Theironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 16, 2024
- 336
- 903
🤣🤣Eti kadifend thesisWe utakua ndumbaro wewe...
Hizo za kununua mwengeh🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Eti kadifend thesisWe utakua ndumbaro wewe...
Watu wenye inferiority complex ni wengi sana. Unatesekea wapi ndugu yetu na ID fake yako?🤣🤣Eti kadifend thesis
Hizo za kununua mwengeh🤣🤣
Asubuh yote hii unawaza Niko wapi,amka kateke maji umpelekee mumeo maliwaton akaoshe janaba ulilompa usiku🤣🤣🤣Watu wenye inferiority complex ni wengi sana. Unatesekea wapi ndugu yetu na ID fake yako?
Mpaka mda huu angalu nawaona mawaziri wawili tu katika baraza la mawaziri sitotaja majina yao ,Mwenye CV ya Waziri wa Michezo na sanaa Damas Ndumbaro atuwekee hapa. Uwezo wake ni mdogo sana kiasi siamini kama anayo hata LLB.
Sababu zangu ni hizi:-
1. Wakati wa Magufuli akiwa Waziri wa Utalii alisema Chato ni kitovu cha utalii hivyo akaanzisha mbuga ya Burigi -Chato
2. Mwaka jana akiwa Waziri wa Sheria na katiba alisema tunahitaji miaka 3 ya wananchi kujufunza umuhimu wa Katiba
3. Wiki hili ameleta sintofahamu kubwa kwenye bara la Afrika akikataza mashabiki wa mpira kuingia na jezi za timu za Al Ahly na Mamelodi Sundowns kwenye mechi za CAF
SIWEZI kumpangia Rais watu wa kufanya naye kazi, lakini Waziri Ndumbaro HANA UWEZO wowoteView attachment 2942392View attachment 2942393
Yaan level yako ipo chini sana. Wakati nipo mdogo , baba aliweka picha kubwa, sebuleni. Ilikuwa inasema never argue with a fool people might not notice the difference. Ndio nimekiona kutoka kwako. Stay blessed. Endelea kuteseka mkuu.Asubuh yote hii unawaza Niko wapi,amka kateke maji umpelekee mumeo maliwaton akaoshe janaba ulilompa usiku🤣🤣🤣
Umemgundua na wewe siyo! Maana andumbia macho maujinga yote ya Ndumbaro. Kweli aweza kuwa mwenyeweWe utakua ndumbaro wewe...
Eti ID Fake. Kwani wewe DAMA2025 ndiyo jina lako la NIDA? Wewe Ndumbaro huna hata uwezo wa kubishana JF, hebu tupishe tuWatu wenye inferiority complex ni wengi sana. Unatesekea wapi ndugu yetu na ID fake yako?
We una akili sana pokea maua Yako [emoji253]Hata muundo wake kibiolojia haonyeshi kama anaweza kuwa na uwezo kichwani
Je, ni Waziri gani ambaye uwezo wake ni mkubwa?????Mwenye CV ya Waziri wa Michezo na sanaa Damas Ndumbaro atuwekee hapa. Uwezo wake ni mdogo sana kiasi siamini kama anayo hata LLB.
Sababu zangu ni hizi:-
1. Wakati wa Magufuli akiwa Waziri wa Utalii alisema Chato ni kitovu cha utalii hivyo akaanzisha mbuga ya Burigi -Chato
2. Mwaka jana akiwa Waziri wa Sheria na katiba alisema tunahitaji miaka 3 ya wananchi kujufunza umuhimu wa Katiba
3. Wiki hili ameleta sintofahamu kubwa kwenye bara la Afrika akikataza mashabiki wa mpira kuingia na jezi za timu za Al Ahly na Mamelodi Sundowns kwenye mechi za CAF
SIWEZI kumpangia Rais watu wa kufanya naye kazi, lakini Waziri Ndumbaro HANA UWEZO wowoteView attachment 2942392View attachment 2942393
Uzi ufungweSiyo Ndumbaro tu..... Safu zima ya CCM, wote uwezo hawana 🤒🤒
😬😬😬Uzi ufungwe
Nikishaona mtu anavaa suti na raba, automatically huwa najua ni zombie. Kuna siku kaenda kumpokea celebrity dogo mmoja uwanja wa ndege wa Arusha kipindi Cha dhalimu magu, alikuwa kavaa lisuit la kipeasant, yale masuit oversize, celebrity mwenyewe ni kijana mdogo amevaa hizi suruali za vijana na mchumba wake,wakawa wanashangaa huyu mkulima wa wapi analazimisha kuwasemesha?! Wakaambiwa na waziri wa utalii. Huyo dogo akawa anashangaa maana alikuwa hataki hizo shobo.Mwenye CV ya Waziri wa Michezo na sanaa Damas Ndumbaro atuwekee hapa. Uwezo wake ni mdogo sana kiasi siamini kama anayo hata LLB.
