Uwezo wa Israel unakuzwa sana

Uwezo wa Israel unakuzwa sana

Unaota....! Vita vimekwisha.....Kwanza Pole.....

List of Hezbollah, Hamas leaders Israel has assassinated since October 7, 2023​

Several Hamas and Hezbollah leaders including Yahya Sinwar, Ibrahim Aqil and Ismail Haniyeh were killed since the start of the war.​

View attachment 3130107
Vipi kuhusu mateka?
 
Ndani ya wiki moja tumeshuhudia makombola ya Hezbollah yakitwanga kambi ya jeshi ya Israel na kusababisha vifo vya wanajeshi kadhaa na majeruhi wengi. Leo kumeripotiwa shambolio jingine lililolenga makazi ya Netanyahu.

Haya makombora yanapita wapi ikiwa taifa hili linasemwa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi? Nadhani tunawakuza sana hawa watu. Imagine hapo wanashambuliwa na 'wanamgambo' wa Hezbollah, vp wakiingia kwenye vita na jeshi kamili la taifa kama Iran?

Inawezekana wana nguvu ya kijeshi, hasa kwa msaada wa US. Lkn pia tunawakuza saaaana. Uongo mwingi sana

Uwezo wenu mkubwa....Upumbavu na kupigana stone age war.......Angalia Pagers na Walkie Talkie zilivyowamaliaza.....Mlinunua kifo....na mpaka leo hamjui kabisa nani aliwauzia.....

World News

Hezbollah is hit by a wave of exploding pagers that killed at least 9 people and injured thousands​


The pagers that blew up were apparently acquired by Hezbollah after the group’s leader ordered members in February to stop using cellphones, warning they could be tracked by Israeli intelligence. A Hezbollah official told The Associated Press the pagers were a new brand, but declined to say how long they had been in use.

Taiwanese company Gold Apollo said Wednesday that it authorized its brand on the AR-924 pagers used by the Hezbollah militant group, but the devices were produced and sold by a company called BAC.



At about 3:30 p.m. local time on Tuesday, as people shopped for groceries, sat in cafes or drove cars and motorcycles in the afternoon traffic, the pagers in their hands or pockets started heating up and then exploding — leaving blood-splattered scenes and panicking bystanders.
 
Vipi kuhusu mateka?

Nakuuliza Vita vimekwisha.....Hivyo vita vya Stone AGE.....Unajua kwa nini mnachukua mateka ....At the ndio njia tu ya kuwatoa mateka wenu Israel....Mtawatoa kwa grama kubwa....Mpaka sasa mnasema 45,000 wamekufa....akili za ujima hizo.....!
 
Ndani ya wiki moja tumeshuhudia makombola ya Hezbollah yakitwanga kambi ya jeshi ya Israel na kusababisha vifo vya wanajeshi kadhaa na majeruhi wengi. Leo kumeripotiwa shambolio jingine lililolenga makazi ya Netanyahu.

Haya makombora yanapita wapi ikiwa taifa hili linasemwa kuwa na mifumo madhubuti ya ulinzi? Nadhani tunawakuza sana hawa watu. Imagine hapo wanashambuliwa na 'wanamgambo' wa Hezbollah, vp wakiingia kwenye vita na jeshi kamili la taifa kama Iran?

Inawezekana wana nguvu ya kijeshi, hasa kwa msaada wa US. Lkn pia tunawakuza saaaana. Uongo mwingi sana
Kwa hiyo bwana mchambuzi wa mchamba wima ndo una ona ume tema pwenti hapa 🤣🤣
Nenda katawadhe mzee uka pige swala ya adhuuri 🐽
 
Did they manage to rescue the captives? Remember its a year now

Huko kote anapigana na vikundi vya wanamgambo. Aingie kwenye vita kamili na Iran tuone

Nani aingie vita....Mbona unageuza swali......Kwa nini Iran haitumii short cut...Yeye ndiye haitaki Israel.....toka kuanziswhwa kwake....Umeuliza kinyume kabisa......Anayetaka Israel isiwepo chini ya jua ni Iran....Lakini Sio Israel.....Ulizwa swali halisi Mkuu.....Nadhani hata hujui iRAN ANATAKA NINI HASA...
 
Basi wawakomboe mateka wanaoshikiliwa na Hamas
IDF inatumia mbinu ya Scorch earth policy kutokana na Wananchi wengi wa Gaza kushirikiana na Hamas.Wananchi wa Gaza wanatakiwa washirikiane na IDF ili vita viishe haraka.
 
Punguzeni uongo. Mnashindana vikundi vya wanamgambo na wanaleta maafa ndani ya ardhi ya Israel. Eti Israel ni mbabe ulimwenguni. Punguzeni uongo

Mbabe ni Hamas....! Si ndio unataka tuseme hivyo......Ushaihidi huu....

1729366934365.png
 
Did they manage to rescue the captives? Remember its a year now

Huko kote anapigana na vikundi vya wanamgambo. Aingie kwenye vita kamili na Iran tuone

Always you asking the wrong Question......Au umezaliwa jana? Kauli mbio toka Iran ianzishwe ni Death to America ....Death to Israel.....Ndio inatakiwa iifute Israel chini ya jua....Rudia darasa lako la historia....
 
Ukizaliwa Gaza automatically unakua mpiganaji... Israel hawezi shinda Gaza kwasababu ni vita inayopiganwa Kwa msingi wa ardhi.
 
