UZI MAALUMU: Wanawake wote ambao wana msongo wa mawazo kwa sababu ya kutoolewa mkutane hapa

UZI MAALUMU: Wanawake wote ambao wana msongo wa mawazo kwa sababu ya kutoolewa mkutane hapa

Aah wapi uniibie kura afu ninunue bidhaa dukani kwako .kuna mmoja aliiba kura za ubunge alikuwa kapanga kwa babu yangu baa yake kubwa sana na ilikuwa inamuingizia hela sana .siku tunasimamia kura za sugu nilimuona kwa macho yangu anaingiza sanduku feki la kura .nikamwambia hii utalipia .akawa hajui mm ni mjukuu kipenzi wa landlord wake akanicheka tu.

Nikamfata mzee nkamwambia simtaki huyu nataka kama alivoibiwa sugu na yeye aibiwe mapato yake .mzee akanambia anashida na hela nkamkopa kwa mashart ampige 3month notice .nilienda kwa mwanasheria mwenyewe nkampa mzee.jamaa alibembeleza sana mm nikakaza kama yeye alivomkaxia sugu.
Jamaa alitoa watoto wake international kurudi kayumba .mke alikimbia yupo tu .

Ukinionea popote usinichagulie nikulipe wapi.uhuru wako wa kuiba kura uliutumia na mm wa kukuharibia kipato nimetumia na nimehalikisha amejua ni mm.

Na huu ni mwanzo tu mkiiba 2025 hapo ndo tunagawana taifa
Toka kugawana bar ya urithi wa Babu yako mpaka kugawana taifa?
 
NAHITAJI MWANAMKE MWENYE UHITAJI WA DHATI KABISA WA KUWA NA MUME.

VIGEZO:
1. Kuanzia miaka 28.
2. Kama single Maza asizidi mtoto 1.
3. AWE TAYARI KUPIMA UKIMWI PAMOJA

KARIBU SANA 🙏
Mhmm.!! Kwa vigezo hivi ww utakuwa bonge la FURUSHI 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom