Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Kuna vi guesthouse vya kawaida Sana niliwahi fkia mimi sijui km bei zishabadirika ambavyo ni tsh 12, 15 mpaka 10. Moja ipo Hazina Dodoma inaitwa Makuna nyingine inaitwa kivulini ipo Makole zote zipo Dodoma mjini. Pia ukitaka lodge zenye kamuonekano kidogo kwa Dodoma ni 25 nk tena zipo katikati ya mji Moja inaitwa Pahi hotel (ni ghorofa) nyingine,kenya lodge nk.

B, pamoja na kuwa na roho nzuri, una kila ishara ya kuwa na uwezo mkubwa wa akili. Umetoa ufafanuzi mzuri sana. Asante.
 
Nyati lounge usalama wa uhakika

IMG_5599.jpg

Mkuu, ndio hii?

Naona kama iko kituo kipya cha Mabasi, ndivyo?
 
Ipo sehemu gani?

Inapendeza majina ya Lodge/Guest zilizopo kwenye mitaa ya kuelekea UDOM kuanzia Jakaya Kikwete Convention Center kwenda mashariki.

Hii mitaani ipo karibu na UDOM na ghrama hata boda au bajaji haiwezi kuwa kubwa kivile.

Mnaozijua lodge za mitaa hiyo toeni muongozo kwa faida ya wasakatonge wote
Akalale hostel za UDOM, Humanity/ social. Au aende COED, ng'hong'hona Au alale nanenane stand, mbona pazuri tu. Au aende uswahilini huko mailimbili nk
Na ukizingatia vikao vya kamati za bunge vimeanza, dodoma inafurika 😀😀🙌
 
Kuna vi guesthouse vya kawaida Sana niliwahi fkia mimi sijui km bei zishabadirika ambavyo ni tsh 12, 15 mpaka 10. Moja ipo Hazina Dodoma inaitwa Makuna nyingine inaitwa kivulini ipo Makole zote zipo Dodoma mjini. Pia ukitaka lodge zenye kamuonekano kidogo kwa Dodoma ni 25 nk tena zipo katikati ya mji Moja inaitwa Pahi hotel (ni ghorofa) nyingine,kenya lodge nk.

IMG_5600.jpg

Hii ni Makuna, naona kama iko vizuri.

IMG_5601.jpg

Hii ni Pahi Hotel, nayo si haba.

IMG_5602.jpg

Na hapa ni Kenya Lodge, pako vizuri kama Kenya kweli.

NB: Picha ni kwa msaada wa gugo, kama unafahamu sio nyumba sahihi naomba tupeane taarifa kuepusha kupotosha.
 
Akalale hostel za UDOM, Humanity/ social. Au aende COED, ng'hong'hona Au alale nanenane stand, mbona pazuri tu. Au aende uswahilini huko mailimbili nk
Na ukizingatia vikao vya kamati za bunge vimeanza, dodoma inafurika [emoji3][emoji3][emoji119]

Mkuu, hivi Hostel za UDOM huwa inawezekana wanaruhusu watu wa Saili kulala?


Kuna wazo hapa limenijia, hivi kwanini Chuo Kikuu UDOM kisingeanzisha utaratibu maalumu wa kuongea na Wanafunzi wao, ambao watakuwa tayari vyumba vyao vitumike kwa wanaofanya Saili kisha mapato yanayopatikana yawe ni sehemu ya ada yao ya Hostel na Chuo kipate kidogo!

Kuliko kuacha watu wateseke mitaani, naliona hili kupunguza sana gharama za wanaokwenda kufanya Saili na hata hao wanafunzi kupunguza au kuepuka kabisa kulipa ada za Hostel.
 
Wasiliana na uongozi wa chuo.
Na si. Udom tu, hata st John, CBE, nk.

Mkuu, hivi Hostel za UDOM huwa inawezekana wanaruhusu watu wa Saili kulala?


Kuna wazo hapa limenijia, hivi kwanini Chuo Kikuu UDOM kisingeanzisha utaratibu maalumu wa kuongea na Wanafunzi wao, ambao watakuwa tayari vyumba vyao vitumike kwa wanaofanya Saili kisha mapato yanayopatikana yawe ni sehemu ya ada yao ya Hostel na Chuo kipate kidogo!

Kuliko kuacha watu wateseke mitaani, naliona hili kupunguza sana gharama za wanaokwenda kufanya Saili na hata hao wanafunzi kupunguza au kuepuka kabisa kulipa ada za Hostel.
 
Asante sana, nadhani kwa Dodoma Saili nyingi zinafanyika UDOM. Endapo kuna mahala unapajua Mkuu na ni pazuri kwa Saili za Utumishi Dodoma ila tofauti na zinazofanyika UDOM sio mbaya ukatusaidia pia.
Mimi huwa nikienda kifanya usaili Dodoma nalala lodge ya buku saba japo mazingira huwa ni magumu ila nakomaaa na ni karibu na Dom nauli huwa ni buku bajaji ukiwa unahitaji ni pm nikupe number zao hiyo lodge,,,saili zangu zote huwa nafikia hapo
 
Mimi huwa nikienda kifanya usaili Dodoma nalala lodge ya buku saba japo mazingira huwa ni magumu ila nakomaaa na ni karibu na Dom nauli huwa ni buku bajaji ukiwa unahitaji ni pm nikupe number zao hiyo lodge,,,saili zangu zote huwa nafikia hapo

Sawa Mkuu, naku PM. Asante sana.
 
Mimi huwa nikienda kifanya usaili Dodoma nalala lodge ya buku saba japo mazingira huwa ni magumu ila nakomaaa na ni karibu na Dom nauli huwa ni buku bajaji ukiwa unahitaji ni pm nikupe number zao hiyo lodge,,,saili zangu zote huwa nafikia hapo

Japo kwa faida ya wengine, nitaomba pia uniujulishe endapo itafaa tukiweka baadhi ya taarifa kuhusu hiyo lodge hapa hadharani watu wapate nafuu.
 
Boss Mungu akubariki sana, umetoa ufafanuzi mzuri sana. Nakutabiria hizi saili za mwaka huu, kuna moja wapo ni lazima itakuingiza kwenye ajira za Serikali.
Hahahaa, access ya mrija wa Asali kutokana na Tozo zetu tunaitafuta kwa udi na uvumba sana. Nchi ni yetu sote na keki ya Taifa ni haki ya kila mmoja wetu. Tupambane kwa njia yeyote tunayoona inafaa
 
Back
Top Bottom