti ni Natafuta Ajira, katibu Mjanja M1.
👉Katibu mwenezi wa sera za chama ni dronedrake.
View attachment 2873542
View attachment 2873572
Unakiuka taratibu za huu uzi tafadhali zingatia kanuni za humu ndani By afisa mtendaji wa UWABATAI lovi you so much my wife to be
Babe si uli sema una imani na mimi,, mbona hivyo tena 😁😃Nani hii itakuwa I’d yako nyingine maana wewe kichwa yako ina shida😁😁
Uko sahihi afisa mtendaji 😁😃🤒Unakiuka taratibu za huu uzi tafadhali zingatia kanuni za humu ndani By afisa mtendaji wa UWABATA
Ewaaa mambo kama hayo katikati ya masimango umesimama kama Mwanaume😘😘😘😘😘baby
Watu wanaweza pendana hata kwenye msiba 😁Unakiuka taratibu za huu uzi tafadhali zingatia kanuni za humu ndani By afisa mtendaji wa UWABATA
Ume Anza usaliti😁, tena kwa mdogo angu penseli shadrackAmri 🤒Ewaaa mambo kama hayo katikati ya masimango umesimama kama Mwanaume
We endelea tu😁, presha Ime fika 290😃Watu wanaweza pendana hata kwenye msiba 😁
Ni yeye kweli 😳Ume Anza usaliti😁, tena kwa mdogo angu penseli shadrackAmri 🤒
Mdogo angu penseli, acha kuki kiuka chama🤒wote washamba tuu nahela hawana.wakipata hela watatafuta wapenzi
Mbona ume editi😃🤒Ni yeye kweli 😳
Watoto wa chuo hao 😁wote washamba tuu nahela hawana.wakipata hela watatafuta wapenzi
Eti I’d yako nyingine ni penselioyawee nyie siuabata?tulia hivyohivyo
Ila kwema mdogo angu??, Mwachiluwi hajambo??oyawee nyie siuabata?tulia hivyohivyo
Dah hii Sera ni kiboko 😁😃🤒Niliunga mkono juhudi kitambo sana chini ya kauli mbiu " mchumba anasomeshwa masomo ya dini tuu, hata akikusaliti ataenda kumtumikia Mungu Kisha utabarikiwa"
Una nikataa Kaka yako 🤔😃asikutishe huyo niwivu tuu
Kiboko yaoCc: Achraf Hakimi