Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Mkuu, hivi Hostel za UDOM huwa inawezekana wanaruhusu watu wa Saili kulala?


Kuna wazo hapa limenijia, hivi kwanini Chuo Kikuu UDOM kisingeanzisha utaratibu maalumu wa kuongea na Wanafunzi wao, ambao watakuwa tayari vyumba vyao vitumike kwa wanaofanya Saili kisha mapato yanayopatikana yawe ni sehemu ya ada yao ya Hostel na Chuo kipate kidogo!

Kuliko kuacha watu wateseke mitaani, naliona hili kupunguza sana gharama za wanaokwenda kufanya Saili na hata hao wanafunzi kupunguza au kuepuka kabisa kulipa ada za Hostel.
Wew ni mtu mzima kweli,mbona Kam muoga muoga??
 
JKCI walinipiga kibuti mapema kwenye shortlist hata kabla sijajiandaa kwa mkando wa written[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Hahaha, Mkuu kuanguka mara moja hakumaanishi kuanguka milele.
 
Sawa mkuu, ngoja nisubiri zari la NAOT ili nifunge mwaka

Kuwa na amani Mkuu, NAOT ni lazima wakuite. Hivi nafasi yako uliyoiomba kwenye Ofisi hii inahitaji watu wangapi?
 
Hizi post za nafasi moja ni hatari kama post zangu yani ikizidi ujue wanataka watu wawili sasa interview zake inakuaga kama wanataka kuua mtu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaa, ndio maana mimi sijaweka matumaini hata ya kuitwa kwenye written
 
Hahahahaa, ndio maana mimi sijaweka matumaini hata ya kuitwa kwenye written
😂😂😂😂Yani post zangu nikiitwaga interview kwanza kichwa kinaanza kuuma maana wanataka mtu mmoja halafu unakuta tupo mia sasa hapo written itakayokuja hapo acha kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani post zangu nikiitwaga interview kwanza kichwa kinaanza kuuma maana wanataka mtu mmoja halafu unakuta tupo mia sasa hapo written itakayokuja hapo acha kabisa
Kupambania nafasi moja inahitaji utoboe sana, yaani usikosekane top 3 kuanzia written
 
Hizi post za nafasi moja ni hatari kama post zangu yani ikizidi ujue wanataka watu wawili sasa interview zake inakuaga kama wanataka kuua mtu[emoji23][emoji23][emoji23]

Yani nimeshtuka sana, kuna kila haja ya kuwa jasiri ili kufanya maombi ya nafasi chache sana kiasi hicho.

Lakini yote kwa yote kila mtu ana nafasi yake muda wake ukifika. Kama sio nafasi yako hata wahitajike watu 50,000 bado utakosa.
 
Yani nimeshtuka sana, kuna kila haja ya kuwa jasiri ili kufanya maombi ya nafasi chache sana kiasi hicho.

Lakini yote kwa yote kila mtu ana nafasi yake muda wake ukifika. Kama sio nafasi yako hata wahitajike watu 50,000 bado utakosa.
Huna naamini hivyo kama wakati wako umefika utapata tu maana huwa inakatisha sana tamaa kuomba kazi kwenye post moja tu
 
Mrija wa Asali haujawahi kuwa mrahisi kabisa

Hahaha, ni kweli na naamini ni lazima watakuita, anza maandalizi kabisa Mkuu, naona tangazo likishatoka muda huwa hautoshi mpaka kufika Written.
 
Hahaha, ni kweli na naamini ni lazima watakuita, anza maandalizi kabisa Mkuu, naona tangazo likishatoka muda huwa hautoshi mpaka kufika Written.
Leo nimepitia job descriptions zikiwa zimechapwa kwa kiswahili, sijui kwenye pepa napo wataleta kwa kiswahili.
 
Back
Top Bottom