OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Anaibisha watu wenye vichwa mviringo waonekane wa hovyoHata muundo wake kibiolojia haonyeshi kama anaweza kuwa na uwezo kichwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaibisha watu wenye vichwa mviringo waonekane wa hovyoHata muundo wake kibiolojia haonyeshi kama anaweza kuwa na uwezo kichwani
Ndege wafananao...huruka pamoja.Siyo Ndumbaro tu..... Safu zima ya CCM, wote uwezo hawana 🤒🤒
Ndio maana mpaka sasa huyu ameendelea kuwa waziri. Serikali zenye akili huyu angefukuzwa kwa sms ya WhatsApp tuSiyo Ndumbaro tu..... Safu zima ya CCM, wote uwezo hawana 🤒🤒
Kabisa, maana sijaona mwenye nafuu,Ndege wafananao...huruka pamoja.
😬😬, Wanajiona wote wapo ma- genius, kumbe huku urainai tunawaona kama hii picha.Ndio maana mpaka sasa huyu ameendelea kuwa waziri. Serikali zenye akili huyu angefukuzwa kwa sms ya WhatsApp tu
Mafanikio ya Simba yaliletwa na Ndumbarohaa wapi,,,Simba ishafanya makubwa michuano ya CAF kipindi Ndumbaro hana jina wala hajulikani.
Ndumbaro alipata ubunge kwa sababu JPM alikuwa hamtaki Nchimbi, kwa sasa Nchimbi ndio the bigboss, kwa Ndumbaro, anajua nini kinafuataMwenye CV ya Waziri wa Michezo na sanaa Damas Ndumbaro atuwekee hapa. Uwezo wake ni mdogo sana kiasi siamini kama anayo hata LLB.
Sababu zangu ni hizi:-
1. Wakati wa Magufuli akiwa Waziri wa Utalii alisema Chato ni kitovu cha utalii hivyo akaanzisha mbuga ya Burigi -Chato
2. Mwaka jana akiwa Waziri wa Sheria na katiba alisema tunahitaji miaka 3 ya wananchi kujufunza umuhimu wa Katiba
3. Wiki hili ameleta sintofahamu kubwa kwenye bara la Afrika akikataza mashabiki wa mpira kuingia na jezi za timu za Al Ahly na Mamelodi Sundowns kwenye mechi za CAF
SIWEZI kumpangia Rais watu wa kufanya naye kazi, lakini Waziri Ndumbaro HANA UWEZO wowoteView attachment 2942392View attachment 2942393
Lini hiyo? 🐼Ndumbaro alipata ubunge kwa sababu JPM alikuwa hamtaki Nchimbi, kwa sasa Nchimbi ndio the bigboss, kwa Ndumbaro, anajua nini kinafuata
Inaweza kuwa kweli.Lakini,yeye ni waziri.Mimi na wewe ni akina nani?CV yake hii hapa. Mavyeti mengi ila kichwani amejaza takataka tu
View attachment 2942555
Kwani Uwaziri ni kazi inayohitaji Elimu kubwa ??!Mwenye CV ya Waziri wa Michezo na sanaa Damas Ndumbaro atuwekee hapa. Uwezo wake ni mdogo sana kiasi siamini kama anayo hata LLB.
Sababu zangu ni hizi:-
1. Wakati wa Magufuli akiwa Waziri wa Utalii alisema Chato ni kitovu cha utalii hivyo akaanzisha mbuga ya Burigi -Chato
2. Mwaka jana akiwa Waziri wa Sheria na katiba alisema tunahitaji miaka 3 ya wananchi kujufunza umuhimu wa Katiba
3. Wiki hili ameleta sintofahamu kubwa kwenye bara la Afrika akikataza mashabiki wa mpira kuingia na jezi za timu za Al Ahly na Mamelodi Sundowns kwenye mechi za CAF
SIWEZI kumpangia Rais watu wa kufanya naye kazi, lakini Waziri Ndumbaro HANA UWEZO wowoteView attachment 2942392View attachment 2942393
mzee wa Utopolo hujui na hujijui kama hujui.Mafanikio ya Simba yaliletwa na Ndumbaro
Siyo kweli. Huyu ni kilaza tu. Mapenzi yake na Simba Sports ni kitu binafsi wala HAYAISAIDII SimbaMafanikio ya Simba yaliletwa na Ndumbaro
Kwani kuwa Waziri ndiyo kitu cha maana kuliko majukumu mengine hapa Tanzania? Wacha kujidogosha kwa watu midioka (mediocre)Inaweza kuwa kweli.Lakini,yeye ni waziri.Mimi na wewe ni akina nani?
Teh teh teh!Won't help!Kwani kuwa Waziri ndiyo kitu cha maana kuliko majukumu mengine hapa Tanzania? Wacha kujidogosha kwa watu midioka (mediocre)
Tuko Simba kitambo sana bwashee 😂mzee wa Utopolo hujui na hujijui kama hujui.