Kuna vi guesthouse vya kawaida Sana niliwahi fkia mimi sijui km bei zishabadirika ambavyo ni tsh 12, 15 mpaka 10. Moja ipo Hazina Dodoma inaitwa Makuna nyingine inaitwa kivulini ipo Makole zote zipo Dodoma mjini. Pia ukitaka lodge zenye kamuonekano kidogo kwa Dodoma ni 25 nk tena zipo katikati ya mji Moja inaitwa Pahi hotel (ni ghorofa) nyingine,kenya lodge nk.
Na yenyewe bei zake zipoje?Pia Kuna makole lodge -*makole DODOMA
Akalale hostel za UDOM, Humanity/ social. Au aende COED, ng'hong'hona Au alale nanenane stand, mbona pazuri tu. Au aende uswahilini huko mailimbili nkIpo sehemu gani?
Inapendeza majina ya Lodge/Guest zilizopo kwenye mitaa ya kuelekea UDOM kuanzia Jakaya Kikwete Convention Center kwenda mashariki.
Hii mitaani ipo karibu na UDOM na ghrama hata boda au bajaji haiwezi kuwa kubwa kivile.
Mnaozijua lodge za mitaa hiyo toeni muongozo kwa faida ya wasakatonge wote
Kuna vi guesthouse vya kawaida Sana niliwahi fkia mimi sijui km bei zishabadirika ambavyo ni tsh 12, 15 mpaka 10. Moja ipo Hazina Dodoma inaitwa Makuna nyingine inaitwa kivulini ipo Makole zote zipo Dodoma mjini. Pia ukitaka lodge zenye kamuonekano kidogo kwa Dodoma ni 25 nk tena zipo katikati ya mji Moja inaitwa Pahi hotel (ni ghorofa) nyingine,kenya lodge nk.
Akalale hostel za UDOM, Humanity/ social. Au aende COED, ng'hong'hona Au alale nanenane stand, mbona pazuri tu. Au aende uswahilini huko mailimbili nk
Na ukizingatia vikao vya kamati za bunge vimeanza, dodoma inafurika [emoji3][emoji3][emoji119]
Mkuu, hivi Hostel za UDOM huwa inawezekana wanaruhusu watu wa Saili kulala?
Kuna wazo hapa limenijia, hivi kwanini Chuo Kikuu UDOM kisingeanzisha utaratibu maalumu wa kuongea na Wanafunzi wao, ambao watakuwa tayari vyumba vyao vitumike kwa wanaofanya Saili kisha mapato yanayopatikana yawe ni sehemu ya ada yao ya Hostel na Chuo kipate kidogo!
Kuliko kuacha watu wateseke mitaani, naliona hili kupunguza sana gharama za wanaokwenda kufanya Saili na hata hao wanafunzi kupunguza au kuepuka kabisa kulipa ada za Hostel.
Mimi huwa nikienda kifanya usaili Dodoma nalala lodge ya buku saba japo mazingira huwa ni magumu ila nakomaaa na ni karibu na Dom nauli huwa ni buku bajaji ukiwa unahitaji ni pm nikupe number zao hiyo lodge,,,saili zangu zote huwa nafikia hapoAsante sana, nadhani kwa Dodoma Saili nyingi zinafanyika UDOM. Endapo kuna mahala unapajua Mkuu na ni pazuri kwa Saili za Utumishi Dodoma ila tofauti na zinazofanyika UDOM sio mbaya ukatusaidia pia.
DuuhHahaha, sawa ndugu Sai. Ila mkono uliokaa ndiko dereva gari ikimshinda anaitupia huko.
Mimi huwa nikienda kifanya usaili Dodoma nalala lodge ya buku saba japo mazingira huwa ni magumu ila nakomaaa na ni karibu na Dom nauli huwa ni buku bajaji ukiwa unahitaji ni pm nikupe number zao hiyo lodge,,,saili zangu zote huwa nafikia hapo
Mimi huwa nikienda kifanya usaili Dodoma nalala lodge ya buku saba japo mazingira huwa ni magumu ila nakomaaa na ni karibu na Dom nauli huwa ni buku bajaji ukiwa unahitaji ni pm nikupe number zao hiyo lodge,,,saili zangu zote huwa nafikia hapo
15000 kulala ni pazuri tuNa yenyewe bei zake zipoje?
Stend hapaishiwi watuAsante sana, hili nimesikia baadhi huwa wanafanya. Vipi hili unauzoefu nalo au kupitia ndugu, rafiki na mtu unayemjua?
Wengine wanadai ukiwa na kampani, inakuwa rahisi sana kulala popote.
Hahahaa, access ya mrija wa Asali kutokana na Tozo zetu tunaitafuta kwa udi na uvumba sana. Nchi ni yetu sote na keki ya Taifa ni haki ya kila mmoja wetu. Tupambane kwa njia yeyote tunayoona inafaaBoss Mungu akubariki sana, umetoa ufafanuzi mzuri sana. Nakutabiria hizi saili za mwaka huu, kuna moja wapo ni lazima itakuingiza kwenye ajira za Serikali.