Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwel maana kuna mwamba nilimkuta stend pale anasema baada ya kumaliza usaili akawa hapo stend kwa siku mbili anasubili wadau home wamtumie pesa adandie ndinga
Wahuni wanasema umenyea kambiHahaha, navuta picha mtu akiwa kwenye mtumbwi wa vibwengo kiuhalisia anakuwa na hali gani.
Ukikutana nalo la TAA mahari unishitueWale wa tarehe 14 tujuane
Hahahahaa, yaani ile kukandwa ili upoe na kukaa kwa kutulia na uache kuwasumbua utumishiHahaha, dah Mkuu huu msemo wa kukandwa huwa unanichekesha sana. Kama vile ni mazuri, kumbe mengine yanaumiza.
Yaani hapo anakuwa hana namna na kusema tu bora liende[emoji3][emoji3]Hahaha, navuta picha mtu akiwa kwenye mtumbwi wa vibwengo kiuhalisia anakuwa na hali gani.
Hahahahaa, yaani ile kukandwa ili upoe na kukaa kwa kutulia na uache kuwasumbua utumishi
1mHivi mtu akitokea Kigoma itabidi aandae kama laki ngapi?
laki mbili hivi au akijibana sana 180k ,maana nauli kama sikosei inafika 120k kwenda na kurudi kwa basi lakini kama huna ondoka mapema na treni ili utumie gharama kidogoHivi mtu akitokea Kigoma itabidi aandae kama laki ngapi?
Treni apande tu wakati kurudi akishakandwa maana atakuwa hana stress za kuchelewa.laki mbili hivi au akijibana sana 180k ,maana nauli kama sikosei inafika 120k kwenda na kurudi kwa basi lakini kama huna ondoka mapema na treni ili utumie gharama kidogo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Duuuh kwamba nowadays mkando tu Duuuh. Hawa jamaa huwa maswali yao yanabase haswa wapi na kwa wale WA written Yale maswali huwa unaandika tu point, essay, briefly, au ujibuje ili utoboe written kwa muda WA dakika zao umalize. Majibu wadau nawasilishaTreni apande tu wakati kurudi akishakandwa maana atakuwa hana stress za kuchelewa.
Unapoeleza kuwa briefy point ionekane na maelezo kidogo ivo yani[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Duuuh kwamba nowadays mkando tu Duuuh. Hawa jamaa huwa maswali yao yanabase haswa wapi na kwa wale WA written Yale maswali huwa unaandika tu point, essay, briefly, au ujibuje ili utoboe written kwa muda WA dakika zao umalize. Majibu wadau nawasilisha
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂Treni apande tu wakati kurudi akishakandwa maana atakuwa hana stress za kuchelewa.