UZI MAALUMU: Wanawake wote ambao wana msongo wa mawazo kwa sababu ya kutoolewa mkutane hapa

UZI MAALUMU: Wanawake wote ambao wana msongo wa mawazo kwa sababu ya kutoolewa mkutane hapa

Acha kuingiza siasa kwenye maisha binafsi.
Aah wapi uniibie kura afu ninunue bidhaa dukani kwako .kuna mmoja aliiba kura za ubunge alikuwa kapanga kwa babu yangu baa yake kubwa sana na ilikuwa inamuingizia hela sana .siku tunasimamia kura za sugu nilimuona kwa macho yangu anaingiza sanduku feki la kura .nikamwambia hii utalipia .akawa hajui mm ni mjukuu kipenzi wa landlord wake akanicheka tu.

Nikamfata mzee nkamwambia simtaki huyu nataka kama alivoibiwa sugu na yeye aibiwe mapato yake .mzee akanambia anashida na hela nkamkopa kwa mashart ampige 3month notice .nilienda kwa mwanasheria mwenyewe nkampa mzee.jamaa alibembeleza sana mm nikakaza kama yeye alivomkaxia sugu.
Jamaa alitoa watoto wake international kurudi kayumba .mke alikimbia yupo tu .

Ukinionea popote usinichagulie nikulipe wapi.uhuru wako wa kuiba kura uliutumia na mm wa kukuharibia kipato nimetumia na nimehalikisha amejua ni mm.

Na huu ni mwanzo tu mkiiba 2025 hapo ndo tunagawana taifa
 
Aah wapi uniibie kura afu ninunue bidhaa dukani kwako .kuna mmoja aliiba kura za ubunge alikuwa kapanga kwa babu yangu baa yake kubwa sana na ilikuwa inamuingizia hela sana .siku tunasimamia kura za sugu nilimuona kwa macho yangu anaingiza sanduku feki la kura .nikamwambia hii utalipia .akawa hajui mm ni mjukuu kipenzi wa landlord wake akanicheka tu.

Nikamfata mzee nkamwambia simtaki huyu nataka kama alivoibiwa sugu na yeye aibiwe mapato yake .mzee akanambia anashida na hela nkamkopa kwa mashart ampige 3month notice .nilienda kwa mwanasheria mwenyewe nkampa mzee.jamaa alibembeleza sana mm nikakaza kama yeye alivomkaxia sugu.
Jamaa alitoa watoto wake international kurudi kayumba .mke alikimbia yupo tu .

Ukinionea popote usinichagulie nikulipe wapi.uhuru wako wa kuiba kura uliutumia na mm wa kukuharibia kipato nimetumia na nimehalikisha amejua ni mm.

Na huu ni mwanzo tu mkiiba 2025 hapo ndo tunagawana taifa
Una tabia za kingese sana. Unaenda kuingilia biashara ya babu yako kisa mambo ya siasa? Tafuta tunguli ufungue biashara ya uchawi kwa sababu una vigezo vyote. Watu kama nyie ku-win maishani inakuwaga mtihani sana.
 
Una tabia za kingese sana. Unaenda kuingilia biashara ya babu yako kisa mambo ya siasa? Tafuta tunguli ufungue biashara ya uchawi kwa sababu una vigezo vyote. Watu kama nyie ku-win maishani inakuwaga mtihani sana.
Mkuu mimi pia aliingilia siasa zangu .mbona tunapangiana nini kiibiwe kipi kisiibiwe .mm kutofatilia biashara ya babu miaka yote sababu nina vyangu 3 times yeye ndo maana ameendesha hiyo baa 10 yrs sikuwahi hata muwaza .alipoiba kura za sugu nikathibitisha nilamuuliza akathibitisha .basi ikawa ni hiali na mimi nilipize wapi tusipangiane
.yeye amempotezea sugu mapato ya sh ngapi kwa kushiriki wizi wa kura ambayo angepata bungeni.

Nakujuza leo ukiniibia friji langu au kura yangu ni makosa sawa.

Afu et sitafanikiwa kodi ya jamaa alikuwa analipa 18m kwa miezi 6 .nikatoa 18 kwa babu yangu ili asipokee 18 yake nikamuweka jamaa aliemnyanganya mke .ndo akanirudishia yangu.
We mtu asieenda kudoea 18m ya babu yale bado hajafanikiwa.

Bila katiba mpya hatutaki amani tena na maendeleo hatutaki.alieshinda apewe ushindi alieshindwa akubali.

Ukiiba kura usitupangie na sisi tukuibie nini.ninachojua sugu aliumia sana kwa kuibiwa kura .ninachofarijika sliemuibia naye aliumia sana kwa kuibiwa nafasi ya biashara niliyo mlipa kwa kumuibia.
 
Mkuu mimi pia aliingilia siasa zangu .mbona tunapangiana nini kiibiwe kipi kisiibiwe .mm kutofatilia biashara ya babu miaka yote sababu nina vyangu 3 times yeye ndo maana ameendesha hiyo baa 10 yrs sikuwahi hata muwaza .alipoiba kura za sugu nikathibitisha nilamuuliza akathibitisha .basi ikawa ni hiali na mimi nilipize wapi tusipangiane
.yeye amempotezea sugu mapato ya sh ngapi kwa kushiriki wizi wa kura ambayo angepata bungeni.

Nakujuza leo ukiniibia friji langu au kura yangu ni makosa sawa.

Afu et sitafanikiwa kodi ya jamaa alikuwa analipa 18m kwa miezi 6 .nikatoa 18 kwa babu yangu ili asipokee 18 yake nikamuweka jamaa aliemnyanganya mke .ndo akanirudishia yangu.
We mtu asieenda kudoea 18m ya babu yale bado hajafanikiwa.

Bila katiba mpya hatutaki amani tena na maendeleo hatutaki.alieshinda apewe ushindi alieshindwa akubali.

Ukiiba kura usitupangie na sisi tukuibie nini.ninachojua sugu aliumia sana kwa kuibiwa kura .ninachofarijika sliemuibia naye aliumia sana kwa kuibiwa nafasi ya biashara niliyo mlipa kwa kumuibia.
Wewe jomba una roho ya kichawi sana. Jinsi unavyojieleza ndo jinsi unavyojivua nguo na kudhihirisha wazi uchawi wako. Sema ulikutana na mnyonge.. ungekutana na mamasta ungepotezwa.
 
Wewe jomba una roho ya kichawi sana. Jinsi unavyojieleza ndo jinsi unavyojivua nguo na kudhihirisha wazi uchawi wako. Sema ulikutana na mnyonge.. ungekutana na mamasta ungepotezwa.
Tunapotezana mkuu .hakuna wa kumuogopa mwingine ilikuwa zamani .skuiz chochote unachomfanyia mwingine kitakurudia na nyongeza kidogo.
Hakuna mchawi hapa ni kwamba usifanyie watu ubaya ukidhani utaondoka na amani sio sisi watu wambeya.
Ww fanya uchaguzi piga kampeni ulishinda tawala ukishindwa kubali sasa jichanganye kudhani wewe ni grade 1.

Mlipoambiwa na wazazi wenu msitamani vya watu ni pamoja na kura zao za uchaguzi .
Hii katiba itatoka kwa gharama ya maumivu kwa pande zote mtesi na mteswa wote tutakuwa tumefiwa
 
Back
Top Bottom