Uwezo wa Waziri Ndumbaro ni Mdogo Sana

Uwezo wa Waziri Ndumbaro ni Mdogo Sana

[emoji23][emoji23][emoji23]
20240322_064726.jpg
 
Hata muundo wake kibiolojia haonyeshi kama anaweza kuwa na uwezo kichwani
Hao wenye maumbo kama hayo wanaitwa "Mongols". Mongol refers to a person suffering from Down's syndrome, owing to the similarity of some of the physical symptoms of the disorder with the normal facial characteristics of East Asia people
 
Mwenye CV ya Waziri wa Michezo na sanaa Damas Ndumbaro atuwekee hapa. Uwezo wake ni mdogo sana kiasi siamini kama anayo hata LLB.

Sababu zangu ni hizi:-
1. Wakati wa Magufuli akiwa Waziri wa Utalii alisema Chato ni kitovu cha utalii hivyo akaanzisha mbuga ya Burigi -Chato

2. Mwaka jana akiwa Waziri wa Sheria na katiba alisema tunahitaji miaka 3 ya wananchi kujufunza umuhimu wa Katiba

3. Wiki hili ameleta sintofahamu kubwa kwenye bara la Afrika akikataza mashabiki wa mpira kuingia na jezi za timu za Al Ahly na Mamelodi Sundowns kwenye mechi za CAF

SIWEZI kumpangia Rais watu wa kufanya naye kazi, lakini Waziri Ndumbaro HANA UWEZO wowoteView attachment 2942392View attachment 2942393
Hapa bora tu angeandika Kiswahili CAF wakatafsiri wenyewe. Hivi huko TFF hakuna watu walioenda shule?
1711183203675.png
 

Umasikini na uomba omba wa taifa letu unatokana na mambo mengi sana, moja ni hili la watu aina ya Ndumbaro kuwa mawaziri.

Na ni bahati mbaya, marais wanapotafuta mawaziri ni kama huwa kuna kaduara wanatakiwa kuzunguka humo humo ili kuwapata bila kutoka nje na kuangalia watu wenye akili nzuri ya kufikiri mambo ya maana.
 
Mwenye CV ya Waziri wa Michezo na sanaa Damas Ndumbaro atuwekee hapa. Uwezo wake ni mdogo sana kiasi siamini kama anayo hata LLB.

Sababu zangu ni hizi:-
1. Wakati wa Magufuli akiwa Waziri wa Utalii alisema Chato ni kitovu cha utalii hivyo akaanzisha mbuga ya Burigi -Chato

2. Mwaka jana akiwa Waziri wa Sheria na katiba alisema tunahitaji miaka 3 ya wananchi kujufunza umuhimu wa Katiba

3. Wiki hili ameleta sintofahamu kubwa kwenye bara la Afrika akikataza mashabiki wa mpira kuingia na jezi za timu za Al Ahly na Mamelodi Sundowns kwenye mechi za CAF

SIWEZI kumpangia Rais watu wa kufanya naye kazi, lakini Waziri Ndumbaro HANA UWEZO wowoteView attachment 2942392View attachment 2942393
ANataka kutuharibia hata tutolewe kuandaa caf hovyo kabisa passport na mpira wapi na wapi? Kwanza hana exposure hivi anajua kwamba wale watanzania wanaishi southafrica 90% hawana passport na wapo kimagumashi ila ndio wanaoenda kushangilia timu za tanzania zikienda southafrica sasa usirushe mawe kama unaishi nyumba ya vioo
 
Huyu jamaa ana IQ ndogo sana. Badala ya kuhimiza timu kufanya mazoezi ya nguvu na kucheza kwa bidii wapate matokeo yeye anahimiza watu wasivae jezi. Hivi jezi ndizo zinacheza mpira? Sijawahi kuona mtu mwenye akili za kipuuzi kama Ndumbaro.
Ndumbaro mweupe sana. Sijui hata mitihani alipasi vipi huko sekondari.

Mpaka naamini kuwa zoezi la vyeti feki lilikuwa selective and discriminative. Kama lingepita kwa wabunge Ndumbaro angekwama
 
Mwenye CV ya Waziri wa Michezo na sanaa Damas Ndumbaro atuwekee hapa. Uwezo wake ni mdogo sana kiasi siamini kama anayo hata LLB.

Sababu zangu ni hizi:-
1. Wakati wa Magufuli akiwa Waziri wa Utalii alisema Chato ni kitovu cha utalii hivyo akaanzisha mbuga ya Burigi -Chato

2. Mwaka jana akiwa Waziri wa Sheria na katiba alisema tunahitaji miaka 3 ya wananchi kujufunza umuhimu wa Katiba

3. Wiki hili ameleta sintofahamu kubwa kwenye bara la Afrika akikataza mashabiki wa mpira kuingia na jezi za timu za Al Ahly na Mamelodi Sundowns kwenye mechi za CAF

SIWEZI kumpangia Rais watu wa kufanya naye kazi, lakini Waziri Ndumbaro HANA UWEZO wowoteView attachment 2942392View attachment 2942393
Kwa kumuangalia tu utagundua.
 
Sijabisha.Kitendo cha kukaa kwa adabu na Jenista nayo ni akili. Saa hizi anaongoza wizara halafu mimi na wewe wenye "akili" tunabishana hadi mishipa ya viunoni inasimama bila shuruti wala malipo.
CV yake hii hapa. Mavyeti mengi ila kichwani amejaza takataka tu
Screenshot_20240323_142257_Chrome.jpg
 
Mwenye CV ya Waziri wa Michezo na sanaa Damas Ndumbaro atuwekee hapa. Uwezo wake ni mdogo sana kiasi siamini kama anayo hata LLB.

Sababu zangu ni hizi:-
1. Wakati wa Magufuli akiwa Waziri wa Utalii alisema Chato ni kitovu cha utalii hivyo akaanzisha mbuga ya Burigi -Chato

2. Mwaka jana akiwa Waziri wa Sheria na katiba alisema tunahitaji miaka 3 ya wananchi kujufunza umuhimu wa Katiba

3. Wiki hili ameleta sintofahamu kubwa kwenye bara la Afrika akikataza mashabiki wa mpira kuingia na jezi za timu za Al Ahly na Mamelodi Sundowns kwenye mechi za CAF

SIWEZI kumpangia Rais watu wa kufanya naye kazi, lakini Waziri Ndumbaro HANA UWEZO wowoteView attachment 2942392View attachment 2942393
Bado wiki mbili zilizopita aligombana na mama wa chaneta
 
Back
Top Bottom