HS CODE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 1,784
- 4,376
- Thread starter
- #621
huyo hajabobea vya kutosha, kubobea vya kutosha ni hadi ufanye super specialization i.e PhD (Doctor of Philosophy ).
Sawa Mkuu, asante sana kwa ufafanuzi. Nadhani pia tukiiweka kwamba nilidhamiria inaweza kuwa ni yeye au wengine wamo humu waliobobea inaweza ikaleta mantiki.