UWATA wamesambaratisha familia yetu

Hizi ni chuki kuzaa,ni mihamu yako na Kukosa elimu ya uzazi,
Naongea nacho kijua
Kuna mwingine wamemkaba hukohuko kwa kuaminishana uongo wao

Mpaka ameuza nyumba hela zilivoisha kakimbia kaacha watoto wamekuwa vibaka
 
Je hao uwata wanafungisha ndoa?
Je baba yako ni mtoto?


Unasema baba yako ana shida ya afya ya akili? UWATA wakamfungisha ndoa?

Mpaka hapo kuna walakini kwa hili andiko lako jamaa.

Kwa habari ya kujua ratiba zao hilo ni jambo la kawaida maana wanaishi katika jamii zetu.

Au ulitaka wajifiche? Kama wanasali kwa ratiba zao waliojipangia tu na unawaona wabaya wangejificha si ndio ungewananga zaidi ya hapa?


Okay swali langu upo kanisa gani? Kwanini mama yako hakuzuia hiyo ndoa? Au hata wewe?


Kwanini hukwenda mahakamani? Ili mahakama ikupe haki au iingilie kati?
 
Soma thread wewe sio unarukaruka kama umewekwa pilipili
 
Soma thread wewe sio unarukaruka kama umewekwa pilipili
Nimesoma na nimetaka anijibu maana kama ni ndoa makanisa yamo ndani ya umoja fulani.. mfano cct, nk

Na malalamiko ya ndoa ni kitu serious. Na hakuna fellowship zinafungisha ndoa.
 
Nimesoma na nimetaka anijibu maana kama ni ndoa makanisa yamo ndani ya umoja fulani.. mfano cct, nk

Na malalamiko ya ndoa ni kitu serious. Na hakuna fellowship zinafungisha ndoa.
Unaijua fellowship inaitwa NLC
New life in christ?

Kaulize kama hawafungishi ndoa

Uwata nachojua hawafungishi ndoa
Ndoa unafunga kanisani kwako then mnanyooka moja kwa moja kanisani kwao (faraghani) kuendeleza na utaratibu wao
 
Nimesoma na nimetaka anijibu maana kama ni ndoa makanisa yamo ndani ya umoja fulani.. mfano cct, nk

Na malalamiko ya ndoa ni kitu serious. Na hakuna fellowship zinafungisha ndoa.
Shinikizo na ushabiki ni kutoka kwao kuhusu kanisa nilishasema mapingamizi yaliwekwa hapa dar lakini cha kushangaza ndoa ikafungwa mkoa mwingine. Wao kama watu wa dini/mungu walikuwa na maslahi gani mpk waspearhead kitu fishy kama hicho. Ati ndoa ya kanisani ifungwe haraka na kwa ulazima mpk pete zikosekane🚮. Mtatetea hicho kikosi chenu kwa namna yoyote ile lakini mkae mkijua ninyi ni waharibifu
 
UWATA ndio wakina nani? Au wakina mkubwa fella?
 
Sasa kama baba yako kuwa na dhehebu au kutokuwa na dhehebu si juu yako maamuzi yake unaihusishaje fellowship au taasisi?

Unasema alifunga ndoa baada ya kujiunga UWATA kwa hiyo hakuwa na ndoa hapo kabla sasa hapo UWATA inahusikaje kwa yeye kutokuwa na ndoa? Unasema walimchagulia mwanamke naye akakubali pasipo kulazimishwa na akaingia ndoani sasa hapo shida iko wapi? Napata shida kuelewa tatizo liko wapi hapo. Maana mpaka hapo UWATA hawana ubaya wowote. Au ulitaka wamlazimishe huyo mzee umwitaye baba yako aoe utakaye? Kwanini hukumpelekea huyo umwitaye baba yako proposal?

Kujiunga ni hiyari na kutoka ni hiyari pia katika UWATA hawalazimishi kuamini. Ila ukijiunga utafuata katiba yao. Iko wizara ya mambo ya ndani.

Kuhusu kumhubiria arudi nyumbani nikuulize tu sasa hivi anaishi UWATA au anaishi kwake na mke wake? Kama anaishi UWATA hapo fuatilia. Kama anaishi kwake na mkewe UWATA imwambie arudi nyumbani wapi na yeye yupo kwake?

Kuvaa suruali na sketi za marinda ziwe kubwa au ndogo hapo kuna kosa gani?
 
Mzee nimuitaye baba yangu? Nenda faraghani mzee hapa si mahali pako
 
Sio kweli
Acha kupotosha watu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
acha ubishi kenge manyoya ebooo (joking broo)
mkuu hao jamaa wengi ni waumini wa Lutheran, Anglican etc
wana genge lao linaitwa faraghani hukutana kila jioni kwa neno na maombi
wanakanuni ngumu hoooooo!
mosi wanawake huvaa sketi za marinda no kusuka,kuvaa hereni nk
mabwana wanavaa sarawili za vitambaa na bwanga no jeans

ni washika Torati wayahudi wachumba tu
hawaijui Neema ya Mungu wanajua Mungu anachagua watu kwa matendo na tabia njema
na ndio wanaamini hivyo badala ya kumuamini kristo kama kigezo na kielelezo cha ukombozi
pia huomba kwa nguvu wakiamini Yuko mbinguni wakati yupo ndani yao,

kiufupi ni mazuzu wasioijua kweli wanahitaji injili ya kweli wafunguke kifikra!
Hao mazuzu wamechangia kuiharibu familia yangu pia washenzi sana kenge hao!
 
Basi kwa
Sio hisia wewe kama sio mpendwa wewe unaambiwa ni wa duniani sasa mi nikajiuliza wenyewe ni wawa wapi uzuri nimekaa nao hata salamu zao za kukumbatiana nazijua
Kwa hiyo kwa sababu hukukumbatiwa basi ni wabaya sana?
 
Umesahau ya kuamka usiku saa tisa kuomba kwa sauti kuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Basi kwa
Sio hisia wewe kama sio mpendwa wewe unaambiwa ni wa duniani sasa mi nikajiuliza wenyewe ni wawa wapi uzuri nimekaa nao hata salamu zao za kukumbatiana nazijua
Kwa hiyo kwa sababu hukukumbatiwa basi ni wabaya sana
Naomba badhi ya kanuni zao na uzuzu wao

Pia umesema hawajui neema ya Mungu naomba kujua kimaandiko neema ya Mungu ni nini?


Pia wanashikaje torati, bado wanachinja mbuzi na kondoo na ng'ombe ? Kama sadaka ya kuondoa dhambi?
 
Kuna mwanafunzi wa uwataa, alikua anajifanya mtoa neno sanaa, sasa akataka na mie anipande kichwaniii, mbna toka pale ananiogopa km ukomaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Pumbavuu zake mbwaa yulee, Dini anaijua pekee yakee,
Na nilimfurushaa kweli kweli, alijuta kuparamia watu hovyo.
Mxiiiiieeeeeew.
 
Basi kwa

Kwa hiyo kwa sababu hukukumbatiwa basi ni wabaya sana?
Heri yako wewe umekumbatiwa. I’m done with you maana hata mngetaka kunikumbatia nisingekubali. Nyinyi ni mashetani. Na huyo mtu endeleeni kumng’ang’ani mkimchoka mkumbusheni sisi hatukumchoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…