Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti naye ana PhD!! Hovyo kabisa Chuo kilicho mpa huyu hiyo mikaratasiNikishaona mtu anavaa suti na raba, automatically huwa najua ni zombie. Kuna siku kaenda kumpokea celebrity dogo mmoja uwanja wa ndege wa Arusha kipindi Cha dhalimu magu, alikuwa kavaa lisuit la kipeasant, yale masuit oversize, celebrity mwenyewe ni kijana mdogo amevaa hizi suruali za vijana na mchumba wake,wakawa wanashangaa huyu mkulima wa wapi analazimisha kuwasemesha?! Wakaambiwa na waziri wa utalii. Huyo dogo akawa anashangaa maana alikuwa hataki hizo shobo.
Inshort huyo dogo hakuwa anataka habari za huyo mshamba akawa anamkatia juu kwa juu. Na vile huyo Ndumbaro alikuwa anaongea kiingereza Cha English course, basi akawa anamkata dogo steam kishenzi. Alikuwa analazimisha kumuambia kasafiri toka Dar kuja kumpokea eti katumwa na rais Magufuli, maana serekali yake inajali utalii! Dogo alikuwa anaona story ya kishamba, maana hata huyo Magufuli mwenyewe alikuwa hamjui. Nilivyomsikia juzi analazimisha uzalendo uchwara wa kutovaa jezi za team za nje, nikajua ushamba kwake uko kwenye damu.
Tlaatlaah Lucas mwashambwa MamaSamia2025 ChoiceVariable
Jamaa lina akili sanaCV yake hii hapa. Mavyeti mengi ila kichwani amejaza takataka tu
View attachment 2942555
Wengine wanabebwa na ushirikina mkuuSijabisha.Kitendo cha kukaa kwa adabu na Jenista nayo ni akili. Saa hizi anaongoza wizara halafu mimi na wewe wenye "akili" tunabishana hadi mishipa ya viunoni inasimama bila shuruti wala malipo.
Wapo tayari kufanya lolote ili wapate "ukubwa" na kuondoa mikosi ya ukoo.Wengine wanabebwa na ushirikina mkuu
Hata kuku anamuona kunguru ni genius kwa vile anaruka toka mti kwenda mtiTuliosoma naye sec tunasema sio kweli,yule ni genious kwa taarifa yako. Angalia muundo wa vichwa vya genius wengi.Kama vipi wee nenda tu pale tabora boys nje,au mzumbe sec uwaangalie wakiingia na kutoka utajifunza kitu.Halafu huwa wapo kama hawapo lakini hatari.
Ndiyo hivyo mkuu ukipata sagoma mzuri unatoboa haraka sn, angalia akina Ummy, Makamba, Nape, Mwigulu, Aweso, Mbarawa, Kijaju, Bashe, Masauni n.k hakuna kazi ya maana wanafanya lakini ndiyo wameishika nchi hakuna namna na maza humwambii yaani kwake anajua ni chapa kazi haswaWapo tayari kufanya lolote ili wapate "ukubwa" na kuondoa mikosi ya ukoo.
Hatuna vyuo kuna mashina ya CCMEti naye ana PhD!! Hovyo kabisa Chuo kilicho mpa huyu hiyo mikaratasi
You can have a PhD and still be an idiot! Education and intelligence are two different things.Angekuwa ana akili asingeongea huo utumbo
Ebu mcheki zuzu Sugu unasemaje muundo wake🤣Hata muundo wake kibiolojia haonyeshi kama anaweza kuwa na uwezo kichwani
Walizani choo cha kukaa, kumbe ni kuchuchumaaNenda uka Google utazikuta CV zetu
Ukiona hivyo ujue hiki ndio kiwango Chako ulichofikia sasaUwe unanitag ukiandika kitu chenye kutumia akili sio huu ushuzi ulioandika.
Yaani akianzaga kuongea napata kinyaa. PhD za mchongo hizo.Eti naye ana PhD!! Hovyo kabisa Chuo kilicho mpa huyu hiyo mikaratasi
PhD za kina Jaffo na Biteko.Yaani akianzaga kuongea napata kinyaa. PhD za mchongo hizo.