Wameleta wenyeweeeee,hakuna namba ya voda iliotolewaDodoma wamepokea michango yamafuta ya kampeni toka kwa wamachinga na wauza ndizi, kwa mujibu wa bashiru karibu mkuu ccm
Yaani chadema hamna tofauti na yanga,huwezi kwenda ikulu kwa pesa ya Tigo pesa,kumbuka mna siku 60 za kukanyaga ardhi yote ya Tanzania