Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA waendelea, Kawe kumewaka moto leo

Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA waendelea, Kawe kumewaka moto leo

Nipo kwenye mkutano hapa na nimefika muda mrefu sana ili kusikikiza sera mbadala kutoka kwa viongozi wetu na mgombea wetu.

Kabla ya yote jana mgombea wetu alitueleza kuwa tutafanya maandamano ya amani kabla ya mkutano kuanza ila ukweli ni kuwa hatujafanya maandamano hadi sasa na tupo hapa hatujui kinachoendelea.

Watu tupo wachache kuliko jana mbagala, ila hii inaweza kuwa bahati mbaya kwa sababu nadhani wamechagua sehemu ambayo haikuwa sahihi.

Kawe ni sehemu ambayo imezungukwa na sehemu za ushuani ambao huwa hawapendi kabisa mikutano ya kisiasa. Ningekuwa mimi huu mkutano leo ungefanyika ubungo, magomeni au kimara lingetafutwa eneo zuri la wazi maeneo hayo kwa ajili ya mkutano.

Ila yote kwa yote kuna shida ndani ya chama.
Wewe acha uongo. Watu wapo wengi tu.
 
kuwa makin mkuu watu wana hasira usije vunjiwa simu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382]
 
Kumtoa mtu ndani kwake hadi aje kusikiliza sera zako ni jambo ambalo linahitaji technique nyingi. Kwanza hamasa

CHADEMA hamkua na hamasa yoyote ya kuhamasisha watu juu ya uzinduzi wa kampeni yenu, amsha amsha hazikuepo kama zile enzi za Dkt. Slaa.

Hamkua na vitu vya kushawishi watu waje zaidi ya Lissu, hamuoni CCM wanakodi mpaka wasanii ili wajaze uwanja?

CHADEMA mnafeli, Katibu Mkuu umefeli.

Kiujumla mmefeli nyote na mkiendelea hivyo hivyo mtapoteza mvuto kabisa.
Ujaenda kwenye show dodoma
 
nadhani watu wamechoka tu na siasa za maji taka. siasa ambazo zinawajaza matumbo tu wanasiasa yanakua makubwa tu na kuongeza ulafi zaidi, watu wameamua kufanya mambo yao na kuangalia familia zao zaidi na mishe zao wapate pesa na maisha yaende vyema
 
Baada ya sisi kumnanga kugoma kutokea Kawe Lisu kukurupuka na mkewe mbio kujajs mkutanoni kuficha aibu mkutano unafungwa saa 12 yeye ndie katokea mida hii
Mkuu msafara ulianzia Goba saa tano asubuhi kupitia mbezi barabara ya morogoro.hivyo usidanganye umma kuwa amechelewa
 
Kawe si ndiko kwa Gwajima? Si wangemuomba awasaidie angalao kidogo? Angalao kwa sala.
 
6ABFFFB6-3AD5-46E3-8867-F69B1EB54A43.jpeg
 
Back
Top Bottom