Uzinzi ni gharama kubwa, kama wewe sio risk taker tulia kwa mkeo uwaachie wababe

Ila
Ila we na ulikuwa mrahisi Sana kwa jamaa, pole yako jamani.
 
We unadhani mo unaweza kumkuta kitambaa cheupe!??!?..Wana maeneo yao wale..
 
Mbaya zaidi unapoenda kufanya uzinzi kwa gharama kubwa huku nyumbani kwako ukiwa hujaacha hata senti moja
Kwa hili anaachaje kulaaniwa sasa,laana inatoka kwa watoto,mke,wakwe,majirani ikifika kwa mama yake kumlaani anakua chizi kabisa.
 
Acha watu wachakate mbususu brother kama wewe umeamua kutulia na mkeo Tulia sisi wakurugwa tunachakata mbususu kama kawa
 
Na sisi tunaowadinya maporini unatuzungumziaje?
 
hongereni nyote msiopenda hicho mnachokisema, inaonekana mmejenga maghorofa saba saba huko mjini mbweni dsm.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1732]
 
Jf kila thread ni mtaa wenye watu wake.. Kuna thread nilipita kila mwanaume anasema wanaume wasiochovya chovya wana mapungufu,

huu sasa ni kwa wasiofanya kuepuka mabalaa [emoji2363][emoji2363][emoji2363]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…