Itakuwa mmepita wote, kwakuwa timetable inasema kesho ni oral, kwahiyo ni kuwahi asubuhi eneo la tukio kwa ajili ya oral.Mimi siko Bungeni, nilifanya jana tuliambiwa matokeo yanatoka leo jioni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa mmepita wote, kwakuwa timetable inasema kesho ni oral, kwahiyo ni kuwahi asubuhi eneo la tukio kwa ajili ya oral.Mimi siko Bungeni, nilifanya jana tuliambiwa matokeo yanatoka leo jioni
Nasikia wanatuma majibu kupitia akaunti, ebu log inUtumishi utumishi mpaka sasa sielewi nisome au nilale maana mzigo bado tu
Hakuna hawajaweka mzee kila dakika nachekiNasikia wanatuma majibu kupitia akaunti, ebu log in
Vipi nyie wamewawekea tayari?Nasikia wanatuma majibu kupitia akaunti, ebu log in
Kuna mtu niliyekuja naye yeye kawekewa, kaitwa oral.Vipi nyie wamewawekea tayari?
😂😂😂😂😂au sio?Kuna mtu niliyekuja naye yeye kawekewa, kaitwa oral.
Wengine ambao tusipoona mabadiliko ikifika asubuhi tukamate road
Kama uko na Oral kesho asbh lazima majibu yako wakuwekee kwa Account.Vipi nyie wamewawekea tayari?
Kwangu hawajaweka apa nawaza au niliandika namba ya mwingine😂😂😂😂😂😂Kama uko na Oral kesho asbh lazima majibu yako wakuwekee kwa Account.
Jaribu kulogin
Huu utaratibu wameanza leo au ulikuwepo tangu siku za nyuma?Kama uko na Oral kesho asbh lazima majibu yako wakuwekee kwa Account.
Jaribu kulogin
kuna moja ya orci mwaka jana hawakuweka pdf nayenyewe asa naona leo imejirudia tenaHuu utaratibu wameanza leo au ulikuwepo tangu siku za nyuma?
Kutotuwekea marks kwenye pdf hawatufanyii uungwana.
Tayari PDF zishatoka. KaangalieNimeamua nilale zangu kesho asubuhi nipo road watafanya wenyewe hiyo oral
[emoji1787]
Ushashika road?Wamenikanda vibaya sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nshaondoka tayariUshashika road?