Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Mkuu, mimi naona ni bora zifuatane tena ikiwezekana zisiwe na gape kubwa ili mtu akienda atafute namna ya kujibana huko huko, kuliko nenda rudi, mara umefika nyumbani hujakaa sawa unatakiwa kupanda tena gari kama kondakta.
Tatizo zinakuwa mikoa tofauti
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pesa inauma sana ukipiga pepa afu halieleweki unaona bora ungepunguza hata uzito kidogo
Mimi nasema ukweli wa Mungu hapa hakuna interview nilihudhuria nikakosa kula hizi Chipsi funga baada ya paper maybe that's way ni sababu ambazo zinanifanya nilikuwa nafeli labda [emoji2] kwa kubeba madhambi
 
Halafu naona vyuo vingine vinaita watu kwenye Saili ila IFM wako kimya, au ndio tayari wameshaweka wahitimu wao!

Maana vyuo kwa ambao hawajasoma humo kupata nafasi ni bahati nasibu sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pesa inauma sana ukipiga pepa afu halieleweki unaona bora ungepunguza hata uzito kidogo

Hahaha, ni kweli kabisa Mkuu.
 
Sema mkuu ktk hii mikeka uliokuwa short listed Mungu akusaidie ubahatike Mmoja [emoji120]


Mimi kuna pdf langu la mwisho nalisubiri najua nitaenda kufanya kitu tofauti na nilichosomea ila waswahili wanasema ili mradi mdomo uwende kinywani
Ahsante mkuu, Muumba na atie wepesi aisee ili tupishe na wengine
 
Mimi mwenyewe ocean road inanisubili [emoji23][emoji23][emoji23]
Tukapambane na huko mkuu.

Ila wamenikalisha leo Dom hivi hivi imeniuma sana.

Waongeze tu nguvu kazi mambo yaende haraka.
 
Mimi nasema ukweli wa Mungu hapa hakuna interview nilihudhuria nikakosa kula hizi Chipsi funga baada ya paper maybe that's way ni sababu ambazo zinanifanya nilikuwa nafeli labda [emoji2] kwa kubeba madhambi
😂😂😂😂Hahhhh umefanya nicheke sana mkuu daaah unaziokoteaga wapi aiseeeh sio bei ipo juu sana?
 
Jioni ya Utumishi naona bado haijafika.

Tuisubiri jioni ya kuanzia mida ya UCL tunaweza kupata matokeo
 
Back
Top Bottom