Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Kuna uwezekano mkubwa endapo matokeo yakitoka jioni mida ya saa 10Si ulisema unakamàta ndinga leo leo mkuu au umeghairi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna uwezekano mkubwa endapo matokeo yakitoka jioni mida ya saa 10Si ulisema unakamàta ndinga leo leo mkuu au umeghairi?
Hahahaa, pole sana mkuu.Ndio niliingia ya kwanza kabisa nikadandia mtumbwi wa vibwengo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ninyi mlioingia mapema pia matokeo yanatoka kesho?Wakitoa mapema tu kesho jioni nipo road
Ninyi mlioingia mapema pia matokeo yanatoka kesho?
Ile baridi haifai kabisa tena na interview ndo kama inaongezeka iviHahahaa, pole sana mkuu.
Sisi tumekalishwa nje, na kale kaubaridi cha asubuhi kalinichapa sana hadi jua lilipochangamka ndio afadhali ikawepo.
Ila Dodoma mkoa flani hivi very expensiveHahahaa, pole sana mkuu.
Sisi tumekalishwa nje, na kale kaubaridi cha asubuhi kalinichapa sana hadi jua lilipochangamka ndio afadhali ikawepo.
Mambo ya kuondoka kumbe umepita ..wangekaa hata siku mojaMwenyewe Nina chalii zangu wawili washageuza Toka Jana..
Mmoja wa Njombe na mwingine wa Ifunda - Iringa.. walipanda basi Yao ya jioni hao wameachana huko mbele ya Safari,,[emoji23][emoji23]
Hahahaa amenHahaha, sawa Mkuu.
Kwa niaba ya wachangiaji wengine wa huu uzi, tumebariki ukaribu wenu.
Sawa mkuuBaadhi ya watu ni wabishi,mtu una usaili maeneo ya UDOM,unafikia mjini,unakutana na loji za hovyohovyo,mi nona ujilaumu mwenyewe,nimewaambia watu,fikieni Nghonghona,iko pembezoni na UDOM,loji ni nzuri Sana,tena bei ni 10,11,122 na 15,nimewapokea wengi,hakuna aliyelalamika,kama pesa,mi naenda kupewa na mhudumu wa loji,baadhi ya watu hawaelewi,wale ambao bado wanaingia,na nawasiliana nao ni mashahidi wakifika,na wale waliolala kwenye loji za huku,Kama loji ni mbaya,waseme humu,haki ya Mungu,loji ni classic na bei ni za kawaida sana,usafiri kwenda CIVE,CBSL,Utumishi ni mdogo Sana na unapelekwa hadi venue husika,mfano Auditorium,Theatres etc.Karibuni.
Bila kusahau na picha za hizo lodgesSawa mkuu
Ambatanisha namba
Weka namba yako Boss.. maana Wala hauna offence humu kwamba ukajiogopa.. Binafsi nahitaji namba yako.. kama shida basi nitumie PM..Baadhi ya watu ni wabishi,mtu una usaili maeneo ya UDOM,unafikia mjini,unakutana na loji za hovyohovyo,mi nona ujilaumu mwenyewe,nimewaambia watu,fikieni Nghonghona,iko pembezoni na UDOM,loji ni nzuri Sana,tena bei ni 10,11,122 na 15,nimewapokea wengi,hakuna aliyelalamika,kama pesa,mi naenda kupewa na mhudumu wa loji,baadhi ya watu hawaelewi,wale ambao bado wanaingia,na nawasiliana nao ni mashahidi wakifika,na wale waliolala kwenye loji za huku,Kama loji ni mbaya,waseme humu,haki ya Mungu,loji ni classic na bei ni za kawaida sana,usafiri kwenda CIVE,CBSL,Utumishi ni mdogo Sana na unapelekwa hadi venue husika,mfano Auditorium,Theatres etc.Karibuni.
0765920855Weka namba yako Boss.. maana Wala hauna offence humu kwamba ukajiogopa.. Binafsi nahitaji namba yako.. kama shida basi nitumie PM..
0765920855Sawa mkuu
Ambatanisha namba
Kwema mkuuMartinr jnr luther king , dogo vip mzima ??
Uliweka namba hapa, jana nilipofika Dom niliipiga hiyo namba bila mafanikio. Nikachukua uamuzi mwingineBaadhi ya watu ni wabishi,mtu una usaili maeneo ya UDOM,unafikia mjini,unakutana na loji za hovyohovyo,mi nona ujilaumu mwenyewe,nimewaambia watu,fikieni Nghonghona,iko pembezoni na UDOM,loji ni nzuri Sana,tena bei ni 10,11,122 na 15,nimewapokea wengi,hakuna aliyelalamika,kama pesa,mi naenda kupewa na mhudumu wa loji,baadhi ya watu hawaelewi,wale ambao bado wanaingia,na nawasiliana nao ni mashahidi wakifika,na wale waliolala kwenye loji za huku,Kama loji ni mbaya,waseme humu,haki ya Mungu,loji ni classic na bei ni za kawaida sana,usafiri kwenda CIVE,CBSL,Utumishi ni mdogo Sana na unapelekwa hadi venue husika,mfano Auditorium,Theatres etc.Karibuni.
Nilikupigia jana mida ya saa kumi jioni kwenye hii namba ukawa haupatikani0765920855