Uzoefu: Naishi kwa Shemeji yangu huu mwaka wa tatu

Uzoefu: Naishi kwa Shemeji yangu huu mwaka wa tatu

1. Usipige Gym. Gym inamfanya mtu awe na confidence sana hivyo kupelekea kuingilia ugomvi pindi Shem wako anapo mkata dada yako makofi.. Pia Gym hufanya kiwango cha kula kuongezeka ivyo unapo kaa kwa mtu jitahidi sana uwe una kula kiasi kama wenyeji ulio wakuta..

Halafu kupiga Gym kunafanya ukate sana msosi. Mashemeji huwa wanakerwa na hili wanaona unawatia hasara kukulisha.

8. Kama shemeji ana gari jipe kibarua cha kulipiga sopu sopu akipaki nyumbani. Lakini tumia maji kwa uangalifu ili bili ya maji isiwe chanzo cha kero kwako japo ni gari yake unaosha
 
Ondoka hapo mkuu! Usijifungie huko chumbani, maisha yako nje yanakusubiri.
 
Ongeza hizi
Usile sana maana utasemwa mpk na dada yk 😂😂unakula na ufanyi kazi yoyt kazi kuangalia tv
Fanya kazi za nyumbani kifupi act kama house boy/girl
Saidia watoto kuhusu home work na kazi zao za shule
Ukiwa mnyenyekevu hivi watakupenda na wewe ndio sehemu ya kuomba kimtaji walau uingize hata buku 2 kwa siku upate kuthaminika
Pole sana.
Uki act hiv watakupenda mpaka kupitiliza na kukufanya mfanya kaIbwao.Hawatataka uondoke hata ukitaka ukapange hawatafurah na ukiomba mtaji watakunyima ili ww boya wao uendelee kukaa nao
 
Umetisha sana aisee.. Hizi huwa nafanya pia ndio maana nimedumu sana hapa.. Huwa naamka mapema sana kabla ya mtu yeyote, napukuta gari yake , naandaa madogo wenyewe akiamka wanakuta mambo mengi yasha kamilika..
Mzee utadumu sana hapo mpaka ujisahaubkuwa unapaswa kushughulika na maisha yako binafsi.Comfort zone hiyo itakumaliza.
Raha ya maisha hayo ni kunyanyaswa na kunyanyapaliwa ili akil ikae sawa kuwa U HAVE TO DO SOMETHING FOR UR LIFE.
 
We jamaa miaka mitatu alaf bado uko okey tu???
Mimi nilikaa kwa ndugu miezi 6(baba mkubwa), ilkuwa kama miaka 6.
Hakika lilikuwa gereza dogo na ukizingatia sikuwahi ishi kwa ndugu maisha yangu yote, nilivyomaliza chuo nikawa sina namna..

Kuna kipindi mama kasafiri, kakaa wiki akarudi anauliza bado tu hujapata kazi? Nikajisemea hapa nshachokwa, hapo nshahangaika sana natafuta mpka ualimu wa tempo nakosa dah [emoji3][emoji3].. Kuna kipindi nikataman mpka kuwa dalali. Nikikuta mahali kuna bango nyumba inauzwa, nami naenda kutangaza mitandaoni (nayo ikabuma).

Nilitaka kufanya biashara ya chips, mtaji laki 2 nikamwambia mzee akachomoa et hana hela. Yan nilipitia wakati mgumu sana mpka nakuja kupata kazi nilishukuru kutoka katika kile kifungo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuuuh poleeeh San

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sijuwi Nina bahati gan maana nashemej zangu wote wanataka nikakae kwao, Ila me ndo siwez kuish nje ya nyumban mda mrefu, labda shule tyuuiih.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naongezea.

Usijisikie Vibaya, unaposikia miguno ya kimahaba kutoka kwa Dada Yako pindi umelala ukaamka Usiku (hapo sio kwako)

Kama Shemeji Yako ana gari jitahidi kumuoshea kila asubuhi kabla hajaenda kazini..

Kila Ukitumwa dukani, unakimbia fasta unarudi ili akutume tena.

Ukikaa sebuleni ni marufuku kunyoosha miguu

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji7][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
8. Fanya kazi za nyumbani kwake ipasavyo, tena hakikisha wakati unafanya kazi hizo anakuona. Hii itamfanya shemeji yako aone wewe ni hard worker na sio mzigo.
9. Usithubutu KUMUOMBA HELA SHEMEJI YAKO, heri umlilie shida dada yako na SIO SHEMEJI
 
Mkuu fikiria maisha yako ya baadaye, huu ndio muda wa kuyaandaa, ONDOKA HAPO.
 
Pole sana.
Uki act hiv watakupenda mpaka kupitiliza na kukufanya mfanya kaIbwao.Hawatataka uondoke hata ukitaka ukapange hawatafurah na ukiomba mtaji watakunyima ili ww boya wao uendelee kukaa nao
Nani anaependa mzigo? Labda ukutane na ndugu lawama wasiojua thamani ya kusaidiana
 
Back
Top Bottom