๐๐๐๐sawa bhana yote yanawezekana!!! ila mm siwez kuandka post kule intellegencia mpaka nipate hela mana kule kunahtaji utulize akili ndo uandke. vinginevyo utapost utopolo afu mods watapita na weweMwakani nitakuwa mtu wa kuandika mada jukwaa la inteligesia tu basi.
Ndicho nilichokisema hapo kwenye comment yangu au umeguswa mkuu ' personal'Kiufupi wewe unataka "Sponsor"
Oya mjomba tuingie kariakoo kesho tujifunze kupika mishikaki next week twende mkoa tukafanye maajabu na sisi๐๐
Haha ndio maana nikasema mwakani hapo (money involved).๐๐๐๐sawa bhana yote yanawezekana!!! ila mm siwez kuandka post kule intellegencia mpaka nipate hela mana kule kunahtaji utulize akili ndo uandke. vinginevyo utapost utopolo afu mods watapita na wewe
Nipo Dar mzee.moro kuna kariakoo?
Ndugu yangu, sifanyi kazi katika kitengo chochote kile cha serikali. Mimi ni kijana wa kawaida sana.sawa bro itakuwa heri. japo ule mstari wa mwisho kwny post zako "kuwa mzalendo penda nchi yako" huwa unanifanya nihis ww n mtu wa kitengo bhana!!
Unaweza kuAct character ya kama CIA nina movie yangu next year inaitwa OUTLIERSNdugu yangu, sifanyi kazi katika kitengo chochote kile cha serikali. Mimi ni kijana wa kawaida sana.
Kuna jamaa naye alikua ana hizi mishe za kiduanzi namna hizo...lol.mbona Magu kamnyoosha vyema Sasa hivi 24-24th...nasemaga saafi kbs....amekua mpoleeeeTatizo ukipataga upenyo mnaanza tena kuisifia ccm
Nitaomba unihadithie aisee..Kuna kipindi pepo au Malaika wa kujilipua ananijia mnoo[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] nilivyofika huku ni story ya siku nyingine maana mimi sio mpenzi wa kuanzisha mada huwa nadandia tu kuchangia.
Hapana Boss siwezi ku-actUnaweza kuAct character ya kama CIA nina movie yangu next year inaitwa OUTLIERS
Wanaojiita wasomi wengi wao wananyodo za kishezi SanaKuna jamaa naye alikua ana hizi mishe za kiduanzi namna hizo...lol.mbona Magu kamnyoosha vyema Sasa hivi 24-24th...nasemaga saafi kbs....amekua mpoleeee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwahiyo asikate tamaa then what ikiwa watu wa aina yake wanazidi kuongezeka?
Kwel kaka sangoma muhimMkuu kwenye interview hatuendagi hvhv unang'arishwa nyota kwanza, ukiendelea hv utaendelea kuwa mhudhuriaji, interview18, siku nyingine ukiitwa kwenye interview niambie nitakushughulikia kwa gharama zangu then utanilipa ukishaanza kupokea mshahara.pambaf hamuijui African chemistry.
aha poa mzeeNipo Dar mzee.
sawa sawa nmekuelewa mzee!Ndugu yangu, sifanyi kazi katika kitengo chochote kile cha serikali. Mimi ni kijana wa kawaida sana.
hahahah umesema unataka mwanaume tayari anajiweza sio mganga njaa anayetafuta...ukishaona unataka mwanaume mwenye nayo ujue unataka sponsor wala sio kingineNdicho nilichokisema hapo kwenye comment yangu au umeguswa mkuu ' personal'
Hapana mkuu,hahahah umesema unataka mwanaume tayari anajiweza sio mganga njaa anayetafuta...ukishaona unataka mwanaume mwenye nayo ujue unataka sponsor wala sio kingine
We jamaa una utoto utoto sanaIla wadau nyumbani kuna graduate mmoja kapanga kahutimu uhasibu miaka minne nyuma kaanika nguo zake za kazi kiwandani cheap leabour kakonda.
Vijana, ni wakati mnapaswa to change your mind set; la sivyo, mmekwisha!Ni muda sasa nimekuwa natafuta kazi zilizo za professional yangu na zisizo zangu Ila kikubwa nina uwezo wa kufanya kazi yoyote ile halali na ambayo inahitaji skills za kawaida na hata zile complicated maana naamini hamna kinachoshindikana ukiamua. Sasa tatzo huja hapa.
Nmehudhuria interview 16 mpaka sasa na kufika mpaka 10 Bora lakini mwishoni hii kitu inaitwa connection na kujuana inanifanya naishia kuwa na uzoefu mwingi wa kujibu maswali ya interview bila kuwa na mafanikio ya kazi.
Niseme Jambo moja kama wewe umetoka familia au ukoo ambao wewe ndo inahitaji ufanikiwe ili utengeneze hyo connection kwa wengine, basi kazi unayo maana nchi imegubikwa na rushwa za ngono na kujuana hadi sisi tunaotokea familia za kawaida hatupati haki ya kusikilzwa pamoja na uwezo au vipawa tulivyo navyo.
Kuna muda natamani nifanye biashara lakini nakumbuka lengo la kutafuta ajira pia ni kutaka kupata mtaji utakaoniwezesha kujiajiri ili nije nipambane na hii kitu sabu inauma sema hatuna pakwenda hadi inafika hatua inatubidi tukimbie mazingira tulioishi ili tusiwakatishe tamaa wadogo zetu wanaoaminishwa kupitia Elimu maisha yao yatabadilika, kwahiyo wakiwa wanatuona kaka zao tupo mitaani hatuna tunachofanya na ikiwa miaka kadhaa nyuma waliambiwa tupo vyuoni tunasoma na ikajulikana hivo kuwa sisi ni wasomi na mbaya zaidi wapo walioweka nia ya kutaka kufika hapa nilipo mimi.
Sasa je, wakajua uhalisia wa haya ninayopitia nani atapata moyo wakuendelea na Elimu?
All in all Kuna mafundisho mengi sana napitia japo najua ipo siku ntahitimu lakini nkifikiria pesa iliyowekezwa kwa shida na wazazi wangu ili mimi nisome wakijua ntawasaidia kulea wadogo zangu kumbe nimerud kuwa mzigo tena kwao.
Samahani kwa nitakayemuudhi na kwa aliye na wakati kama wangu ajipe moyo asikate tamaa kwani haya yote yana mwisho.
๐ข๐ข๐ข๐ข๐ขmbugiraaaaaaaWe jamaa una utoto utoto sana