Kv-london
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 2,877
- 5,022
Shemeji IPO cku atakuomba 0713.. Coz unakula kwake tu na we pia in mkewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Usipige Gym. Gym inamfanya mtu awe na confidence sana hivyo kupelekea kuingilia ugomvi pindi Shem wako anapo mkata dada yako makofi.. Pia Gym hufanya kiwango cha kula kuongezeka ivyo unapo kaa kwa mtu jitahidi sana uwe una kula kiasi kama wenyeji ulio wakuta..
Pole sana.Ongeza hizi
Usile sana maana utasemwa mpk na dada yk 😂😂unakula na ufanyi kazi yoyt kazi kuangalia tv
Fanya kazi za nyumbani kifupi act kama house boy/girl
Saidia watoto kuhusu home work na kazi zao za shule
Ukiwa mnyenyekevu hivi watakupenda na wewe ndio sehemu ya kuomba kimtaji walau uingize hata buku 2 kwa siku upate kuthaminika
Mzee utadumu sana hapo mpaka ujisahaubkuwa unapaswa kushughulika na maisha yako binafsi.Comfort zone hiyo itakumaliza.Umetisha sana aisee.. Hizi huwa nafanya pia ndio maana nimedumu sana hapa.. Huwa naamka mapema sana kabla ya mtu yeyote, napukuta gari yake , naandaa madogo wenyewe akiamka wanakuta mambo mengi yasha kamilika..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] co kes km utapeleka mahali ya pili kwa wazazi uwiiiiiiiihMimi nakutafuna tu, ukifurahia utabaki... ukizingua utafungasha.
Hahahahaha weeee me siwezi lol.It's wrong, ukiwa kwa mtu yoyote, onyesha kuwa wewe ni mtu responsible. Hata kama kuna wafanyakazi wa ndani, kula na kulala tu sio kitu kizuri tena kwa binti kama wewe, osha vyombo, saidia kupika, kufua nk.
Duuuuuh poleeeh SanWe jamaa miaka mitatu alaf bado uko okey tu???
Mimi nilikaa kwa ndugu miezi 6(baba mkubwa), ilkuwa kama miaka 6.
Hakika lilikuwa gereza dogo na ukizingatia sikuwahi ishi kwa ndugu maisha yangu yote, nilivyomaliza chuo nikawa sina namna..
Kuna kipindi mama kasafiri, kakaa wiki akarudi anauliza bado tu hujapata kazi? Nikajisemea hapa nshachokwa, hapo nshahangaika sana natafuta mpka ualimu wa tempo nakosa dah [emoji3][emoji3].. Kuna kipindi nikataman mpka kuwa dalali. Nikikuta mahali kuna bango nyumba inauzwa, nami naenda kutangaza mitandaoni (nayo ikabuma).
Nilitaka kufanya biashara ya chips, mtaji laki 2 nikamwambia mzee akachomoa et hana hela. Yan nilipitia wakati mgumu sana mpka nakuja kupata kazi nilishukuru kutoka katika kile kifungo.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji7][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naongezea.
Usijisikie Vibaya, unaposikia miguno ya kimahaba kutoka kwa Dada Yako pindi umelala ukaamka Usiku (hapo sio kwako)
Kama Shemeji Yako ana gari jitahidi kumuoshea kila asubuhi kabla hajaenda kazini..
Kila Ukitumwa dukani, unakimbia fasta unarudi ili akutume tena.
Ukikaa sebuleni ni marufuku kunyoosha miguu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo potofuuuuuuuh tyuuh hayoooohShemeji IPO cku atakuomba 0713.. Coz unakula kwake tu na we pia in mkewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ongeza na maziwa fresh hapo.Umesahau jambo hili. Usimchunguze sana shemeji ako, anaweza kuwa anatumia hii kitu kila jioniView attachment 1374465
Sent using Jamii Forums mobile app
Naichukua hii mkuu.NimeipendaaDon't lose yourself, trying to hold on someone.
Nani anaependa mzigo? Labda ukutane na ndugu lawama wasiojua thamani ya kusaidianaPole sana.
Uki act hiv watakupenda mpaka kupitiliza na kukufanya mfanya kaIbwao.Hawatataka uondoke hata ukitaka ukapange hawatafurah na ukiomba mtaji watakunyima ili ww boya wao uendelee kukaa nao
Hiyo avatar !!!Duuuuuh sio poah maana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app