Uwezo wa Israel unakuzwa sana

Uwezo wa Israel unakuzwa sana

ambacho hujui ni kwamba wale captives ni chambo cha israel kutimiza malengo yake ya kijeshi apo gaza ni kwamba anataka gaza yote iwe majivu alafu achukue hilo eneo lote sasa captive wakipatikana si mana yake vita inaisha? wewe hujui kwamba israel anapenda vita?

alafu pia israel anataka aendelee kuwasogeza wapalestina waende mbali zaidi ili aongeze eneo sasa asipotafuta sababu itakayokubalika kimataifa hatafanikiwa
Huo uongo mtaacha lini? Na vipi kuhusu kambi za jeshi kubamizwa na Hezbollah? Nauo ni chambo. Mnawakuza mno
 
hivi thamani ya nasrala unaijua mkuu? viongozi wote wa hezbolah wameuliwa alafu unasema thaman ya viongozi ni ndogo kuliko madhara waliyoleta ebu taja hizo hasara kweli unatumia vidole kufikiria
So vifo vya hao viongozi vina thamani ya mauajj ya October 7? Akili zako ni ushuzi mtupu?
 
Always you asking the wrong Question......Au umezaliwa jana? Kauli mbio toka Iran ianzishwe ni Death to America ....Death to Israel.....Ndio inatakiwa iifute Israel chini ya jua....Rudia darasa lako la historia....
Jadili uwezo wa kijeshi wa srael. Usitoke nje ya mada. Shirikisha zaidi akili kwenye jii mijadala
 
Raia elf 1. Wewe mavi aisee
raia elf moja wa israel wamendoka..wapalestina unajua washakufa wangapi hadi sasa? zaidi ya elf 40, achilia mbali mji wao wote umekua majivu, achilia mbali viongozi wao wakuu wote wameliwa vichwa? hapo ulipo unatumia akili za kichwani au za matakoni?
 
raia elf moja wa israel wamendoka..wapalestina unajua washakufa wangapi hadi sasa? zaidi ya elf 40, achilia mbali mji wao wote umekua majivu, achilia mbali viongozi wao wakuu wote wameliwa vichwa? hapo ulipo unatumia akili za kichwani au za matakoni?
Nilijia ungejichanganya tu coz huna akili. Israel inapigana na Hamas au wapalestina? Hamas wao wanamtafuta muisrael yoyote that's why hawataki kuwaachia mateka. Pia kumbuka Hamas sio jeshi au mamlaka ya utawala wa Palestina. Kuwaua viongozi wa Hamas sio ushindi, kuwaua raia wa Palestina sio ushindi. Ushindi ni kuutokomeza hamas na kuwarejesha mateka
 
Nilijia ungejichanganya tu coz huna akili. Israel inapigana na Hamas au wapalestina? Hamas wao wanamtafuta muisrael yoyote that's why hawataki kuwaachia mateka. Pia kumbuka Hamas sio jeshi au mamlaka ya utawala wa Palestina. Kuwaua viongozi wa Hamas sio ushindi, kuwaua raia wa Palestina sio ushindi. Ushindi ni kuutokomeza hamas na kuwarejesha mateka
hamas ndo inatawala gaza, wapalestina wote waliopo ukanda wa gaza wako chini ya hamas
 
vp wakiingia kwenye vita na jeshi kamili la taifa kama Iran?
Waambie hao Iran waingie vitani na hilo jeshi la Israel waone mziki wao. Vitani kushambuliwa kupo haina maana ukiwa vitani hakuna hata chembe la jeraha hutapata eti kwa sababu una kinga fulani. Hakuna kitu kama hicho.
 
hamas ndo inatawala gaza, wapalestina wote waliopo ukanda wa gaza wako chini ya hamas
Kama wangekuwa na uwezo mkubwa as you have always been singing, wasingetoana jashk na wanamgambo. Mnawakuza sana. Mateka tu wamewashinda mwaka mzima
 
imeba

imebamizwa wapi hako kadrone kamoja? failure hua zinatokea hata moscow yenyewe pamoja mifumo imara ya ulinzi duniani lakni inapigwa na drone za ukraine
Ndo kupigwa huko
 
Waambie hao Iran waingie vitani na hilo jeshi la Israel waone mziki wao. Vitani kushambuliwa kupo haina maana ukiwa vitani hakuna hata chembe la jeraha hutapata eti kwa sababu una kinga fulani. Hakuna kitu kama hicho.
Lkn mnawakuza sana hao mashoga
 
Taifa la kinafk sana wao kutwa kuwalecture mataifa yanayowachallage kuwa eti wanatumia mabillion kutengeneza miradi ya nuclear badala ya kuinua maisha ya watu wao
Hivi Wewe Bata maji ilishafika Israe FYI jamaa wanaishi sana kuna jangwa hadi matching wa Yana limes na ya nakuwa exported sasa nyie mna maji ,Ardhi mnachoweza kuexport maybe ngono zembe
 
Back
Top Bottom