Uwezo wa Israel unakuzwa sana

Uwezo wa Israel unakuzwa sana

Wakati huko marekani watu wanapitia maisha duni hala nyumba ya kulala hawana na mlo tabu, utawala wao unaamrishwa na Isael wametoa shillingi billion 20 dollar juzi juzi tu za bure kuwapa israel kuuwa watu ovyo. Hii laana tupu,


View: https://youtube.com/shorts/F4GbuQV8y4A?si=O3IiCAP4lU9UUjw3

Taifa la kinafk sana wao kutwa kuwalecture mataifa yanayowachallage kuwa eti wanatumia mabillion kutengeneza miradi ya nuclear badala ya kuinua maisha ya watu wao
 
Ndani ya wiki moja tumeshuhudia makombola ya Hezbollah yakitwanga kambi ya jeshi ya Israel na kusababisha vifo vya wanajeshi kadhaa na majeruhi wengi. Leo kumeripotiwa shambolio jingine lililolenga makazi ya Netanyahu.

Haya makombora yanapita wapi ikiwa taifa hili linasemwa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi? Nadhani tunawakuza sana hawa watu. Imagine hapo wanashambuliwa na 'wanamgambo' wa Hezbollah, vp wakiingia kwenye vita na jeshi kamili la taifa kama Iran?

Inawezekana wana nguvu ya kijeshi, hasa kwa msaada wa US. Lkn pia tunawakuza saaaana. Uongo mwingi sana
Usianze Hashtag za Pray For Lebanon Baadae Hezbollah na Iran watawaponza Raia wote wa Lebanon naupendaga sana mji wa Beirut Pale Lebanon basi tu umejaa magaidi
 
Taifa la kinafk sana wao kutwa kuwalecture mataifa yanayowachallage kuwa eti wanatumia mabillion kutengeneza miradi ya nuclear badala ya kuinua maisha ya watu wao
Sana
 
Ndani ya wiki moja tumeshuhudia makombola ya Hezbollah yakitwanga kambi ya jeshi ya Israel na kusababisha vifo vya wanajeshi kadhaa na majeruhi wengi. Leo kumeripotiwa shambolio jingine lililolenga makazi ya Netanyahu.

Haya makombora yanapita wapi ikiwa taifa hili linasemwa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi? Nadhani tunawakuza sana hawa watu. Imagine hapo wanashambuliwa na 'wanamgambo' wa Hezbollah, vp wakiingia kwenye vita na jeshi kamili la taifa kama Iran?

Inawezekana wana nguvu ya kijeshi, hasa kwa msaada wa US. Lkn pia tunawakuza saaaana. Uongo mwingi sana

Actions speak louder than words.....!

1729364871769.png
 
Tujadili uwezo halisi wa Israel. Huonini kama wanafikika kirahisi na maadui??
Hata Vita zilizotangulia Israel ilivamiwa na Mataifa ya Kiarabu ghafla na sio kwamba IDF hawakupigwa lakini walipangua na kuyapiga Majeshi ya Waarabu hadi yakasarenda.
 
Ndani ya wiki moja tumeshuhudia makombola ya Hezbollah yakitwanga kambi ya jeshi ya Israel na kusababisha vifo vya wanajeshi kadhaa na majeruhi wengi. Leo kumeripotiwa shambolio jingine lililolenga makazi ya Netanyahu.

Haya makombora yanapita wapi ikiwa taifa hili linasemwa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi? Nadhani tunawakuza sana hawa watu. Imagine hapo wanashambuliwa na 'wanamgambo' wa Hezbollah, vp wakiingia kwenye vita na jeshi kamili la taifa kama Iran?

Inawezekana wana nguvu ya kijeshi, hasa kwa msaada wa US. Lkn pia tunawakuza saaaana. Uongo mwingi sana

Unachekesha....Hamas ni nguvu ya nani....?
Ndani ya wiki moja tumeshuhudia makombola ya Hezbollah yakitwanga kambi ya jeshi ya Israel na kusababisha vifo vya wanajeshi kadhaa na majeruhi wengi. Leo kumeripotiwa shambolio jingine lililolenga makazi ya Netanyahu.

Haya makombora yanapita wapi ikiwa taifa hili linasemwa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi? Nadhani tunawakuza sana hawa watu. Imagine hapo wanashambuliwa na 'wanamgambo' wa Hezbollah, vp wakiingia kwenye vita na jeshi kamili la taifa kama Iran?

Inawezekana wana nguvu ya kijeshi, hasa kwa msaada wa US. Lkn pia tunawakuza saaaana. Uongo mwingi sana
Ni kweli unakuzwa....

