tanzania digital
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 425
- 269
Umesahau kitu kimoja. Tutajie na wasanii watakaotumbuiza katika hiyo fiesta ya CCMNiseme tu kwa kifupi kwamba hii ni funga kazi, misururu ya watu kwa wingi huu kuelekea uwanja wa taifa mara ya mwisho niliona Simba ilipocheza na Stella abidjan ya Ivory coast kwenye fainali ya kombe la CAF.
Watu ni wengi kana kwamba wengine walilala uwanjani kumsubiri kipenzi cha watanzania Dr Magufuli aje kuwahutubia.
Vituo vyote vya runinga Afrika ya mashariki vinategemewa kurusha mubashara mkutano huu wa Funga kazi vikiongozwa na TBC na Channel ten.
Up dates;
Kama mijitu ni mijinga hata hizo sera hawazielewi sasa hapo unafikiri ccm watafanyaje?Ni promotion ya wasanii siyo mkutano wa kampeni
shame on you...Yaani kwa miaka hii unawaza kuhusu udini khaaaa!!!!!UTAFI::
60%--70% ya Wakiristo Tanzania watapigia kura CHADEMA
70%--80% ya Waislamu wenzangu watapigia kura CCM
KWA hio CCM itapata ushindi wa kishindo
Je mheshimiwa atatulipa hisani baada ya kumfanyia hisani?
Je mashekh wetu wanaoozea jela bila kupelekwa mahakamani watatendewa haki?
Je serikalini tutapata nyadhifa mbalimbali?
Maana wakati wa Jakaya tulikua 30%--36% lakini awamu hii tupo 18%--20% tu
Je maeneo yetu tutapata miundo mbinu kama maeneo mengine?
Kweli awamu hii imetutupa waislamu na sisi Ndio tutakaokupa kura kwa wingi
Let's wait and see!!
Kwetu Mwanza NyegeziNisikilize ujinga?
Baada ya uchaguzi utaonaShow Kali.
SawaKwetu Mwanza Nyegezi
Sawa haina shida ila uwezo wako wa kufikiri Ni mdogo SanaWewe boya unajua nini? jina lenyewe linaonyesha walewale wa kwenye nyumba za tembe
Tundu Lisu anakwenda stendi ya mkoani Ubungo kumkatia tiketi beki 3 wake!
Bwashee, kama mgombea wetu atatema ngeli matata kama ile ya jana nifahamishe nije fasta kumsikiliza!.Bwashee karibu upate madini!
Yaani naona kabisa harufu ya wakuu fulani kukosa kazi .....mahudhurio ni mabovu hadi huruma ....sijui aliyewashauri wakuchukue uwanja mkuu ni nani .....hapo kwenye majani ya kuchezea yenye penyewe watu hawajaweza hata kujaaa ......WAMEHARIBU MAJANI BURE TU KWA AJILI YA KUTAKA SIFAKiherehere cha Polepole kwenda kuchukua uwanja wa Mkapa ona sasa ulivyododa.
Ila watu wa Dar! Halafu wagombea ubunge wa CCM Dar ni wanyonge wanyonge. Hilo Tamasha lingefanyika Mbagala Zakhem hata usingefikia nusu ya uwanja. Pale kwa Mkapa wameenda kujichoresha bure.
Picha zinakuja bwashee.
Ni zaidi ya Simba day na Siku ya wananchi ukizichanganya pamoja!
Na Magufuli ndiyo kaingia alipoona hali ya uwanja mpaka sura imebadilika. Mbaya zaidi hata wazee wastaafu hakuna. Pia tuliambiwa waendesha bodaboda na mama lishe watamsindikiza. Au walikuwa kwenye yale ma V8?Yaani naona kabisa harufu ya wakuu fulani kukosa kazi .....mahudhurio ni mabovu hadi huruma ....sijui aliyewashauri wakuchukue uwanja mkuu ni nani .....hapo kwenye majani ya kuchezea yenye penyewe watu hawajaweza hata kujaaa ......WAMEHARIBU MAJANI BURE TU KWA AJILI YA KUTAKA SIFA
Hiki chama kilishajifikaga kitambo saana!!Wengi wameletwa na mabasi ya Abood kutoka Morogoro, JWTZ wamevalishwa tshirt za CCM n.k
Fresh tu ili mradi uwanja ujaeWengi wameletwa na mabasi ya Abood kutoka Morogoro, JWTZ wamevalishwa tshirt za CCM n.k