Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Dogo may be ndio angekua mwana JF wa kwanza kuonana nae physically na ndio pekee ila hatujawai kuonana kabisa maana Mimi huwaga na ratiba ngumu ngumu sanaaaa...Dr am 4 real PhD mwachiluwi Yuko wapi Jamaa ako 😁
Mkuu,Wasalit huko watapigwa pipe nyama tuu..hawez chezea vyuma kwa watu wajinga jinga
Nime cheka hovyo kaka 😁🤣, ila una onaje uki enda fanya vipimo Yugoslavia 😁Niko vizur mdogo angu.😂
Hio avata yako inastaili cheo uwabata 🤣🤣Niko vizur mdogo angu.😂
Uwabata oyeée[emoji16][emoji16][emoji16]
Kuna mchogo nausikilizia au ngoja nikufanyie mpango nakucheki sio muda
Basi nipe deal ,na mimi nije huko mjini 🤒Dogo may be ndio angekua mwana JF wa kwanza kuonana nae physically na ndio pekee ila hatujawai kuonana kabisa maana Mimi huwaga na ratiba ngumu ngumu sanaaaa...
Sijui atakua wap dogo ☺️😊
Ahahah..Nipo kamanda. Natumain harakat zinasogea popote ulipo chief.Mkuu,
Nakuonaa mkuu 😊😊
Mjumbe uwe unahudhulia vikao sisi uwabata na chaputa ni vyama tofauti ila tuna mikataba mingi baina ya wenyekiti wetu.bilateral treatment.mfano chaputa wamepewa haki ya kugombea nafasi za kugombea uongozi uwabata kwa kigezo cha kiwango cha kuhonga kutopita elekezi cha tshs 22k kwa mwezi.Tayari vyama vime ungana😃, dronedrake ata sema hilo.
Dah jinga sana 🤣😁🤒Mjumbe uwe unahudhulia vikao sisi uwabata na chaputa ni vyama tofauti ila tuna mikataba mingi baina ya wenyekiti wetu.bilateral treatment.mfano chaputa wamepewa haki ya kugombea nafasi za kugombea uongozi uwabata kwa kigezo cha kiwango cha kuhonga kutopita elekezi cha tshs 22k kwa mwezi.
Haina haja ..haina haja.. kizibo kipo na rinda ziko intact kabisa. Vip mbona kama una hofu, we ngoja nikamlishe application huko chaman tutawakamata tuNime cheka hovyo kaka 😁🤣, ila una onaje uki enda fanya vipimo Yugoslavia 😁
Ukamanda wa wapi 😁, akati u koplo tu hauwezi😁🤒Ahahah..Nipo kamanda. Natumain harakat zinasogea popote ulipo chief.
Nyinyi si ndio mnatutukana watu wa dar..☺️☺️😊😊🤣🤣🤣Basi nipe deal na mimi nije huko mjini 🤒
Salute mrusi wa mchongo 🤣😂Haina haja ..haina haja.. kizibo kipo na rinda ziko intact kabisa. Vip mbona kama una hofu, we ngoja nikamlishe application huko chaman tutawakamata tu
Si ndio maana dogo Intelligent businessman anagwaya gwaya anataka kuniundia zengwe anichafue nikose kiti UwabataHio avata yako inastaili cheo uwabata 🤣🤣
Ahahah huu ugomvi mi nanawa mikono kama Pilato.Ukamanda wa wapi 😁, akati u koplo tu hauwezi😁🤒
Ita kuwa vyema Kaka, Natumai uta nijulisha mkiwa tayari🤒.
Inabidi uwe very humble na usiwe na tamaa Niku introduce sehemu Ili ufanye diversification ya life lako...
NB
Upo tayar kubeba ma boksi na hiyo degree yako Kwa 250,000 na 3000 per day..
3000 mara 25 ni 150 na hutaki aibe atatransform vipiNyinyi si ndio mnatutukana watu wa dar..☺️☺️😊😊🤣🤣🤣
I bet wewe ni kijana mzur I bet to be true...
Inabidi uwe very humble na usiwe na tamaa Niku introduce sehemu Ili ufanye diversification ya life lako...
NB
Upo tayar kubeba ma boksi na hiyo degree yako Kwa 250,000 na 3000 per day..
MkuuSi ndio maana dogo Intelligent businessman anagwaya gwaya anataka kuniundia zengwe anichafue nikose kiti Uwabata
Nani aku ogope mrusi wa mchongo 🤣, shida naogopa uta maliza hazina ya vodka za chama 🤣Si ndio maana dogo Intelligent businessman anagwaya gwaya anataka kuniundia zengwe anichafue nikose kiti Uwabata
Ni shida mkuu🤒, sema kasema 250, pamoja na 3k per day SI ndo hivyo Dr am 4 real PhD ??3000 mara 25 ni 150 na hutaki aibe atatransform vipi