Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Uliingia session ya Kwanza? kama umefanyia AuditoriumUtumishi watakuja kutuua hawa daaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimetoka kukandwa na geophysicist ii pura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliingia session ya Kwanza? kama umefanyia AuditoriumUtumishi watakuja kutuua hawa daaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimetoka kukandwa na geophysicist ii pura
Saili imefika tamati muda wa saa saba na dk kama 20 hivi kwa siku ya leo.
Zimefanyika session 2 za saili leo hapa Auditorium.
Daa, nimetegwa hatari, nimesoma mengine yametoka mengine, hapa wakitoa matokeo mapema kesho nitakuwa road kurudi nyumbani
Ndio hivyo mkuu, ni vyema kuwa na tahadhari kwa lolote linaloweza kutokeaMkuu hii kanuni nimeikubali sana, hasa ukizingatia Jobless hata kama unapata pesa huwa haitabiriki, muda wowote unaweza kupata dili na muda wowote mambo yanaweza kukauka kwa muda mrefu usiojulikana.
Probability ni ndogo sana, watu niliofanya nao nawajua wapo konki tangu enzi za Chuo, so hapa nawasindikiza tu.Utapita Mkuu, endelea kuwa na matumaini.
Probability ni ndogo sana, watu niliofanya nao nawajua wapo konki tangu enzi za Chuo, so hapa nawasindikiza tu.
Aisee,sio poa.me niko mjini tayari..jana nilidandia fusoSaili imefika tamati muda wa saa saba na dk kama 20 hivi kwa siku ya leo.
Zimefanyika session 2 za saili leo hapa Auditorium.
Daa, nimetegwa hatari, nimesoma mengine yametoka mengine, hapa wakitoa matokeo mapema kesho nitakuwa road kurudi nyumbani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi kaniacha nyumbanBasi nikajua huyo mdada anayemzungumzia Mkuu, ni wewe.
Cha msingi mimi ni kitokata tamaa nina imani kubwa mno ipo siku,,,Hizi written hua ni changamoto usipo kuwa makini unaeeza jikuta unaacha kabisa kuhudhulia saili nyingine,,,Saili ambayo sitosahau ni ya Takukuru watu 20k nafasi 200 na watu kalibia nusu walihudhulia ilinifanya niwe strong sana,,,,Mkuu, tupe simulizi angalau kwa uchache, utawapa wengi sana ujasiri na pengine inawezakuwa ni aina ya fadhila itakayopelekea utimize ndoto zako.
huyo huyo ungeshea naeSijapata mtu wa kushare naye, niliambatana na mdada ambaye na yeye alichukua room yake
kuwa na imani babe mungu ni mwema atatendaProbability ni ndogo sana, watu niliofanya nao nawajua wapo konki tangu enzi za Chuo, so hapa nawasindikiza tu.
kwel written huwa zinaumiza sana,me huwa naombaga hata niingie tu kwenye data baseCha msingi mimi ni kitokata tamaa nina imani kubwa mno ipo siku,,,Hizi written hua ni changamoto usipo kuwa makini unaeeza jikuta unaacha kabisa kuhudhulia saili nyingine,,,Saili ambayo sitosahau ni ya Takukuru watu 20k nafasi 200 na watu kalibia nusu walihudhulia ilinifanya niwe strong sana,,,,
Hicho ndiyo cha msingi written huwa ina number kubwa ya watu inakatishaga tamaaa na kila mtu huwa ana mbinu zake kikubwa kujiandaa kwa kwelikwel written huwa zinaumiza sana,me huwa naombaga hata niingie tu kwenye data base
Kwahyo hawa Binge hawajatoa results Hadi Leo.. mbona wanachosha watu waendelee kukaa Dom Hali ya kuwa wengi itabidi gari iwaache..!!Aisee,sio poa.me niko mjini tayari..jana nilidandia fuso
Watu wanajiaandaa Ila kufaulu ni majaliwah, lazima tujue hiliHicho ndiyo cha msingi written huwa ina number kubwa ya watu inakatishaga tamaaa na kila mtu huwa ana mbinu zake kikubwa kujiandaa kwa kweli
Kweli tusikate tamaaaaWatu wanajiaandaa Ila kufaulu ni majaliwah, lazima tujue hili
Matokeo inamana bado ya bunge hata kwe Account zaoKwahyo hawa Binge hawajatoa results Hadi Leo.. mbona wanachosha watu waendelee kukaa Dom Hali ya kuwa wengi itabidi gari iwaache..!!
Naona ingekuwa poa Leo mapema wangekuwa wametoa majibu ili watu wasiingie cost tena ya guest.. au nasema uongo jamani...?
Mbona jana ile ile walitangaza kwamba leo wanatoa za madereva na result za watu wengine ni hadi tarehe 7.hao walioamua kubaki huenda wana uhakika na walichoandika ila me binafsi nilichoandika nakijua ndio maana nikaamua kujiondokea tu.Kwahyo hawa Binge hawajatoa results Hadi Leo.. mbona wanachosha watu waendelee kukaa Dom Hali ya kuwa wengi itabidi gari iwaache..!!
Naona ingekuwa poa Leo mapema wangekuwa wametoa majibu ili watu wasiingie cost tena ya guest.. au nasema uongo jamani...?
Matokeo inamana bado ya bunge hata kwe AccountKwahyo hawa Binge hawajatoa results Hadi Leo.. mbona wanachosha watu waendelee kukaa Dom Hali ya kuwa wengi itabidi gari iwaache..!!
Naona ingekuwa poa Leo mapema wangekuwa wametoa majibu ili watu wasiingie cost tena ya guest.. au nasema uongo jamani...?
Mtego mkali huo vipi mkuu ukiwemoMbona jana ile ile walitangaza kwamba leo wanatoa za madereva na result za watu wengine ni hadi tarehe 7.hao walioamua kubaki huenda wana uhakika na walichoandika ila me binafsi nilichoandika nakijua ndio maana nikaamua kujiondokea tu.
Labda kwa Mapenzi ya Mungu tu..Matokeo inamana bado ya bunge hata kwe Account
Mtego mkali huo vipi mkuu ukiwemo