UZI MAALUMU: Wanawake wote ambao wana msongo wa mawazo kwa sababu ya kutoolewa mkutane hapa

Nadhani kwasababu Lucas Mwashambwa kwenye nyuzi zake huwa anaweka namba za simu hawa madada wawe wanamcheki labda nae yuko single anataka mke. Mkielewana tutahudhuria harusi yenu huko Mbalizi.
Point.

Huyu jamaa mwakani hakosi uteuzi wa mama!
 
Jmani mjitokeze warembo wa 27+ tuwaoe msijifiche.
Sio kila ndoto inatimia. Hao tall dark handsome and rich ndio mlishawalosa. Tumebakia wakina mzabzab njooni tulipeane faraja
Waambie kaka. Wasitubague sisi wafupi, weusi, wenye vitambi na miondoko ya hovyohovyo. Sisi ndio wenye mapenzi ya kweli!

[emoji41][emoji41][emoji41]
 
mwenyewe mpango wangu nitakaporudi nchi ya kuzimu tz baada ya kuzikusanya huku nilipo ni kuoa single maza yenye mtoto mmoja tustarehe tuliwazane tuzeeke wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…