Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Ok I'll do so, ng'ombe hazeeki mainiKeep it up. Fainali uzeeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok I'll do so, ng'ombe hazeeki mainiKeep it up. Fainali uzeeni
Utaenda mwenyewe kwenye hiyo harus ya chawa mwenzakoAcha kuingiza siasa kwenye maisha binafsi.
Acha kumwita mtu chawa wakati anaweza kumuoa dada yako.Utaenda mwenyewe kwenye hiyo harus ya chawa mwenzako
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na kweli unaforceMwaka wenyewe huu ni wa ku-force!
Wee njoo bwana tuliwazane tena na hovi unapenda ya ga basi ah full burudani mwananchi sie kujifungia ndani tunacheki yanga anavyo wanyanyasa wekundu wa msimbaziDooh!
Wewe umeoa wangap?Kunae magroup ya single mother kule fbk hadi unawaonea huruma,ifike mahali wanaume tuoe hata wawili wawili kuwasaidia hawa viumbe.
Mimi namuoa mama yako wewe ni mwanangu kabsaaaAcha kumwita mtu chawa wakati anaweza kumuoa dada yako.
Ni neno la kilugha hasa makabila ya Mara; kwa Kiswahili ni 'Hawala'Wasimbe maaana yake nini?
Jamani.... Sio kuanzia miaka 40??? 😅🤭😂Mtaa unasema wanawake wenye umri mkubwa ambao hawajaolewa hasa kuanzia umri wa miaka 27
Hahahaaa. Mi siko huo upande wenu we Mzab. 😀Wee njoo bwana tuliwazane tena na hovi unapenda ya ga basi ah full burudani mwananchi sie kujifungia ndani tunacheki yanga anavyo wanyanyasa wekundu wa msimbazi
Mtoa uzi ni msukuma, wasimbe = single motherWasimbe maaana yake nini?
Cheka tu lakini tuwasaidieUmenichekesha sana
Aisee kumbe wee watu walishakuweka ndani.Hahahaaa. Mi siko huo upande wenu we Mzab. 😀
Zidi kuweka kambi utapata wa kukufaa japo upunguze mipost yako inayohusu mb*susu sa.
🤣🤣🤣 kuanzia 40 huyo ni mbibiJamani.... Sio kuanzia miaka 40??? 😅🤭😂
Wanahitaji msaada wetuAisee, dada zetu mnapitia mengi.
Hahahaa. Lol.Aisee kumbe wee watu walishakuweka ndani.
Ah maisha bila kuzungumzia mbususu yana raha gani tena mwananchi? Atapatikana wakufanana na mie