😅😅😅😅 Hahaha usijeee utakosaa ushirikianoo Tako sio Kila kituu kwenye haya maishaa ujuee.Ni ngumu mwanamke mwenye shape na tako kubwa kuwa single ngumu mnoo mnoo ndo maana nimeshangaa wewe huna aliyekuwish
Nakuja pm ❤️🔥🏃🏃
I don't care my dear acha nijaribu nijionee 🤗🌹😅😅😅😅 Hahaha usijeee utakosaa ushirikianoo Tako sio Kila kituu kwenye haya maishaa ujuee.
Na huyu anajiita Mume halali wa Ephen ni mumu wako kweli au? Maana ananichimba mkwara huku.Nipo double
Mimi mwenyewe ndio kwanza nimemuona leo, namsubiri aje anielezeeNa huyu anajiita Mume halali wa Ephen ni mumu wako kweli au? Maana ananichimba mkwara huku.
🤣🤣🤣🤣 kumbe ni mume wa mchongo wa Ephen, akija unitagi ili kama hana hoja za msingi tusaidiane kumpopoa swaain huyu.Mimi mwenyewe ndio kwanza nimemuona leo, namsubiri aje anielezee
50/50 ni kuchepuka na kwenye ofisi zenye kiyoyozi tu, huku kwenye valentine na birthday unatoa zawadi ya smartphone unapewa pair tatu za boksaAnayenipenda basi aseme siku hizi tumekubaliana ni 50/50 tongoza nikutongoze, kwa pamoja tutongozane
na hizo boksa amejiongeza sana unaweza ishia kukumbatiwa tu, ukitaka mzigo unaambiwa sorry baby leo ni red flag, ila you know what I love you so much50/50 ni kuchepuka na kwenye ofisi zenye kiyoyozi tu, huku kwenye valentine na birthday unatoa zawadi ya smartphone unapewa pair tatu za boksa
Nikiona comment yako huwaga nafurahi tu sijui kwannValentine imeharibiwa na Yanga. Aaah maumivu tupu
Nikiona comment yako huwaga nafurahi tu sijui kwann
50/50 ni kuchepuka na kwenye ofisi zenye kiyoyozi tu, huku kwenye valentine na birthday unatoa zawadi ya smartphone unapewa pair tatu za boksa
Mimi nakupenda kuliko asali ukumbukeMie nampenda huyu hapa kijana kampelewele ,. Japo yeye hanipendi tena😔
Utapeli huo, mbona nimejaa tele kama pishi ya udagaSitaki iwe hivyo jamani,. Nisaidie kumtag mwambie Nampenda sana😓.
usingizi sipati kwasababu yake, Na hata nikilala ananijia ndotoni,. Nikijikata damu zinatoka ni jina lake kampelewele 😔
Mwambie Leejay49 aache kunibania
Weee umejaa wapi?,. Wakati kila mahali umenifungia makufuli😓😑Utapeli huo, mbona nimejaa tele kama pishi ya udaga