UWATA wamesambaratisha familia yetu

Uko sahihi mkuu
 
Uliona ni cult au ulithibitisha? Kama ulithibitisha kuwa ni cult toa A-Z usiishie kuzungumzia hisia tu ambazo hzina uhakika itakuwa unafanya kupotosha au uongo
 
Nilivyowafahamu mimi UWATA, mtu anaendelea na dhehebu lake kama kawaida kama ni RC, Anglican, KKKT nk ila kuna muda hasa jioni wanakwenda kukutana ili kuabudu kwa mapana zaidi katika sehemu nyengine wanaita hekaluni.
Huyo anaeongoza hiyo ibada mnapokutana ye ndio tatizo,je unaijua madhabahu yake kiundani?
 
**Kwani hamuwezi kusali kwenye madhehebu yenu au amuamini kuwa Mungu hayuko kwenye madhebu yenu mpaka kwenye hicho kikundi?
**Je mnajua dhumuni la mwanzilishi wa hicho kikundi?
**Mwisho wakati ni mwalimu mzuri hicho sijui kikundi kitakuja kuwa kanisa (dhehebu)fulani
 
Hicho chama unachokizungumzia ni WAWATA( Wanawake Wakatoliki Tanzania),, ni tofauti na UWATA( am not perfect sure ila nahisi ni Uamsho wa wakristo) kitu kama hicho

Usifananishe WAWATA na UJINGA
WAWATA ni Wanawake Wakatoliki Tanzania iweje mwanaume awe mfuasi wa WAWATA?
 
Yaliyotokea Uganda na juzi kati hapo Kenya watu hamjifunzi?biblia imeeleza kila kitu lkn baadhi hamuelewe anyway inawezekana ni kizazi cha nyoka
 
Tanzania Tuna uhuru wa kuabudu kola mtu afanye anavyoona ni sawa ww kama wa mizimu nenda,wa freemason nenda,sijui kkt,rc ,uwata ,cjui mwamposa nenda ,..... Maana unaujua mwisho wa yote kila mtu ataukumiwa kulingana na Matendo yake na si uliabudu wapi?
Maadamu huvunji sheria,
Pili mtoa Mada katafute hela zako Kwani lazima akupe zake,Tatizo hapo ni hela hamna kingine.
Kuna mambo ya Msingi ya kujadili ya bandari,
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hela ndo kitu mnajua. Hujioni ulivyo mjinga ๐Ÿšฎ
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hela ndo kitu mnajua. Hujioni ulivyo mjinga ๐Ÿšฎ
Mjinga ni ww ,tunajua wapi?
Kwani nilishawahi hitaji hela yako ?
Tunajua wapi na nan?
Hujielewi.
Mm sipo huko,ila kwa uelewa wangu kidogo ni kuwa imeandika chuki binafsi,
Familia yenu inamatatizo kaeni chini mtengeneze familia,
Inaonekana wote mnahusudi pesa ya mzee.
Na ili kutafuta wa kumtupia lawama unaenda kumtupia lawama watu usiyo wajua,
Jilaumuni nyie kwa kushinda kuweka umoja wa familia ,uwata ninao wajua mm hawafungishi ndoa na hawavunji ndoa?
Naenda kanisa walilofungia ndoa huyo mzee ndo umlaumu
 
UWATA - Uamsho wa Wakristo Tanzania.
UWATA - Ushirika wa Wahuni Tanzania.

Ogopa neno tata linalokuwa na maana zaidi ya moja.
 
Uliona ni cult au ulithibitisha? Kama ulithibitisha kuwa ni cult toa A-Z usiishie kuzungumzia hisia tu ambazo hzina uhakika itakuwa unafanya kupotosha au uongo
Nimeandika niliona kama ni cult flani kama ile ya Pool of Siloam hivi. Naifatilia usiwe na wasiwasi.
 
๐Ÿšฎ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