Uwe makini zaidi unapotaka kununua gari kwa watu hawa

Status
Not open for further replies.
Uje na mrejesho mkuu na kama utawatia ktk 18 zako hakikisha wananuka chupi.
 
Safi sana unyama unyama[emoji123][emoji123]
 

Polee mkuu.. fata sheria chako utapata tu
 
Wahi polisi wafungulie kesi, ushahidi unao kwamba uliwalipa mkasainishana
 
Ningesaidia ila mwenye ametoa thread sijawahi kumuamini pia humu ndani. Huyo illegal migrant.
 
Wanasheria wa Bongo mnapenda sana pesa! Kama kweli unaona ana kesi nzuri si uingie mzigoni hadi akishinda kesi ndiyo ulipwe pesa yako yote! Utakubali au utamwambia akulipe kwanza advance!?
 
Wanasheria wa Bongo mnapenda sana pesa! Kama kweli unaona ana kesi nzuri si uingie mzigoni hadi akishinda kesi ndiyo ulipwe pesa yako yote! Utakubali au utamwambia akulipe kwanza advance!?
Maadili ya uwakili hayaruhusu hicho unachokisema..yaani upige kazi halafu utalipwa mteja akishinda. What if akishindwa? Hiyo kwenye rules za ethics inaitwa Contingency fee..ambayo ni prohibited.

Mwanasheria anatakiwa kulipwa before hajatoa huduma za uwakilishi mahakamani regardless kama mteja wake atashinda au atashindwa.
 
Kuna siku utaitwa jambazi wakurosti mchana kweupe.
Enzi za ubabe zimrpitwa na wakati.
Rudia hicho ulichofanya nakuhakikishia hutatoboa.
 

Ndugu, yona si bado yuko nyuma ya nondo au ameshatoka? VKP bado inaoperate?


The Monk i hope niliwahi kukwambia hiki kitu, na yule mtu wetu alishawahi kujiassociate na mtajwa hapo.
 
Mwanajf mmoja akiibiwa ni sawa na tumeibiwa wote ngoja kwanza twende kwenye page yao tukakichafue tuone wanatokea wapi
Mimi mwana jf nimeibiwaje mkuu wakati anaagiza gari hakutuambia? Au akipata gari yake Wana jf wote pia tutakuwa temepata magari?
 
Hawajakutana na watu walioaga kwao...

Anyway tujifunze kufanya research na kutumia makampuni ambayo yana reputations tayari
Kutafuta aina ya gari sahihi la kununua na kupata wakala wa kukusaidia kununua gari hilo ni sawa na mwanafunzi wa umahiri kutafuta upenyo wa kisayansi ( scientific gap) kisha anapata upenye wa kimaendeleo ( developmental gap).

Kwa ufupi hii kazi inahitaji utulize kichwa na uache haraka ya kuamini kila kitu na kila mtu. Amini tu kwa kufanya uchunguzi kwanza.
====
Pole kwa usumbufu huu mleta mada.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…