Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umedandia mtumbwi wa vibwengo
Nilipokusanya pepa nikakumbuka huu msemo wako.

Tumeletewa swali la mwaka wa kwanza ambalo sikutarajia kama litakuja, huku lishavepa kichwani. Hilo swali marks 25 zote zimeenda
 
Hawezi kukataliwa hiyo ni moja tu
 
Nilipokusanya pepa nikakumbuka huu msemo wako.

Tumeletewa swali la mwaka wa kwanza ambalo sikutarajia kama litakuja, huku lishavepa kichwani. Hilo swali marks 25 zote zimeenda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimejikuta nacheka bila kupendq
 
Ni kwel maana kuna mwamba nilimkuta stend pale anasema baada ya kumaliza usaili akawa hapo stend kwa siku mbili anasubili wadau home wamtumie pesa adandie ndinga
 
Naona utumishi wanaendelea kuwakanda watu,Leo watu wamekandwa na mchujo huko Arusha
😂😂😂😂😂Nde nde ndeeeeee ndeeee mwamba huyu apa sasa utumishi wanajua kutukanda aseeh ngoja kesho matokeo yatoke tuone
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nde nde ndeeeeee ndeeee mwamba huyu apa sasa utumishi wanajua kutukanda aseeh ngoja kesho matokeo yatoke tuone
Mimi kuhusu tokeo la kesho nishaweka silaha chini,

Nafocus mengine, kesho naamkia kusaka tonge kitaa
 
Nishakandwa tayari.

Ama hakika hii safari sio ya lelema.

#FocusDomAgain

Hahaha, dah Mkuu huu msemo wa kukandwa huwa unanichekesha sana. Kama vile ni mazuri, kumbe mengine yanaumiza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…