Sababu zangu ni hizi:-
1. Wakati wa Magufuli akiwa Waziri wa Utalii alisema Chato ni kitovu cha utalii hivyo akaanzisha mbuga ya Burigi -Chato
2. Mwaka jana akiwa Waziri wa Sheria na katiba alisema tunahitaji miaka 3 ya wananchi kujufunza umuhimu wa Katiba
3. Wiki hili ameleta sintofahamu kubwa kwenye bara la Afrika akikataza mashabiki wa mpira kuingia na jezi za timu za Al Ahly na Mamelodi Sundowns kwenye mechi za CAF
SIWEZI kumpangia Rais watu wa kufanya naye kazi, lakini Waziri Ndumbaro HANA UWEZO wowoteView attachment 2942392View attachment 2942393
Uwe unanitag ukiandika kitu chenye kutumia akili sio huu ushuzi ulioandika.Nikishaona mtu anavaa suti na raba, automatically huwa najua ni zombie. Kuna siku kaenda kumpokea celebrity dogo mmoja uwanja wa ndege wa Arusha kipindi Cha dhalimu magu, alikuwa kavaa lisuit la kipeasant, yale masuit oversize, celebrity mwenyewe ni kijana mdogo amevaa hizi suruali za vijana na mchumba wake,wakawa wanashangaa huyu mkulima wa wapi analazimisha kuwasemesha?! Wakaambiwa na waziri wa utalii. Huyo dogo akawa anashangaa maana alikuwa hataki hizo shobo.
Inshort huyo dogo hakuwa anataka habari za huyo mshamba akawa anamkatia juu kwa juu. Na vile huyo Ndumbaro alikuwa anaongea kiingereza Cha English course, basi akawa anamkata dogo steam kishenzi. Alikuwa analazimisha kumuambia kasafiri toka Dar kuja kumpokea eti katumwa na rais Magufuli, maana serekali yake inajali utalii! Dogo alikuwa anaona story ya kishamba, maana hata huyo Magufuli mwenyewe alikuwa hamjui. Nilivyomsikia juzi analazimisha uzalendo uchwara wa kutovaa jezi za team za nje, nikajua ushamba kwake uko kwenye damu.
Tlaatlaah Lucas mwashambwa MamaSamia2025 ChoiceVariable
mie kwanza ngoja ncheke 😀Nikishaona mtu anavaa suti na raba, automatically huwa najua ni zombie. Kuna siku kaenda kumpokea celebrity dogo mmoja uwanja wa ndege wa Arusha kipindi Cha dhalimu magu, alikuwa kavaa lisuit la kipeasant, yale masuit oversize, celebrity mwenyewe ni kijana mdogo amevaa hizi suruali za vijana na mchumba wake,wakawa wanashangaa huyu mkulima wa wapi analazimisha kuwasemesha?! Wakaambiwa na waziri wa utalii. Huyo dogo akawa anashangaa maana alikuwa hataki hizo shobo.
Inshort huyo dogo hakuwa anataka habari za huyo mshamba akawa anamkatia juu kwa juu. Na vile huyo Ndumbaro alikuwa anaongea kiingereza Cha English course, basi akawa anamkata dogo steam kishenzi. Alikuwa analazimisha kumuambia kasafiri toka Dar kuja kumpokea eti katumwa na rais Magufuli, maana serekali yake inajali utalii! Dogo alikuwa anaona story ya kishamba, maana hata huyo Magufuli mwenyewe alikuwa hamjui. Nilivyomsikia juzi analazimisha uzalendo uchwara wa kutovaa jezi za team za nje, nikajua ushamba kwake uko kwenye damu.
Tlaatlaah Lucas mwashambwa MamaSamia2025 ChoiceVariable
HahahaSijabisha.Kitendo cha kukaa kwa adabu na Jenista nayo ni akili. Saa hizi anaongoza wizara halafu mimi na wewe wenye "akili" tunabishana hadi mishipa ya viunoni inasimama bila shuruti wala malipo.
Kwa serikali hii wote ni mizigo tu from top to bottom.Je, ni Waziri gani ambaye uwezo wake ni mkubwa?????
Kwa kilugha tunawaita 'Mongolian idiots'.Hao wenye maumbo kama hayo wanaitwa "Mongols". Mongol refers to a person suffering from Down's syndrome, owing to the similarity of some of the physical symptoms of the disorder with the normal facial characteristics of East Asia people
Tuliosoma naye sec tunasema sio kweli,yule ni genious kwa taarifa yako. Angalia muundo wa vichwa vya genius wengi.Kama vipi wee nenda tu pale tabora boys nje,au mzumbe sec uwaangalie wakiingia na kutoka utajifunza kitu.Halafu huwa wapo kama hawapo lakini hatari.Aisee morphology structure ya kichwa yake inaonyesha kabisa ana mtindio wa ubongo, hatuna sababu ya kumlaumu.
Tatizo kubwa katika Nchi yetu ni IQ hafifu.Haya ndiyo matokeo ya kuwapa uongozi watu wenye IQ ya 65