Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Hahaha, huu ni wapili Mkuu, ila wakwanza ulimjia vizuri na akawa na matumaini makubwa mpaka matokeo yalivyotoka ndipo akagundua utumishi hawaishiwi mbinu za kumshangaza jobless.
😂😂😂😂😂Umefanya nicheke sana Kwamba utumishi hawaishiwi mbinu zakumshangaza jobless hahhhh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utumishi wanakuaga na matokeo Fulani hivi yakushangaza sana
Hapo lkn me sijaelewa wanakushangazaje yani kwenye matokeo wakati unajijua kabisa ulijibu vzr [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Ila kuna kitu inaitwa "CUTTING POINT ONLY FEW UNDERSTAND IT"

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Hapo lkn me sijaelewa wanakushangazaje yani kwenye matokeo wakati unajijua kabisa ulijibu vzr [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Ila kuna kitu inaitwa "CUTTING POINT ONLY FEW UNDERSTAND IT"

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Chakwanza kabisa kunakuwaga na ile kukuelewa swali vibaya Yani sio gumu lakini umeinterprate vibaya
Kwa mfano wanakwambia describe the features of mountain in geomorphic perspective
Sasa unaweza kusema labda hili swali linataka charactericts of mountain kumbe halitaki hivyo, then ikatoka umejiaminisha kuwa umejibu fresh sasa matokeo yakija ndo hapo yanakushangaza kwamba umeaibisha ukoo wenu😂😂😂
 
Chakwanza kabisa kunakuwaga na ile kukuelewa swali vibaya Yani sio gumu lakini umeinterprate vibaya
Kwa mfano wanakwambia describe the features of mountain in geomorphic perspective
Sasa unaweza kusema labda hili swali linataka charactericts of mountain kumbe halitaki hivyo, then ikatoka umejiaminisha kuwa umejibu fresh sasa matokeo yakija ndo hapo yanakushangaza kwamba umeaibisha ukoo wenu[emoji23][emoji23][emoji23]
Yeah hapo nimekusoma, na hii nimegundua it's very easy kutokea kwasababu muda muda muda! Ukimaliza tu kisoma swali unaambiwa dk 20 zimeisha hapo ushapagawa kuelewa swali mara stapler ubane karatasi mara pens down [emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Yeah hapo nimekusoma, na hii nimegundua it's very easy kutokea kwasababu muda muda muda! Ukimaliza tu kisoma swali unaambiwa dk 20 zimeisha hapo ushapagawa kuelewa swali mara stapler ubane karatasi mara pens down [emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂😂Kuna msimamizi mmoja nilikuwa naandika speed balaa asa nilikuwaga mbele kabisa aliniangaliaaaa afu akashika kichwa ikabidi nitulie kwanza nikawaza au nimeenda Chaka nini ndo ananionea huruma mpka kashika kichwa hahhhh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna msimamizi mmoja nilikuwa naandika speed balaa asa nilikuwaga mbele kabisa aliniangaliaaaa afu akashika kichwa ikabidi nitulie kwanza nikawaza au nimeenda Chaka nini ndo ananionea huruma mpka kashika kichwa hahhhh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]haloo!!! Sio poa hiyo dk zile huwa za moto hakuna anaesinzia

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umefanya nicheke sana Kwamba utumishi hawaishiwi mbinu zakumshangaza jobless hahhhh

Hahaha, Mkuu utumishi kwa mtu ambaye hajawahi kuomba ajira au hafuatilii michakato ya ajira wanayoiendesha anaweza kuwaona wanaokosa ni wazembe sana.

Kumbe mambo yako tofauti. Jamaa wanauwezo mkubwa wa kushangaza.
 
Hapo lkn me sijaelewa wanakushangazaje yani kwenye matokeo wakati unajijua kabisa ulijibu vzr [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Ila kuna kitu inaitwa "CUTTING POINT ONLY FEW UNDERSTAND IT"

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

Hahaha, Mkuu nakupa muda, acha majibu tusikupe sisi watakupa utumishi wenyewe kwa vitendo. Kuna siku utarudi hapa madhabahuni kutoa ushuhuda.
 
Yeah hapo nimekusoma, na hii nimegundua it's very easy kutokea kwasababu muda muda muda! Ukimaliza tu kisoma swali unaambiwa dk 20 zimeisha hapo ushapagawa kuelewa swali mara stapler ubane karatasi mara pens down [emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

Mkuu, kwa kifupi utumishi ukifaulu ni kama umefeli na ukifeli ndio umefeli.
 
Hahaha, ndio Mkuu. Vipi upande wako, jamaa hawajawahi kukushangaza?
Wanaachaje kunishangaza Hawa jamaa [emoji3][emoji3][emoji3] kuna kitu inaitwa CUTTING POINT mtu ulikuwa hujawahi kupata 50 ile unapata 50 tu wanachukua kuanzia 51 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom