makofia360
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 776
- 2,392
Itabidi ugeuke tena Dom?Labda kwa Mapenzi ya Mungu tu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itabidi ugeuke tena Dom?Labda kwa Mapenzi ya Mungu tu..
Mwenyewe Nina chalii zangu wawili washageuza Toka Jana..Itabidi ugeuke tena Dom?
Fursa nzuri sana hii, nina imani watu wataichangamkiaNdugu zangu, mambo yanazidi kufunguka sana. Mara baada ya jamaa mmoja kutoa nafasi ya kazi kwa muuza uji, sasa ametokea mwingine anayo ya kukaanga chapati.
Vipi wasomi, hatuwezi tukajishikiza kwenye hizi huku tukiendelea na kuomba kazi huku tukihudhuria Saili?
Matokeo yenu yalitoka usiku? nilioona baadhi ila ya Bunge sijaona.Aisee,sio poa.me niko mjini tayari..jana nilidandia fuso
Mmhh, haiwezekani.huyo huyo ungeshea nae
Hapa nafikiria kesho sijui watayatoa jioni mida ya saa ngapi ili niweze kuondoka moja kwa mojakuwa na imani babe mungu ni mwema atatenda
Kweli mkuu.Kwahyo hawa Binge hawajatoa results Hadi Leo.. mbona wanachosha watu waendelee kukaa Dom Hali ya kuwa wengi itabidi gari iwaache..!!
Naona ingekuwa poa Leo mapema wangekuwa wametoa majibu ili watu wasiingie cost tena ya guest.. au nasema uongo jamani...?
Ni kweliWatu wanajiaandaa Ila kufaulu ni majaliwah, lazima tujue hili
Hapana.yetu ni hadi keshoMatokeo yenu yalitoka usiku? nilioona baadhi ila ya Bunge sijaona.
Ulikuwa kwenye zile kada waliotoa matokeo yao usiku?
Si ulisema unakamàta ndinga leo leo mkuu au umeghairi?Hapa nafikiria kesho sijui watayatoa jioni mida ya saa ngapi ili niweze kuondoka moja kwa moja
Ndio niliingia ya kwanza kabisa nikadandia mtumbwi wa vibwengo😂😂😂😂😂😂😂Uliingia session ya Kwanza? kama umefanyia Auditorium
Wakitoa mapema tu kesho jioni nipo roadHapa nafikiria kesho sijui watayatoa jioni mida ya saa ngapi ili niweze kuondoka moja kwa moja
Cha msingi mimi ni kitokata tamaa nina imani kubwa mno ipo siku,,,Hizi written hua ni changamoto usipo kuwa makini unaeeza jikuta unaacha kabisa kuhudhulia saili nyingine,,,Saili ambayo sitosahau ni ya Takukuru watu 20k nafasi 200 na watu kalibia nusu walihudhulia ilinifanya niwe strong sana,,,,
Kwahyo hawa Binge hawajatoa results Hadi Leo.. mbona wanachosha watu waendelee kukaa Dom Hali ya kuwa wengi itabidi gari iwaache..!!
Naona ingekuwa poa Leo mapema wangekuwa wametoa majibu ili watu wasiingie cost tena ya guest.. au nasema uongo jamani...?
Mbona jana ile ile walitangaza kwamba leo wanatoa za madereva na result za watu wengine ni hadi tarehe 7.hao walioamua kubaki huenda wana uhakika na walichoandika ila me binafsi nilichoandika nakijua ndio maana nikaamua kujiondokea tu.
Daaahh, tunaingizwa gharama kw amakusudi kabisa maana wao nao hawaeleweki, unaweza kusema pepa ilikuwa mbaya halafu ukaja ukashangaa umeitwa oralHapana.yetu ni hadi kesho