CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Kichwa kama cha Albert ChalamilaAnaibisha watu wenye vichwa mviringo waonekane wa hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa kama cha Albert ChalamilaAnaibisha watu wenye vichwa mviringo waonekane wa hovyo
Mh. Umeamua uingie mwenyewe kujitetea maana haya mawe unayotupiwa siyo ya kitoto.Hauwez kumtukana na kumdharau mtu kuwa, ana uwezo mdogo bila standard za uhakika ili wote tukubaliane. Inawezekana ww ndio huna, uwezo wowote na kaz yako ni kukandia watu kwa, kuwa wanakuzid kipato, elimu. Hayo tunaita ni majungu ya kipumbavu na kijinga. Na huwa yanatolewa na watu wasio na uwezo kwa sababu wamezidiwa.
Tatizo ni inferiority complex uliyonayo ndio inakusumbua. Labda tukuulize, ww uwezo wako ni upi uliolifanyia taifa hili,popote pale ili tujue kuwa una uwezo. Na uwe specific ili tukutafute na tudhibitishe kuwa una uwezo.Eti ID Fake. Kwani wewe DAMA2025 ndiyo jina lako la NIDA? Wewe Ndumbaro huma hata uwezo wa kubishana JF, hebu tupishe tu
Ni ufupisho wa jina lake la kwanza na hiyo 25 ni kuwa 2025 anagombea tena.Eti ID Fake. Kwani wewe DAMA2025 ndiyo jina lako la NIDA? Wewe Ndumbaro huma hata uwezo wa kubishana JF, hebu tupishe tu
Wala mm sio mheshimiwa Dr Ndumbaro. Mm ni mdau wa JF Kama ww. Nina haki ya kusupport au kuto support mjadala. Tatizo wabongo wengi wanapenda uamini wanachoongea hata Kama ni pumba.Mh. Umeamua uingie mwenyewe kujitetea maana haya mawe unayotupiwa siyo ya kitoto.
Mh. Umeamua uingie mwenyewe kujitetea maana haya mawe unayotupiwa siyo ya kitoto.
Ni wrong interpretation unayoileta kwa kuwa unaamini katika kugombea siasani. Mbona ww unaitwa chief Priest. Kwa hiyo ni kuhani mkuu??Ni ufupisho wa jina lake la kwanza na hiyo 25 ni kuwa 2025 anagombea tena.
Ni ufupisho wa jina lake la kwanza na hiyo 25 ni kuwa 2025 anagombea tena.
Hawa jamaa wenye vichwa vya aina hii ni shida. Na yule waziri sijui ni wa nini, nadhani alikuwa naibu wa afya wakati wa Magufuli.Kichwa kama cha Albert Chalamila
mbona mshanajr anakichwa cha mviringo na akili anazo.Hawa jamaa wenye vichwa vya aina hii ni shida. Na yule waziri sijui ni wa nini, nadhani alikuwa naibu wa afya wakati wa Magufuli.
Yule aliyemwombea Magufuli apate corona na kweli akaipataHawa jamaa wenye vichwa vya aina hii ni shida. Na yule waziri sijui ni wa nini, nadhani alikuwa naibu wa afya wakati wa Magufuli.
Mkiambiwa siyo kila PhD ni za wenye Akili Kubwa au ndiyo Wasomi sana msiwe mnabisha sawa? GENTAMYCINE na hutu tudigrii twangu tumoja tu twa SAUT Mwanza ya mwaka 2009 IQ yangu imewaavcha mbali sana wenye Masters na Doctorates zao.Mwenye CV ya Waziri wa Michezo na sanaa Damas Ndumbaro atuwekee hapa. Uwezo wake ni mdogo sana kiasi siamini kama anayo hata LLB.
Sababu zangu ni hizi:-
1. Wakati wa Magufuli akiwa Waziri wa Utalii alisema Chato ni kitovu cha utalii hivyo akaanzisha mbuga ya Burigi -Chato
2. Mwaka jana akiwa Waziri wa Sheria na katiba alisema tunahitaji miaka 3 ya wananchi kujufunza umuhimu wa Katiba
3. Wiki hili ameleta sintofahamu kubwa kwenye bara la Afrika akikataza mashabiki wa mpira kuingia na jezi za timu za Al Ahly na Mamelodi Sundowns kwenye mechi za CAF
SIWEZI kumpangia Rais watu wa kufanya naye kazi, lakini Waziri Ndumbaro HANA UWEZO wowoteView attachment 2942392View attachment 2942393
Kweli mimi ni Kuhani Mkuu wa mizimu yote ya milima ya Uluguru na Udzungwa.Ni wrong interpretation unayoileta kwa kuwa unaamini katika kugombea siasani. Mbona ww unaitwa chief Priest. Kwa hiyo ni kuhani mkuu??
Huenda alikuwa anaibia mitihaniCV yake hii hapa. Mavyeti mengi ila kichwani amejaza takataka tu
View attachment 2942555
Hahaaaaa kile kichwa kilivyokaa pamoja na cha Chalamila vinaonekana hamna kitu mule.Hata muundo wake kibiolojia haonyeshi kama anaweza kuwa na uwezo kichwani
Jamaa amebaki kusema mitano Tena kwa mama tu.Mwenye CV ya Waziri wa Michezo na sanaa Damas Ndumbaro atuwekee hapa. Uwezo wake ni mdogo sana kiasi siamini kama anayo hata LLB.
Sababu zangu ni hizi:-
1. Wakati wa Magufuli akiwa Waziri wa Utalii alisema Chato ni kitovu cha utalii hivyo akaanzisha mbuga ya Burigi -Chato
2. Mwaka jana akiwa Waziri wa Sheria na katiba alisema tunahitaji miaka 3 ya wananchi kujufunza umuhimu wa Katiba
3. Wiki hili ameleta sintofahamu kubwa kwenye bara la Afrika akikataza mashabiki wa mpira kuingia na jezi za timu za Al Ahly na Mamelodi Sundowns kwenye mechi za CAF
SIWEZI kumpangia Rais watu wa kufanya naye kazi, lakini Waziri Ndumbaro HANA UWEZO wowoteView attachment 2942392View attachment 2942393
Mkuu unapigaje hapo?Kama ali defend thesis ya PhD na kushinda u- advocate anashindwa nini kutambua Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 18 inasema nini kuhusu "Freedom of Expression and association".
Kama ni advocate kweli na siyo Bush lawyer muulize Article 19 ya Universal Declaration of human rights ambayo Tanzania imeridhia inasemaje kuhusu hilo.
Acha kutetea mzembe kwa kuwa ni ndugu yako na anakupa hela ya kuishi mjini
Mwenzako hat hiyo iq ya 65 hajui ina kiwang0 gan?Haya ndiyo matokeo ya kuwapa uongozi watu wenye IQ ya 65
Hata muundo wake kibiolojia haonyeshi kama anaweza kuwa na uwezo kichwani
Sasa tunaweza kufunga kwa vile tumepiga spana mpaka Serikali imetoa TAMKO kupitia kwa Mobhare Matinyi, Msemaji wa Serikali.Uzi ufungwe
Akili zenyewe ziko wapi kwenye uhalisia? Au unatishwa na PhD ya OUT?Jamaa lina akili sana