jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Kunae magroup ya single mother kule fbk hadi unawaonea huruma,ifike mahali wanaume tuoe hata wawili wawili kuwasaidia hawa viumbe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio lazima iwe ulinzi maana pia wengi tu tunaona wanadhulumiwa mali na ndugu waume wanapofariki.Ndio maana nikasema ndoa ni ulinzi kwa mwanamke
Wewe wafariji tu madungayembeKwa mwanamke mwenye kazi yake ya maana ndoa si lazima.
Hakuna lolote bana. Furaha inapatikana popote pale uwe umeolewa au hujaolewa stress pia zipo pale paleWewe wafariji tu madungayembe
Sisi wanaume ndio tunaelewa jinsi wanawake wanatusumbua tuwaoeHakuna lolote bana. Furaha inapatikana popote pale uwe umeolewa au hujaolewa stress pia zipo pale pale
Mwanamke akikusumbua umuoe jiulize mara mbili mbili. Toka fastaaaSisi wanaume ndio tunaelewa jinsi wanawake wanatusumbua tuwaoe
Ndiyo ujue wenzako wana uhitaji wa ndoaMwanamke akikusumbua umuoe jiulize mara mbili mbili. Toka fastaaa
Anayeonba ndoa ni mwanaume. Ndio maana wenzenu wanapiga magoti.Ndiyo ujue wenzako wana uhitaji wa ndoa
Toka kugawana bar ya urithi wa Babu yako mpaka kugawana taifa?Aah wapi uniibie kura afu ninunue bidhaa dukani kwako .kuna mmoja aliiba kura za ubunge alikuwa kapanga kwa babu yangu baa yake kubwa sana na ilikuwa inamuingizia hela sana .siku tunasimamia kura za sugu nilimuona kwa macho yangu anaingiza sanduku feki la kura .nikamwambia hii utalipia .akawa hajui mm ni mjukuu kipenzi wa landlord wake akanicheka tu.
Nikamfata mzee nkamwambia simtaki huyu nataka kama alivoibiwa sugu na yeye aibiwe mapato yake .mzee akanambia anashida na hela nkamkopa kwa mashart ampige 3month notice .nilienda kwa mwanasheria mwenyewe nkampa mzee.jamaa alibembeleza sana mm nikakaza kama yeye alivomkaxia sugu.
Jamaa alitoa watoto wake international kurudi kayumba .mke alikimbia yupo tu .
Ukinionea popote usinichagulie nikulipe wapi.uhuru wako wa kuiba kura uliutumia na mm wa kukuharibia kipato nimetumia na nimehalikisha amejua ni mm.
Na huu ni mwanzo tu mkiiba 2025 hapo ndo tunagawana taifa
Wapiga magoti ni machoko. Sasa hujajua tu jinsi tunasumbuliwa tukishakuwa nao kwenye mahusiano utasikia lini utaenda kunitambulishaAnayeonba ndoa ni mwanaume. Ndio maana wenzenu wanapiga magoti.
Na nyie mbio mbio mnaenda kutambulishana. Ndo maana ndoa siku hizi hazidumu..mnalazimksha ili tu muonekana mmeoa.Wapiga magoti ni machoko. Sasa hujajua tu jinsi tunasumbuliwa tukishakuwa nao kwenye mahusiano utasikia lini utaenda kunitambulisha
Mhmm.!! Kwa vigezo hivi ww utakuwa bonge la FURUSHI 😂😂😂😂NAHITAJI MWANAMKE MWENYE UHITAJI WA DHATI KABISA WA KUWA NA MUME.
VIGEZO:
1. Kuanzia miaka 28.
2. Kama single Maza asizidi mtoto 1.
3. AWE TAYARI KUPIMA UKIMWI PAMOJA
KARIBU SANA 🙏
Mimi ni hit and runNa nyie mbio mbio mnaenda kutambulishana. Ndo maana ndoa siku hizi hazidumu..mnalazimksha ili tu muonekana mmeoa.
Hutaki nafasi ikupite 😂Mimi ni mjomba☺️
🤣🤣🤣🤣🤣Utazeeka wewe ambae huuziki hata kwa mkopo
Hapana shem😊Hutaki nafasi ikupite 😂
Keep it up. Fainali uzeeniMimi ni hit and run
Nakuona unavyoforce 😂😂😂Hapana shem😊
Mwaka wenyewe huu ni wa ku-force!Nakuona unavyoforce 😂😂😂
Nakumbuka enzi zile unaingia JF na avatar yako fulani ya kipole hivi, ulikuwa hot unakimbiza balaa. Mzima lakini?Nionyeshe mmoja mkuu. 2024 nataka nitoke kundi la masimango [emoji16][emoji16]