Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Hannah do you know the word of the day??Unaitwaje nikutafutie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hannah do you know the word of the day??Unaitwaje nikutafutie
Au ulifutwa? Ngoja niutafuteUzi; Member gn unamchukia jf
Umefutwa etiUzi; Member gn unamchukia jf
Kumbe!Umefutwa eti
The word of the day is legs, I suppose you come to my room and spread itNouh😂
Hii ni word ya jana bhanaThe word of the day is legs, I suppose you come to my room and spread it
Nadhani kwasababu Lucas Mwashambwa kwenye nyuzi zake huwa anaweka namba za simu hawa madada wawe wanamcheki labda nae yuko single anataka mke. Mkielewana tutahudhuria harusi yenu huko Mbalizi.
I just want you to spread it for me😂😆Hii ni word ya jana bhana
Kwani nyote mnauza Bei gani ili vidume tujihudumie?Utazeeka wewe ambae huuziki hata kwa mkopo
Aah wapi uniibie kura afu ninunue bidhaa dukani kwako .kuna mmoja aliiba kura za ubunge alikuwa kapanga kwa babu yangu baa yake kubwa sana na ilikuwa inamuingizia hela sana .siku tunasimamia kura za sugu nilimuona kwa macho yangu anaingiza sanduku feki la kura .nikamwambia hii utalipia .akawa hajui mm ni mjukuu kipenzi wa landlord wake akanicheka tu.Acha kuingiza siasa kwenye maisha binafsi.
Una tabia za kingese sana. Unaenda kuingilia biashara ya babu yako kisa mambo ya siasa? Tafuta tunguli ufungue biashara ya uchawi kwa sababu una vigezo vyote. Watu kama nyie ku-win maishani inakuwaga mtihani sana.Aah wapi uniibie kura afu ninunue bidhaa dukani kwako .kuna mmoja aliiba kura za ubunge alikuwa kapanga kwa babu yangu baa yake kubwa sana na ilikuwa inamuingizia hela sana .siku tunasimamia kura za sugu nilimuona kwa macho yangu anaingiza sanduku feki la kura .nikamwambia hii utalipia .akawa hajui mm ni mjukuu kipenzi wa landlord wake akanicheka tu.
Nikamfata mzee nkamwambia simtaki huyu nataka kama alivoibiwa sugu na yeye aibiwe mapato yake .mzee akanambia anashida na hela nkamkopa kwa mashart ampige 3month notice .nilienda kwa mwanasheria mwenyewe nkampa mzee.jamaa alibembeleza sana mm nikakaza kama yeye alivomkaxia sugu.
Jamaa alitoa watoto wake international kurudi kayumba .mke alikimbia yupo tu .
Ukinionea popote usinichagulie nikulipe wapi.uhuru wako wa kuiba kura uliutumia na mm wa kukuharibia kipato nimetumia na nimehalikisha amejua ni mm.
Na huu ni mwanzo tu mkiiba 2025 hapo ndo tunagawana taifa
Mkuu mimi pia aliingilia siasa zangu .mbona tunapangiana nini kiibiwe kipi kisiibiwe .mm kutofatilia biashara ya babu miaka yote sababu nina vyangu 3 times yeye ndo maana ameendesha hiyo baa 10 yrs sikuwahi hata muwaza .alipoiba kura za sugu nikathibitisha nilamuuliza akathibitisha .basi ikawa ni hiali na mimi nilipize wapi tusipangianeUna tabia za kingese sana. Unaenda kuingilia biashara ya babu yako kisa mambo ya siasa? Tafuta tunguli ufungue biashara ya uchawi kwa sababu una vigezo vyote. Watu kama nyie ku-win maishani inakuwaga mtihani sana.
Wewe jomba una roho ya kichawi sana. Jinsi unavyojieleza ndo jinsi unavyojivua nguo na kudhihirisha wazi uchawi wako. Sema ulikutana na mnyonge.. ungekutana na mamasta ungepotezwa.Mkuu mimi pia aliingilia siasa zangu .mbona tunapangiana nini kiibiwe kipi kisiibiwe .mm kutofatilia biashara ya babu miaka yote sababu nina vyangu 3 times yeye ndo maana ameendesha hiyo baa 10 yrs sikuwahi hata muwaza .alipoiba kura za sugu nikathibitisha nilamuuliza akathibitisha .basi ikawa ni hiali na mimi nilipize wapi tusipangiane
.yeye amempotezea sugu mapato ya sh ngapi kwa kushiriki wizi wa kura ambayo angepata bungeni.
Nakujuza leo ukiniibia friji langu au kura yangu ni makosa sawa.
Afu et sitafanikiwa kodi ya jamaa alikuwa analipa 18m kwa miezi 6 .nikatoa 18 kwa babu yangu ili asipokee 18 yake nikamuweka jamaa aliemnyanganya mke .ndo akanirudishia yangu.
We mtu asieenda kudoea 18m ya babu yale bado hajafanikiwa.
Bila katiba mpya hatutaki amani tena na maendeleo hatutaki.alieshinda apewe ushindi alieshindwa akubali.
Ukiiba kura usitupangie na sisi tukuibie nini.ninachojua sugu aliumia sana kwa kuibiwa kura .ninachofarijika sliemuibia naye aliumia sana kwa kuibiwa nafasi ya biashara niliyo mlipa kwa kumuibia.
Tunapotezana mkuu .hakuna wa kumuogopa mwingine ilikuwa zamani .skuiz chochote unachomfanyia mwingine kitakurudia na nyongeza kidogo.Wewe jomba una roho ya kichawi sana. Jinsi unavyojieleza ndo jinsi unavyojivua nguo na kudhihirisha wazi uchawi wako. Sema ulikutana na mnyonge.. ungekutana na mamasta ungepotezwa.