Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA waendelea, Kawe kumewaka moto leo

Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA waendelea, Kawe kumewaka moto leo

Hiyo mpesa si kampuni ya vodacom ambayo siku kadhaa tuliona viongozi wake wa chadema wakikata laini zake kwa kususia, imekuwaje tena?? Au zilikuwa hasira za mkizi tu.?
Maamuzi yao ya kitoto ndiyo yanatufanya hata tuone kuwapa nchi ni kuiweka rehani nchi yetu.
 
Nipo kwenye mkutano hapa na nimefika muda mrefu sana ili kusikikiza sera mbadala kutoka kwa viongozi wetu na mgombea wetu.

Kabla ya yote jana mgombea wetu alitueleza kuwa tutafanya maandamano ya amani kabla ya mkutano kuanza ila ukweli ni kuwa hatujafanya maandamano hadi sasa na tupo hapa hatujui kinachoendelea.

Watu tupo wachache kuliko jana mbagala, ila hii inaweza kuwa bahati mbaya kwa sababu nadhani wamechagua sehemu ambayo haikuwa sahihi.

Kawe ni sehemu ambayo imezungukwa na sehemu za ushuani ambao huwa hawapendi kabisa mikutano ya kisiasa. Ningekuwa mimi huu mkutano leo ungefanyika ubungo, magomeni au kimara lingetafutwa eneo zuri la wazi maeneo hayo kwa ajili ya mkutano.

Ila yote kwa yote kuna shida ndani ya chama.

Watanzania wanaojitambua hawana muda wa Kupoteza kwenda hapo, wakati wanajua tu karibia 75% ya 'Madai' yao Rais Magufuli ameshayatatua.
 
Mmawia hapokei simu sasa hivi. Hii nini hii? Oooh sisiemu wanabeba watu ktk matuso, hii nini?
Hahahaaa...afu mipicha yao si ya CCM mpya, ngoja tuwaoneshe hizo picha ni za lini.
IMG_20200829_144710.jpg
 
Aisee leteni picha, maana jana walitia aibu, gari imeishapoteza muelekeo hata kabla haijashika main road
 
Nipo kwenye mkutano hapa na nimefika muda mrefu sana ili kusikikiza sera mbadala kutoka kwa viongozi wetu na mgombea wetu.

Kabla ya yote jana mgombea wetu alitueleza kuwa tutafanya maandamano ya amani kabla ya mkutano kuanza ila ukweli ni kuwa hatujafanya maandamano hadi sasa na tupo hapa hatujui kinachoendelea.

Watu tupo wachache kuliko jana mbagala, ila hii inaweza kuwa bahati mbaya kwa sababu nadhani wamechagua sehemu ambayo haikuwa sahihi.

Kawe ni sehemu ambayo imezungukwa na sehemu za ushuani ambao huwa hawapendi kabisa mikutano ya kisiasa. Ningekuwa mimi huu mkutano leo ungefanyika ubungo, magomeni au kimara lingetafutwa eneo zuri la wazi maeneo hayo kwa ajili ya mkutano.

Ila yote kwa yote kuna shida ndani ya chama.
Wewe ndiye tatizo
 
Back
Top Bottom