UWT yalaani vikali BAWACHA kuchoma vitenge vyenye picha ya Rais Samia, yasema ni upuuzi na utoto mkubwa

huyu mwamba naboreka mno kusoma mabandiko yake yakichawachawa
 
Utaweweseka sana mwaka huu mpaka upasuke kwa presha ya wivu na chuki binafsi
Wala siweweseki, najua nisemalo, nina uhakika wa zaidi ya 100%....

Wewe na wenzako ndio mna ajira za muda tu kwa kuwa Jezebel yuko hapo alipo. Mnaweweseka maslahi yenu maovu kushambuliwa. Mnajua mkinyamaza, sisi attackers wa uovu wenu tutashinda na definite itakuwa hivyo...

Haijalishi...

Huyo "Ngariba" wenu hana muda mrefu. Ataondoka na wewe na ID yako ya Lucas Mwashambwa...

Mimi The Palm Beach niko hapa. Najua sooner and very sooner nitakutafuta na nisikuone tena..

Stay tuned for now...
 
UWT hawajielewi, hata mimi ukinipa kitu umekipamba kwa sura yako na majina nitakidhuru tu..kukuonyesha sikukubali na manguo yako 😎
 
Kama unataka kunywa sumu UFE ewe uliyekosa adabu na malezi mazuri ya wazazi wako.
 
Hao
was
Wanatia aibu sana BAWACHA.
Chama cha wasimbe sugu wasiokua na waume kuanzia mwenyekiti wa uwt mpka uvccm jokate...lucy nawe msimbe sugu
 
CCM haina mambo ya kijinga jinga na kipuuzi kama hayo wafanyayo Bawacha kuchoma Vitenge. Ndio maana wananchi wamewaona Bawacha kama watu wasio timamu kichwani na wasio jitambua.

Wanatia aibu sana BAWACHA.
Mkuu hiyo ni aina ya maandamano yasiyo hitaji taarifa kwa polisi. Taratibu formula ya kufanya maandamano inabadilika!!!

Mwashambwa, usifikiri wapiga kura milion 7 wa upinzani ni jambo dogo!!!
 
CCM haina mambo ya kijinga jinga na kipuuzi kama hayo wafanyayo Bawacha kuchoma Vitenge. Ndio maana wananchi wamewaona Bawacha kama watu wasio timamu kichwani na wasio jitambua.
Sema wewe umewaona wapuuzi siyo wananchi wamewaona wapuuzi. Unadhani UWT ndo wananchi pekee yao au Wana ccm ndo wananchi au? Acha upuuzi wako!
 
Acha ujinga wako.pambaneni kuokoa chama chenu kinachoendelea kuzama shimoni.
Hakizami na hakitazama. Badala tusaidiane kujua ndugu zetu wanapelekwa wapi. Ninyi mmerogwa na ccm kumsifia kila kitu. Mjomba wako atakapokuwa haonekani hautaongea upuuzi wako.
 
Politics is just a career like any other; its only downside is the direct involvement in people's well-being..
 
Swali fikirishi hivi haya matamko huwa yanafanyiwa kazi?, ama yanachukuliwa kama polojo tu, kwa maana mimi nadhani tunaishi kwenye jamii ya bora liende, (kanyaga twende)

pia ningependa kupata ufafanuzi kwa kiswahili maana halisi ya: unworking government machineries
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…