[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nasekisha hahahaha ayo hehoie doooo
Yetonii me mtaso keba wa magomeni mnduu
Sana'a tuu!!!Hivi haya mambo ya sijui valentine bado kuna watu wanayafuatilia tu?
Umeona eeehhIla kunawatu dunia hii wanabahati Sana,MTU ameoa ,bado nimjomba,nabado Hana Mda au time yakuspend Sana nahuyo ampendae Ila bado anapendwa hivyohivyo nabado anapewa heshima zote kama mmewandoa,some people actually were born luck,Tu,
Lina mpa furaha, raha, mihemko na kumuongezea maisha marefu acha wivu kijanaUa linamuhimu gani katika maisha yako?
Sitaki Mauá bila helaSio maua tu?
Mjomba wako mlishaachana Nakadori ?
Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka ...valentine imekaribia ila jaman hata sina wa kuniletea ua.....
Uncle hana ishu za kisasa za kupeana maua... hapo nikiomba hela ntapewa nyingi tuu ila sasa ulete vitu romantic utashangaa na roho yako.
Yani natamani mtoko wa maana nifanyiwe japo romantic dinner kwenye kahotel kalipo Beach hata South Beach ya Kigamboni halafu tulale huko huko. Sema ndo hivyo mipango sio matumizi.
NB. Wale wa kuja PM siwataki jamani. Nimeridhika na style ya kizee zee ya uncle.