Thaman ya vifo vya hao viongozi wa Hamas ni ndogo kuliko madhara na hasara waliyopeleka Israel. Punguzeni uongoooo
hivi thamani ya nasrala unaijua mkuu? viongozi wote wa hezbolah wameuliwa alafu unasema thaman ya viongozi ni ndogo kuliko madhara waliyoleta ebu taja hizo hasara kweli unatumia vidole kufikiria
 
Did they manage to rescue the captives? Remember its a year now

Huko kote anapigana na vikundi vya wanamgambo. Aingie kwenye vita kamili na Iran tuone
ambacho hujui ni kwamba wale captives ni chambo cha israel kutimiza malengo yake ya kijeshi apo gaza ni kwamba anataka gaza yote iwe majivu alafu achukue hilo eneo lote sasa captive wakipatikana si mana yake vita inaisha? wewe hujui kwamba israel anapenda vita?

alafu pia israel anataka aendelee kuwasogeza wapalestina waende mbali zaidi ili aongeze eneo sasa asipotafuta sababu itakayokubalika kimataifa hatafanikiwa
 
Did they manage to rescue the captives? Remember its a year now

Huko kote anapigana na vikundi vya wanamgambo. Aingie kwenye vita kamili na Iran tuone
Siku hizi vita hazitegemei sana Infantry(wanajeshi wa ardhini), bali ni uwezo wa angani zaidi (air force capacity) ndiyo ya muhimu zaidi.

Hebu basi tulinganishe nguvu za angani, kati ya Israel na Iran.

1)Air force personell
Iran 42000 , Israel 89000

2)Fighter aircraft.
Iran 189, Israel 240.

3)Attack aircraft
Iran 23, Israel 32.

4)Multirole aircraft
Iran 36, Israel 280.

5)Special mission
Iran 10, Israel 23.

6)Reconaissance
Iran 0, Israel 21.

7)Trainer aircraft
Iran 102, Israel 154.

8)Attack helcopters
Iran 13, Israel 48.

9)Helcopters
Iran 129, Israel 146.

10)Trainer aircraft
Iran 7, Israel 14.

11)AEWAC
Iran 0, Israel 4.

Vipi hizo data?
Hapo sijazungumzia nyuklia, Iran hana kabisa wakati Waebrania wana makombora 90 ya nyuklia.

Watu wengi hawaelewi, ile bendera ya taifa la Marekani, upande mmoja ina mistari myeupe na myekundu, upande mwingine ni nyeupe na nyota za blue.

Ile nyota inaitwa ''The Star of David''

Yule yule mfalme Daudi wa Israel, baba yake na mfalme Suleiman.

Marekani na Israel ni ndugu, ukiingia vitani na Israel, umeingia vitani na Marekani.

Head to Head kati ya Iran na Israel, Iran lazima apotee.

Thomas Karaoka, think tank wa US Air defence, wakati anahojiwa na CNN, alisema, wamepeleka Terminal High Altitude Air Defense(THAAD)Israel in order to comminicate to Iranians that they have to stop that nonsense, anamaanisha waache ujinga wa kutuma vi missiles Israel.

Maana yake nyingine ni kwamba Iran ni nonsense kwao, hawana muda wa kuifikiria wana mambo mengine ya muhimu.
 
Hizo ndio nguvu za Israel. Vipi kuhusu kuwaokoa mateka?
 
Siku hizi vita hazitegemei sana Infantry(wanajeshi wa ardhini), bali ni uwezo wa angani zaidi (air force capacity) ndiyo ya muhimu zaidi.

Hebu basi tulinganishe nguvu za angani, kati ya Israel na Iran.

1)Air force personell
Iran 42000 , Israel 89000

2)Fighter aircraft.
Iran 189, Israel 240.

3)Attack aircraft
Iran 23, Israel 32.

4)Multirole aircraft
Iran 36, Israel 280.

5)Special mission
Iran 10, Israel 23.

6)Reconaissance
Iran 0, Israel 21.

7)Trainer aircraft
Iran 102, Israel 154.

8)Attack helcopters
Iran 13, Israel 48.

9)Helcopters
Iran 129, Israel 146.

10)Trainer aircraft
Iran 7, Israel 14.

11)AEWAC
Iran 0, Israel 4.

Vipi hizo data?
Hapo sijazungumzia nyuklia, Iran hana kabisa wakati Waebrania wana makombora 90 ya nyuklia.

Watu wengi hawaelewi, ile bendera ya taifa la Marekani, upande mmoja ina mistari myeupe na myekundu, upande mwingine ni nyeupe na nyota za blue.

Ile nyota inaitwa ''The Star of David''

Yule yule mfalme Daudi wa Israel, baba yake na mfalme Suleiman.

Marekani na Israel ni ndugu, ukiingia vitani na Israel, umeingia vitani na Marekani.

Head to Head kati ya Iran na Israel, Iran lazima apotee.

Thomas Karaoka, think tank wa US Air defence, wakati anahojiwa na CNN, alisema, wamepeleka Terminal High Altitude Air Defense(THAAD)Israel in order to comminicate to Iranians that they have to stop that nonsense, anamaanisha waache ujinga wa kutuma vi missiles Israel.

Maana yake nyingine ni kwamba Iran ni nonsense kwao, hawana muda wa kuifikiria wana mambo mengine ya muhimu.
Asingehangaika kusumbuana na Wanamgambo na mpaka sasa hajaokoa mateka
 
Punguzeni uongo. Mnashindana vikundi vya wanamgambo na wanaleta maafa ndani ya ardhi ya Israel. Eti Israel ni mbabe ulimwenguni. Punguzeni uongo
Uanamgambo wao ni uvaaji wa kobazi au?
 
Back
Top Bottom