Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Utumishi watakuja kutuua hawa daaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimetoka kukandwa na geophysicist ii pura
Uliingia session ya Kwanza? kama umefanyia Auditorium
 
Saili imefika tamati muda wa saa saba na dk kama 20 hivi kwa siku ya leo.

Zimefanyika session 2 za saili leo hapa Auditorium.

Daa, nimetegwa hatari, nimesoma mengine yametoka mengine, hapa wakitoa matokeo mapema kesho nitakuwa road kurudi nyumbani

Utapita Mkuu, endelea kuwa na matumaini.
 
Mkuu hii kanuni nimeikubali sana, hasa ukizingatia Jobless hata kama unapata pesa huwa haitabiriki, muda wowote unaweza kupata dili na muda wowote mambo yanaweza kukauka kwa muda mrefu usiojulikana.
Ndio hivyo mkuu, ni vyema kuwa na tahadhari kwa lolote linaloweza kutokea
 
Probability ni ndogo sana, watu niliofanya nao nawajua wapo konki tangu enzi za Chuo, so hapa nawasindikiza tu.

Hili ni kweli Mkuu, lakini kwa uzoefu wangu hizi interview za Utumishi hazitabiriki, nawajua watu wenye historia nzuri darasani lakini wako mtaani na waliopita kwenye Saili walizofanya pamoja ni wale walioonekana hawajitumi sana walipokuwa vyuoni.

Pamoja na hilo, kuna suala la bahati na muda sahihi wa mtu kuwa umefika, watu wakifika hatua hii huwa wanapita hata maeneo yasiyofikirika.
 
Ndugu zangu, mambo yanazidi kufunguka sana. Mara baada ya jamaa mmoja kutoa nafasi ya kazi kwa muuza uji, sasa ametokea mwingine anayo ya kukaanga chapati.

Vipi wasomi, hatuwezi tukajishikiza kwenye hizi huku tukiendelea na kuomba kazi huku tukihudhuria Saili?
 
Saili imefika tamati muda wa saa saba na dk kama 20 hivi kwa siku ya leo.

Zimefanyika session 2 za saili leo hapa Auditorium.

Daa, nimetegwa hatari, nimesoma mengine yametoka mengine, hapa wakitoa matokeo mapema kesho nitakuwa road kurudi nyumbani
Aisee,sio poa.me niko mjini tayari..jana nilidandia fuso
 
Mkuu, tupe simulizi angalau kwa uchache, utawapa wengi sana ujasiri na pengine inawezakuwa ni aina ya fadhila itakayopelekea utimize ndoto zako.
Cha msingi mimi ni kitokata tamaa nina imani kubwa mno ipo siku,,,Hizi written hua ni changamoto usipo kuwa makini unaeeza jikuta unaacha kabisa kuhudhulia saili nyingine,,,Saili ambayo sitosahau ni ya Takukuru watu 20k nafasi 200 na watu kalibia nusu walihudhulia ilinifanya niwe strong sana,,,,
 
Cha msingi mimi ni kitokata tamaa nina imani kubwa mno ipo siku,,,Hizi written hua ni changamoto usipo kuwa makini unaeeza jikuta unaacha kabisa kuhudhulia saili nyingine,,,Saili ambayo sitosahau ni ya Takukuru watu 20k nafasi 200 na watu kalibia nusu walihudhulia ilinifanya niwe strong sana,,,,
kwel written huwa zinaumiza sana,me huwa naombaga hata niingie tu kwenye data base
 
Aisee,sio poa.me niko mjini tayari..jana nilidandia fuso
Kwahyo hawa Binge hawajatoa results Hadi Leo.. mbona wanachosha watu waendelee kukaa Dom Hali ya kuwa wengi itabidi gari iwaache..!!
Naona ingekuwa poa Leo mapema wangekuwa wametoa majibu ili watu wasiingie cost tena ya guest.. au nasema uongo jamani...?
 
Kwahyo hawa Binge hawajatoa results Hadi Leo.. mbona wanachosha watu waendelee kukaa Dom Hali ya kuwa wengi itabidi gari iwaache..!!
Naona ingekuwa poa Leo mapema wangekuwa wametoa majibu ili watu wasiingie cost tena ya guest.. au nasema uongo jamani...?
Matokeo inamana bado ya bunge hata kwe Account zao
 
Kwahyo hawa Binge hawajatoa results Hadi Leo.. mbona wanachosha watu waendelee kukaa Dom Hali ya kuwa wengi itabidi gari iwaache..!!
Naona ingekuwa poa Leo mapema wangekuwa wametoa majibu ili watu wasiingie cost tena ya guest.. au nasema uongo jamani...?
Mbona jana ile ile walitangaza kwamba leo wanatoa za madereva na result za watu wengine ni hadi tarehe 7.hao walioamua kubaki huenda wana uhakika na walichoandika ila me binafsi nilichoandika nakijua ndio maana nikaamua kujiondokea tu.
 
Kwahyo hawa Binge hawajatoa results Hadi Leo.. mbona wanachosha watu waendelee kukaa Dom Hali ya kuwa wengi itabidi gari iwaache..!!
Naona ingekuwa poa Leo mapema wangekuwa wametoa majibu ili watu wasiingie cost tena ya guest.. au nasema uongo jamani...?
Matokeo inamana bado ya bunge hata kwe Account
Mbona jana ile ile walitangaza kwamba leo wanatoa za madereva na result za watu wengine ni hadi tarehe 7.hao walioamua kubaki huenda wana uhakika na walichoandika ila me binafsi nilichoandika nakijua ndio maana nikaamua kujiondokea tu.
Mtego mkali huo vipi mkuu ukiwemo
 
Back
Top Bottom