Na mikoani pia, miji inachafuka, magari hayapiti, Lakini hao machinga wenyewe hawapati faida yeyoteWarudi machinga complex pale wafanye biashara hata juu ya palaa la machinga complex
Amecha Legacy mkuu hivyo usishangae!Naona bado unaombeleza mkuu, pole ndio ukubwa huo.
Hawo wote wakati wanaingia barabarani walikua na maeneo yao, warudi huko.Hao wanaotolewa maeneo hayo wanatarajiwa kuhamishiwa wapi?. Mtihani mpya kwa wale waliochukua mikopo haswa kina mama wanaotegemea vikoba na pesa za aina hiyo.
Vurugu watamletea nani?..Nasema wawaache yatima,wataanzisha vurugu wakati wa kubomoa hayo mabanda.hawawezi kukubali kirahisi,baba yao alishawamilikisha hayo maeneo.
Hapa sijakuelewa mkuu.Wenye Mabanda yote kando ya barabara wametakiwa kuyabomoa kabla ya tarehe 18 mwezi huu ambapo ndio tarehe ya bomoabomoa. Mtakumbuka jinsi mabanda yayivyokua yameshamiri kila pande ya jiji na kuharibu kabisa muonekano wa mji kama miji minginge mikubwa ya majiran zetu hadi kufikia kuonekana jiji lote ni slum. Kuanzia maeneo ya fire,DIT hadi kisutu ilikua kituko hata kupishana watembea kwa miguu ni shida. Mlimani city ndio usiseme kabisa. Angalau jiji litaanza kuonekana sasa maana moshi wa mamantilie wanaopikia kuni pembeni ya barabara ndo ulikua unaonekana.Yaani hata Nairobi au Kigali tu walikua wanaonekana wametuacha mbali kisa haya mabanda maana kila mtu kajenga anavyojua na kuezeka anavyojua. Dar inarudi kuwa Dar
hawakulia,Walifurahi sana maana wengi yeye ndo aliwafnya wawe machinga kwa kuua ajira zaoNdio maana machinga walilia sana
Wamfuate aliko, sheria lazima zifuatweWatakuja kusema"baba yetu kaondoka sasa wanatunyanyasa"
Ni mjinga tu atakesimanga kifo chako!!Aisee Arusha hali mbaya zaidi nadhani yule mshenzy mla nyama za watu alifanya makusudi akihofia uchaguzi wa 2020, jitu jinga sana lile ndo maana likafa!
Hio hata mtu binafsi anaweza fanya hivo ila machinga ni kama mtoto mchafu raha yake uchafu.Kuzagaa ndo raha yao ili waonekane wako busyHIVI MSAJILI HAWAWEZI KU SCARIFY MAGOROFA MATATU TU KARIAKOO YALIYOFUATANA IKATENGENEZWA MALL KUBWA KWELI YA GHOROFA 10 IKAJENGWA KWA UFUNDI NA RAMANI YA AINA YAKE IKABEBA MACHINGA 10,000 WALIOPO KARIAKOO SEREKALI IKAWA INAPATA KODI YAKE KWA WEPESI?,MAANA MACHINGA WAMEIKOMALIA SANA KARIAKOO NA KUWAFUKUZA WAKATI MWINGINE SIO HAKI,PIA KUWAHAMISHA INAKUWA NGUMU,KARUME PABAKIE,ILALA,PABAKIE,MACHINGA COMPLEX ISANIFIWE IBADILISHWE ILI YAWE MAKAZI NA FIDIA KWA MAJENGO MATATU WATAKAYOWAPA JIJI KATIKA UJENZI WA MALL.
Kwanini upoteze ajira kwa kuzembea kazi wakati kuna watu wanataka kufanya kazi hiyo? kuwajibika katika shughuli yeyote ile ni lengo la kupata manufaa zaidi na kujiongezea tija na ari kwa jamii inayokuzunguka, Kwanini hujiulizi mbona wengine wanapanda cheo au kuongezewa mshahara na wengine hapana.Kwa hiyo ni Bora iwe rasimi sasa, embu umefikiri Kwamba, Ikiwa itakuwa hivyo, na Kwa sifa mbaya tuliyonayo Watanzania kuwa,Sisi ni wavivu, waizi maofisini ingawa sio wote, Je, ni Watanzania wangapi watapoteza ajira zao baada ya tangazo Hilo??
Upewe laki tano? Ulikuwa unalipa Kodi kiasi gani kwani?Serikali ianze kutoa ruzuku kwa kila familia kila mwezi ya shilingi laki 5, ili kufanya compensation ya vibanda wanavyobomoa bila sababu pembezoni mwa barabara, mana hao wanaingiza kipato.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamfate huko.any way jiji lilitakiwa lipangwe vizuriWatakuja kusema"baba yetu kaondoka sasa wanatunyanyasa"
Ile Machinga Complex imejaa mkuu? Wamachinga hawaitaji gorofa mkuu.HIVI MSAJILI HAWAWEZI KU SCARIFY MAGOROFA MATATU TU KARIAKOO YALIYOFUATANA IKATENGENEZWA MALL KUBWA KWELI YA GHOROFA 10 IKAJENGWA KWA UFUNDI NA RAMANI YA AINA YAKE IKABEBA MACHINGA 10,000 WALIOPO KARIAKOO SEREKALI IKAWA INAPATA KODI YAKE KWA WEPESI?,MAANA MACHINGA WAMEIKOMALIA SANA KARIAKOO NA KUWAFUKUZA WAKATI MWINGINE SIO HAKI,PIA KUWAHAMISHA INAKUWA NGUMU,KARUME PABAKIE,ILALA,PABAKIE,MACHINGA COMPLEX ISANIFIWE IBADILISHWE ILI YAWE MAKAZI NA FIDIA KWA MAJENGO MATATU WATAKAYOWAPA JIJI KATIKA UJENZI WA MALL.
Waliobomolewa nyumba Kimara walipelekwa wapi?Hao wanaotolewa maeneo hayo wanatarajiwa kuhamishiwa wapi?. Mtihani mpya kwa wale waliochukua mikopo haswa kina mama wanaotegemea vikoba na pesa za aina hiyo.
Sina hakika kama ilikuwa ni tamaa yangu pekee nilipoamua kujitanua na kwenda kufungua kakampuni kangu nchi jirani, nikitamani nifanye na Watanzania tu, lkn Kwa mjibu wa sheria za nchi Hiyo, haikuwezekana, nikashindwa Fanya hivyo,Kwanini upoteze ajira kwa kuzembea kazi wakati kuna watu wanataka kufanya kazi hiyo? kuwajibika katika shughuli yeyote ile ni lengo la kupata manufaa zaidi na kujiongezea tija na ari kwa jamii inayokuzunguka, Kwanini hujiulizi mbona wengine wanapanda cheo au kuongezewa mshahara na wengine hapana.
Well said mkuuLakini yalipeleka ugali kwenye nyumba za masikini wengi sana nchini