Tatizo zinakuwa mikoa tofautiMkuu, mimi naona ni bora zifuatane tena ikiwezekana zisiwe na gape kubwa ili mtu akienda atafute namna ya kujibana huko huko, kuliko nenda rudi, mara umefika nyumbani hujakaa sawa unatakiwa kupanda tena gari kama kondakta.