Uwezo wa Israel unakuzwa sana

Hivi Wewe Bata maji ilishafika Israe FYI jamaa wanaishi sana kuna jangwa hadi matching wa Yana limes na ya nakuwa exported sasa nyie mna maji ,Ardhi mnachoweza kuexport maybe ngono zembe
Hapa unajadili mada ipi. Babaako bora angepiga nyeto tu
 
Thaman ya vifo vya hao viongozi wa Hamas ni ndogo kuliko madhara na hasara waliyopeleka Israel. Punguzeni uongoooo
Kwani thamani ya binadamu inauzwa duka gani?mpaka ihesabike kuwa thamani ya viongozi wote wa Hezblloh,hamas na majenelali wa Iran waliouawa ni ndogo kuliko madhara na hasara waliopeleka Israel?.
 
Kwani thamani ya binadamu inauzwa duka gani?mpaka ihesabike kuwa thamani ya viongozi wote wa Hezblloh,hamas na majenelali wa Iran waliouawa ni ndogo kuliko madhara na hasara waliopeleka Israel?.
Sawa ni kubwa sana
 
Mmarekani huyo huo ndio ukweli
 
Kama wangekuwa na uwezo mkubwa as you have always been singing, wasingetoana jashk na wanamgambo. Mnawakuza sana. Mateka tu wamewashinda mwaka mzima
Kwakuangalia wewe unaona watu gani wamepoteza kwenye hii Vita? jamani wanaokufa ni binadamu kama sisi tupendane na tusaminiane dini utaifa tumeukuta na kuuacha ila pumzi ni bora kwa kila mwenye uhai
 
Thaman ya vifo vya hao viongozi wa Hamas ni ndogo kuliko madhara na hasara waliyopeleka Israel. Punguzeni uongoooo
Kwani ikitokea umeacha hivyo vichekesho,kuna ubaya gani?Mbona unajikondesha kwa mambo usiyoyajua?
 

Haya furahi...Mshindi Hamas.....! Akili nyingine bwana! Upupu mtupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…