Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKAZIARudia nyuma yangu...watu hawako sawa,ukomavu wa mwanamke au mwanaume inategemeana na vitu vingi hasa mazingira,elimu n.k
Mwanaume au mwanamke 18+ yuko tayari ni mtu mzima na kapevuka pia majukumu ya kifamilia ndo yanamjenga mtu
Njoo nikupe connection ujisevie mkuu Kama unawezaMkuu hakuna kitu kinaitwa HIV+ ,,,,huyo jisevie mwenyewe tu.
KARIBU TUISHI PAMOJA TUFUNGE NDOA
Umri wangu 35 - 40.
Urefu wangu : 170 cm
Dini yangu: Roman Catholic
Elimu yangu : higher education
Kazi : mwajiriwa serikalini
Makazi: Mbeya mjini.
Nipo tayari kupima HIV pamoja na mtarajiwa wangu
ANAYEKARIBISHWA KWANGU
Awe na umri kuanzia miaka 25 hadi 33.
Awe na imani ya dini - dini yeyote
Awe na elimu kuanzia Kidato cha sita hadi masters au zaidi
Awe tayari kupima HIV pamoja
Asiwe mnene au kibonge ( awe na unene wa kati - no 8, au hata flat screen lakini anavutia)
Awe mfupi au mrefu poa tu hakuna shida.
Awe na nia ya dhati ya kuwa na mwanaume ambaye atakuwa mume wake na kuishi nae pamoja na kujenga familia.
NAMKARIBISHA MWANAMKE YEYOTE MWENYE SIFA TAJWA HAPO JUU, ZIKIWA HAZIJATIMIA ZOTE USIOGOPE NJOO PM TUZUNGUMZE PAMOJA.
KARIBU SANA.
ungeweka wasifu pia ingewashtua zaidi wajeWanaotafuta ndoa, mpite hapaaaaah
Akaaaaah mie hata sihitaji, nilkuwa nawaita wanaohitajiungeweka wasifu pia ingewashtua zaidi waje
Kuna watu wapo serious Sana , nivyema tupaze comments zetu kuwaita malaika sisi.Akaaaaah mie hata sihitaji, nilkuwa nawaita wanaohitaji
Huhuhuhuh wapo hapo juu wengi wameweka sifa na vigezo, kwahyo wala haina shidaah watapitia kuona.Kuna watu wapo serious Sana , nivyema tupaze comments zetu kuwaita malaika sisi.
Mimi nataka ndoa na wwHuhuhuhuh wapo hapo juu wengi wameweka sifa na vigezo, kwahyo wala haina shidaah watapitia kuona.
Na Watanzania wanavyopenda kusikia kuwa mtu ni masikini[emoji38]Imekaa vema sana[emoji23][emoji23]
kelphin kepph
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] yaaani wee kila nakopita lazima unifuate, uwiiiiiiiiih lolMimi nataka ndoa na ww
Haupendi sugar daddy? Yupo..Umri: 23
Elimu: Degree
Sina mtoto
Natafuta : sugar mamy
Nipo dar
Jamani msicheke wala kukebehi kila mtu na akipendacho maisha yenyewe mafupi aya. Tuelewe kila binadamu ni tofauti na matamanio ni tofauti kama wewe unapenda nyama usituponde tunaopenda samaki.
Nakupenda [emoji7][emoji7][emoji7][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] yaaani wee kila nakopita lazima unifuate, uwiiiiiiiiih lol
JiheshimuHaupendi sugar daddy? Yupo..