Uwezo wa Israel unakuzwa sana

Uwezo wa Israel unakuzwa sana

canfi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
1,368
Reaction score
1,477
Ndani ya wiki moja tumeshuhudia makombola ya Hezbollah yakitwanga kambi ya jeshi ya Israel na kusababisha vifo vya wanajeshi kadhaa na majeruhi wengi. Leo kumeripotiwa shambolio jingine lililolenga makazi ya Netanyahu.

Haya makombora yanapita wapi ikiwa taifa hili linasemwa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi? Nadhani tunawakuza sana hawa watu. Imagine hapo wanashambuliwa na 'wanamgambo' wa Hezbollah, vp wakiingia kwenye vita na jeshi kamili la taifa kama Iran?

Inawezekana wana nguvu ya kijeshi, hasa kwa msaada wa US. Lkn pia tunawakuza saaaana. Uongo mwingi sana
 
Ndani ya wiki moja tumeshuhudia makombola ya Hezbollah yakitwanga kambi ya jeshi ya Israel na kusababisha vifo vya wanajeshi kadhaa na majeruhi wengi. Leo kumeripotiwa shambolio jingine lililolenga makazi ya Netanyahu.

Haya makombora yanapita wapi ikiwa taifa hili linasemwa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi? Nadhani tunawakuza sana hawa watu. Imagine hapo wanashambuliwa na 'wanamgambo' wa Hezbollah, vp wakiingia kwenye vita na jeshi kamili la taifa kama Iran?

Inawezekana wana nguvu ya kijeshi, hasa kwa msaada wa US. Lkn pia tunawakuza saaaana. Uongo mwingi sana
Kati ya Uwezo wa Samia na uwezo wa Israel, kipi kinauzwa zaidi ?
 
Ndani ya wiki moja tumeshuhudia makombola ya Hezbollah yakitwanga kambi ya jeshi ya Israel na kusababisha vifo vya wanajeshi kadhaa na majeruhi wengi. Leo kumeripotiwa shambolio jingine lililolenga makazi ya Netanyahu.

Haya makombora yanapita wapi ikiwa taifa hili linasemwa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi? Nadhani tunawakuza sana hawa watu. Imagine hapo wanashambuliwa na 'wanamgambo' wa Hezbollah, vp wakiingia kwenye vita na jeshi kamili la taifa kama Iran?

Inawezekana wana nguvu ya kijeshi, hasa kwa msaada wa US. Lkn pia tunawakuza saaaana. Uongo mwingi

Kwani hujui walinzi wa mapinduzi wa Iran wapo vitani??
 
Ndani ya wiki moja tumeshuhudia makombola ya Hezbollah yakitwanga kambi ya jeshi ya Israel na kusababisha vifo vya wanajeshi kadhaa na majeruhi wengi. Leo kumeripotiwa shambolio jingine lililolenga makazi ya Netanyahu.

Haya makombora yanapita wapi ikiwa taifa hili linasemwa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi? Nadhani tunawakuza sana hawa watu. Imagine hapo wanashambuliwa na 'wanamgambo' wa Hezbollah, vp wakiingia kwenye vita na jeshi kamili la taifa kama Iran?

Inawezekana wana nguvu ya kijeshi, hasa kwa msaada wa US. Lkn pia tunawakuza saaaana. Uongo mwingi sana
Mkuu ww endelea kunywa kahawa na kashata, hapo kijiwe samli + kuvaa kobaz
 
Punguzeni uongo. Mnashindana vikundi vya wanamgambo na wanaleta maafa ndani ya ardhi ya Israel. Eti Israel ni mbabe ulimwenguni. Punguzeni uongo
Nakushauri upeo ubaki kwenye mambo ya simba na yanga tu.
 
Magaidi wa Hamas wameanza kusurrender huko Gaza.

Israel ndio iliyoanzisha Hamas wakiwa na lengo la kuibunja PLO ya Yasser Arafat. Wayahudi walitegemea Wapalestina watapigana wao kwa wao.
Israel imeipatia pesa nyingi sana Hamas.

Mungu si Asumani. Fitna ✅ imezaa fitna imewageuki wao😂😂😂😂😂😂. Well done pirate state of Israel for supporting Hamas. They turned on you is a lesson to you and all “who try to divide an rule tricks”
 
Ndani ya wiki hiyo hiyo hujasikia kitu kingine kweli?
 
Back
Top Bottom