Vibanda vilivyowekwa kando ya barabara Jijini Dar es Salaam kuondolewa

Hapa sijakuelewa mkuu.
Ni Dar mkoa ua Dar jiji? Ikiwa ni Dar mkoa sawa, lakini kama ni Dar Jiji sisi temeke, kinondoni na kigamboni hatumo kwenye operesheni hiyo na tena haituhusu
 
Aisee Arusha hali mbaya zaidi nadhani yule mshenzy mla nyama za watu alifanya makusudi akihofia uchaguzi wa 2020, jitu jinga sana lile ndo maana likafa!
Ni mjinga tu atakesimanga kifo chako!!
 
Hio hata mtu binafsi anaweza fanya hivo ila machinga ni kama mtoto mchafu raha yake uchafu.Kuzagaa ndo raha yao ili waonekane wako busy
 
Kwa hiyo ni Bora iwe rasimi sasa, embu umefikiri Kwamba, Ikiwa itakuwa hivyo, na Kwa sifa mbaya tuliyonayo Watanzania kuwa,Sisi ni wavivu, waizi maofisini ingawa sio wote, Je, ni Watanzania wangapi watapoteza ajira zao baada ya tangazo Hilo??
Kwanini upoteze ajira kwa kuzembea kazi wakati kuna watu wanataka kufanya kazi hiyo? kuwajibika katika shughuli yeyote ile ni lengo la kupata manufaa zaidi na kujiongezea tija na ari kwa jamii inayokuzunguka, Kwanini hujiulizi mbona wengine wanapanda cheo au kuongezewa mshahara na wengine hapana.
 
Mitaa ya miji yooote Tanzania imegeuzwa masoko yasiyo na mpangilio wa aina yoyote. Watu tunatafuta riziki, lakini siyo kila eneo la wazi au waenda miguu kugeuzwa masoko, majiko n.k. Tatizo la ajira lipatiwe ufumbuzi kwa kuvutia wawekezaji wa nje na ndani kuzalisha ajira rasmi na siyo njia ya mkato kugeuzwa mitaa yote mijini kuwa masoko.
 
Ile Machinga Complex imejaa mkuu? Wamachinga hawaitaji gorofa mkuu.
 
Mkuu mbona hii kama haipo specifically, ni barabara kuu za lami au mpk barabara za vumbi za ndani ndani zilizo chini ya tanrod?
 
Sina hakika kama ilikuwa ni tamaa yangu pekee nilipoamua kujitanua na kwenda kufungua kakampuni kangu nchi jirani, nikitamani nifanye na Watanzania tu, lkn Kwa mjibu wa sheria za nchi Hiyo, haikuwezekana, nikashindwa Fanya hivyo,

Sasa, jiulize, ni watu wangapi wenye mawazo kama yangu ambao watakuja hapa nchini, huoni Kwamba ajira zitapukutika mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…