Gaza’s Ministry of Health says more than 42,500 Palestinians have been killed in Israeli attacks and thousands more are buried under rubble and threatened by illness.

Here are the latest casualty figures as of 5:00pm in Gaza (14:00 GMT) on October 18:

Gaza​

  • Killed: at least 42,500 people, including nearly 16,765 children
  • Injured: more than 99,546 people
  • Missing: more than 10,000
The latest figures from the Palestinian Ministry of Health in the occupied West Bank are as follows:

Occupied West Bank​

  • Killed: at least 757 people, including at least 165 children
  • Injured: more than 6,250 people
 
Ndani ya wiki moja tumeshuhudia makombola ya Hezbollah yakitwanga kambi ya jeshi ya Israel na kusababisha vifo vya wanajeshi kadhaa na majeruhi wengi. Leo kumeripotiwa shambolio jingine lililolenga makazi ya Netanyahu.

Haya makombora yanapita wapi ikiwa taifa hili linasemwa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi? Nadhani tunawakuza sana hawa watu. Imagine hapo wanashambuliwa na 'wanamgambo' wa Hezbollah, vp wakiingia kwenye vita na jeshi kamili la taifa kama Iran?

Inawezekana wana nguvu ya kijeshi, hasa kwa msaada wa US. Lkn pia tunawakuza saaaana. Uongo mwingi sana

Ombeni msaada Urusi.....Haya ndio matokeo.....

1729365519002.png
 
Hata Vita zilizotangulia Israel ilivamiwa na Mataifa ya Kiarabu ghafla na sio kwamba IDF hawakupigwa lakini walipangua na kuyapiga Majeshi ya Waarabu hadi yakasarenda.
Basi wawakomboe mateka wanaoshikiliwa na Hamas
 
Ndani ya wiki moja tumeshuhudia makombola ya Hezbollah yakitwanga kambi ya jeshi ya Israel na kusababisha vifo vya wanajeshi kadhaa na majeruhi wengi. Leo kumeripotiwa shambolio jingine lililolenga makazi ya Netanyahu.

Haya makombora yanapita wapi ikiwa taifa hili linasemwa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi? Nadhani tunawakuza sana hawa watu. Imagine hapo wanashambuliwa na 'wanamgambo' wa Hezbollah, vp wakiingia kwenye vita na jeshi kamili la taifa kama Iran?

Inawezekana wana nguvu ya kijeshi, hasa kwa msaada wa US. Lkn pia tunawakuza saaaana. Uongo mwingi sana
Israel ni kanchi kadogo sana.

Sasa fikiria, Israel anashambulia Gaza, muda huo huo anapiga Lebanon, muda huo huo yuko Syria anapiga karibu na airbase za Urusi, wakati huo huo anapangua missiles za Iran.

Ndugu yangu, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Wayahudi wako vizuri.
 
Ndani ya wiki moja tumeshuhudia makombola ya Hezbollah yakitwanga kambi ya jeshi ya Israel na kusababisha vifo vya wanajeshi kadhaa na majeruhi wengi. Leo kumeripotiwa shambolio jingine lililolenga makazi ya Netanyahu.

Haya makombora yanapita wapi ikiwa taifa hili linasemwa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi? Nadhani tunawakuza sana hawa watu. Imagine hapo wanashambuliwa na 'wanamgambo' wa Hezbollah, vp wakiingia kwenye vita na jeshi kamili la taifa kama Iran?

Inawezekana wana nguvu ya kijeshi, hasa kwa msaada wa US. Lkn pia tunawakuza saaaana. Uongo mwingi sana

Data hizo.....Mpaka Idadi ifikie 100,000....Malishwa UNRWA....Kazi kuzaa tu.....Ndio Maana hamthamini maisha....

1729365828234.png
 
Basi wawakomboe mateka wanaoshikiliwa na Hamas

Unaota....! Vita vimekwisha.....Kwanza Pole.....

List of Hezbollah, Hamas leaders Israel has assassinated since October 7, 2023​

Several Hamas and Hezbollah leaders including Yahya Sinwar, Ibrahim Aqil and Ismail Haniyeh were killed since the start of the war.​

1729365994737.png
 
Did they manage to rescue the captives? Remember its a year now
Israel ni kanchi kadogo sana.

Sasa fikiria, Israel anashambulia Gaza, muda huo huo anapiga Lebanon, muda huo huo yuko Syria anapiga karibu na airbase za Urusi, wakati huo huo anapangua missiles za Iran.

Ndugu yangu, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Wayahudi wako vizuri.
Huko kote anapigana na vikundi vya wanamgambo. Aingie kwenye vita kamili na Iran tuone
 
Back
Top Bottom